WAZIRI KAMWELWE AITAKA LATRA KUCHUKUA HATUA KUKABILIANA NA CORONA KWENYE VITUO VYA MABASI
![](https://1.bp.blogspot.com/-9zpi8KRCHZA/XnI_cnVYcTI/AAAAAAALkN4/rcXXv_E-ZJM0DJ1X3IrdoxzctoPsrMAZwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-18%2Bat%2B5.43.03%2BPM.jpeg)
Charles James, Globu ya JamiiSERIKALI imeziagiza Halmashauri za Majiji na Miji kukaa na Mamlaka za Udhibiti Usafiri wa Ardhini (LATRA) ili kuweka utaratibu maalum ambao utadhibiti mrundikano na wingi wa watu kwenye vituo vikuu vya mabasi.
LATRA na Halmashauri hizo zimepewa siku tatu kuhakikisha zinaratibu agizo hilo ikiwa ni hatua za serikali katika kujikinga na maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona.
Akizungumza na wandishi wa habari jijini Dodoma leo, Waziri wa Ujenzi,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MRBtiNDAO7o/XnMCy5jeYmI/AAAAAAALkYk/8l89aFFCN8gcz0BURGVmy3RSFgV8g9R9gCLcBGAsYHQ/s72-c/1938f9fe-b097-4db5-80f5-8cf5943b1e36.jpg)
WAZIRI KAMWELWE AITAKA LATRA KUCHUKUA HATUA KUKABILIANA NA CORONA KWENYE VITUO VYA MABASI,ATOA SIKU TATU KUHAKIKISHA ZINARATIBU AGIZO HILO
SERIKALI imeziagiza Halmashauri za Majiji na Miji kukaa na Mamlaka za Udhibiti Usafiri wa Ardhini (LATRA) ili kuweka utaratibu maalum ambao utadhibiti mrundikano na wingi wa watu kwenye vituo vikuu vya mabasi.
LATRA na Halmashauri hizo zimepewa siku tatu kuhakikisha zinaratibu agizo hilo ikiwa ni hatua za serikali katika kujikinga na maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona.
Akizungumza na wandishi wa habari jijini Dodoma leo, Waziri wa Ujenzi,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fjgew9WG74M/XtZQ98JaQqI/AAAAAAALsTM/8RxW4i_CJDw5-BCEheDu7uA9IDUQtGs2ACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-02%2Bat%2B1.06.38%2BPM.jpeg)
WAZIRI MHAGAMA AITAKA CWT KUCHUKUA TAHADHARI YA KUJIKINGA NA CORONA KWENYE MKUTANO WAO
Mhe Mhagama ametembelea Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma ambao ndio mkutano huo utakapofanyika ambapo pia utatumika kuchagua viongozi wakuu kitaifa wa CWT.
Akizungumza baada ya kukagua maandalizi na kuzungumza na viongozi wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8CXXCt2470U/XnUjvt628pI/AAAAAAALkj8/poBQAp2H-FsXxgIb8q6ORn6RUGBD9ExKgCLcBGAsYHQ/s72-c/CAPTION-ONE-768x575.jpeg)
WAGANGA WAKUU WATAKIWA KUKAGUA UTAYARI WA KUKABILIANA NA CORONA KWENYE VITUO VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-8CXXCt2470U/XnUjvt628pI/AAAAAAALkj8/poBQAp2H-FsXxgIb8q6ORn6RUGBD9ExKgCLcBGAsYHQ/s640/CAPTION-ONE-768x575.jpeg)
Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia maswala ya Afya, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Dkt.Dorothy Gwajima akiwa katika moja ya chumba kilicho andaliwa kwa ajili ya kutolea kuhuduma kwa wagonjwa wa COVID-19 (CORONA) katika halmashauri ya Ikungi mkoani Singida.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/CAPTION-TWOAA-1024x680.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-688gDdE8XCE/XntrMp_N7zI/AAAAAAALlA8/X5wDULOKjisVMirWwLmkAElfzz7JTWkcwCLcBGAsYHQ/s72-c/0ac0cdc6-8372-4b7d-9515-d183e1fcd04f.jpg)
NAIBU WAZIRI WA NISHATI ARIDHISHWA NA HATUA ZILIZOCHUKULIWA NA TANESCO MKOANI MOROGORO KATIKA KUKABILIANA NA VIRUSI VYA CORONA
NAIBU Waziri wa Nishati Subiri Mgalu ameamua kufanya ziara ya kushtukiza katika ofisi Shirika la Umeme Tanzania(TANESCO) Morogoro kwa lengo la kuuangalia kama maelezo yote ambayo yametolewa na Serikali kwa ajili ya kujinga na maambukizi ya virusi vya COVID-19 (CORONA) kama yamezingatiwa.
Angalau amefanya ziara hiyo leo Machi 25 mwaka 2020 na akiwa kwenye ofisi hizo za TANESCO mkoani Morogoro amepata nafasi ya kuangalia sehemu ambazo zimetengwa kwa ajili kunawa mikono kwa wateja na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-sHsjaMIG2oI/XoSBCzmQPyI/AAAAAAALlx4/-jfBkdLO_Xoc5ul2wybDIwkTt5LCHmJTACLcBGAsYHQ/s72-c/IMGM6409-660x400.jpg)
WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ALIELEZA BUNGE HATUA ZILIZOCHUKULIWA NA SERIKALI KUKABILIANA NA VIRUSI VYA CORONA...AGUSIA UZUSHI MTANDAONI
![](https://1.bp.blogspot.com/-sHsjaMIG2oI/XoSBCzmQPyI/AAAAAAALlx4/-jfBkdLO_Xoc5ul2wybDIwkTt5LCHmJTACLcBGAsYHQ/s400/IMGM6409-660x400.jpg)
WAZIRI Mkuu Kasim Majaliwa amelieleza Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hatua mbalimbali ambazo Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Rais Dkt.John Magufuli ambazo inazichukua katika kukabiliana na virusi vya Corona ambavyo vinasababisha ugonjwa wa COVID-19.
Akizungumza mchana huu Bungeni Mjini Dodoma katika mkutano wa kumi na tisa, kikao cha pili cha bajeti ya mwaka 2019/2020 Waziri Mkuu Kasim Majaliwa ametaja hatua kadhaa ambazo zimechukuliwa hadi sasa kama...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PZvweTKvVTo/XpcqSLLyM3I/AAAAAAALnGU/RXnEeBkAT9kPYdE-90L7RcEUmA1eyga1ACLcBGAsYHQ/s72-c/Paul-Makonda-Facebook.jpg)
Orodha ya vituo vya kutolea huduma za afya, vilivyoteuliwa kuchukua sampuli ya vipimo vya ugonjwa corona (COVID-19)
![](https://1.bp.blogspot.com/-PZvweTKvVTo/XpcqSLLyM3I/AAAAAAALnGU/RXnEeBkAT9kPYdE-90L7RcEUmA1eyga1ACLcBGAsYHQ/s640/Paul-Makonda-Facebook.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-gzs4Pi9zUmU/XpcohY7t5QI/AAAAAAALnGE/2lOjGaxmHS86Qp4H2Af_BiLgqfjZnlDyACLcBGAsYHQ/s640/45fa435e-c2f8-434b-be65-13e0a30611e6.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-aZOTUmaTfwk/Xpcofg6U3tI/AAAAAAALnF8/3kymBU9z9R4ZGdXsxfpThk4URIjaABB0gCLcBGAsYHQ/s640/244e7318-3ff1-4b75-b983-e974f9470217.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-4Phzby7gzyg/XpcogwtDGCI/AAAAAAALnGA/GoiWu6ai3pohhXruD_A4cEhI7Rv9TRHEQCLcBGAsYHQ/s640/e8c7eaf2-a794-429a-a0d9-3cdd00ffbdc4.jpg)
5 years ago
BBCSwahili13 May
Virusi vya corona: Makundi ya kidini yanayopinga hatua za kukabiliana na Covid-19
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-FOP2-IdqS84/U4ntaZbo64I/AAAAAAAAtRg/F6hfCCu-_gg/s72-c/13.jpg)
WAMACHINGA WANAOFANYA KAZI ZAO KWENYE VITUO VYA DALADALA NA MABASI DODOMA KUONDOLEWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-FOP2-IdqS84/U4ntaZbo64I/AAAAAAAAtRg/F6hfCCu-_gg/s1600/13.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-JshWNd58-SE/U4ntbcs_vFI/AAAAAAAAtRk/D79d1eBvgEg/s1600/14.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-BRMEbBd198o/U4ntbYc2qUI/AAAAAAAAtRs/-xQ-kaCHXOc/s1600/15.jpg)
5 years ago
BBCSwahili11 May
Virusi vya corona: Je roboti zinatumika vipi kwenye vituo vya Covid-19 Rwanda?