Virusi vya corona: Je roboti zinatumika vipi kwenye vituo vya Covid-19 Rwanda?
Rwanda imesema kuwa tayari inatumia roboti katika kuzuwia maambukizi ya virusi vya corona kwenye vituo vya ugonjwa huo
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili07 Apr
Virusi vya corona: Je vipimo vya kugundua virusi vya corona vinafanya kazi vipi?
Vipimo vya kugundua virusi vya corona ni vipi na vinafanyakazi namna gani?
5 years ago
BBCSwahili16 Apr
Virusi vya corona: Mgonjwa wa Covid-19 hupona vipi baada ya kuwa ICU ?
Safari ya mgonjwa ambaye amefanikiwa kuonesha matokeo chanya kwa tiba ya chumba mahututi na ikawezekana kutoka hospitali ni safari ngumu.
5 years ago
BBCSwahili16 Apr
Virusi vya Corona: Mfahamu mwanamke aliyebaini virusi vya corona kabla ya Covid-19
June Almeida alikuwa bingwa wa ugunduzi wa virusi, lakini alikuwa amesahaulika mpaka mlipuko wa corona ulipoibuka ndio akakumbukwa.
5 years ago
BBCSwahili06 May
Virusi vya corona: Rais alitangaza naugua Covid-19 kwenye TV
Bila hiari yake, Sita Tyasutami alikuwa "kisa cha kwanza", sura ya Indonesia ya mlipuko wa corona.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PZvweTKvVTo/XpcqSLLyM3I/AAAAAAALnGU/RXnEeBkAT9kPYdE-90L7RcEUmA1eyga1ACLcBGAsYHQ/s72-c/Paul-Makonda-Facebook.jpg)
Orodha ya vituo vya kutolea huduma za afya, vilivyoteuliwa kuchukua sampuli ya vipimo vya ugonjwa corona (COVID-19)
![](https://1.bp.blogspot.com/-PZvweTKvVTo/XpcqSLLyM3I/AAAAAAALnGU/RXnEeBkAT9kPYdE-90L7RcEUmA1eyga1ACLcBGAsYHQ/s640/Paul-Makonda-Facebook.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-gzs4Pi9zUmU/XpcohY7t5QI/AAAAAAALnGE/2lOjGaxmHS86Qp4H2Af_BiLgqfjZnlDyACLcBGAsYHQ/s640/45fa435e-c2f8-434b-be65-13e0a30611e6.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-aZOTUmaTfwk/Xpcofg6U3tI/AAAAAAALnF8/3kymBU9z9R4ZGdXsxfpThk4URIjaABB0gCLcBGAsYHQ/s640/244e7318-3ff1-4b75-b983-e974f9470217.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-4Phzby7gzyg/XpcogwtDGCI/AAAAAAALnGA/GoiWu6ai3pohhXruD_A4cEhI7Rv9TRHEQCLcBGAsYHQ/s640/e8c7eaf2-a794-429a-a0d9-3cdd00ffbdc4.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-elbtEyTHsgI/XmzmjxsEhbI/AAAAAAALjqQ/Jfn3seMIwVUbIXimJMg66xeJCtTeVg1hACLcBGAsYHQ/s72-c/_111260676_946d6c86-02bf-4a63-b610-bfddfa94f8b4.jpg)
Rwanda yatangaza kisa chake cha kwanza cha virusi vya Corona (COVID-19)
Rwanda imethibitisha kisa chake cha kwanza cha virusi vya Corona (COVID-19). Mgonjwa huyo ni raia wa India aliyewasili Rwanda Machi 8 kutoka Mumbai, India, kulingana na taarifa iliyotolewa na wizara ya afya.
Raia huyo hakuwa na dalili zozote za virusi vya Corona wakati anawasili nchini Rwanda na alijipeleka mwenyewe kwenye kituo cha afya Machi 13, ambapo alifanyiwa vipimo mara moja.
Wizara ya afya imesema kwa sasa anaendelea na matibabu, hali yake imeimarika na ametengwa na wagonjwa...
Raia huyo hakuwa na dalili zozote za virusi vya Corona wakati anawasili nchini Rwanda na alijipeleka mwenyewe kwenye kituo cha afya Machi 13, ambapo alifanyiwa vipimo mara moja.
Wizara ya afya imesema kwa sasa anaendelea na matibabu, hali yake imeimarika na ametengwa na wagonjwa...
5 years ago
BBCSwahili24 Jun
Virusi vya corona: sababu za kuwepo kwa mlipuko wa virusi kwenye viwanda vya nyama
Mamia ya wafanyakazi wamepatikana na virusi vya corona katika makapuni ya kutengeneza nyama na machinjioni
5 years ago
BBCSwahili14 Mar
Coronavirus: Rwanda yatangaza kisa chake cha kwanza cha virusi vya Corona (COVID-19)
Rwanda imethibitisha kisa chake cha kwanza cha virusi vya Corona (COVID-19) kutoka kwa raia wa India aliyewasili nchini humo
5 years ago
BBCSwahili31 May
Virusi vya corona: Je mfumo wa maisha ya shule na vyuo utabadilika vipi kutokana na virusi Tanzania?
Nchini Tanzania, maelfu wa wanafunzi wa vyuo na wale wa sekondari wanaomaliza kidato cha sita hii leo wameanza rasmi masomo yao baada ya kuwepo katika likizo ya ghafla kwa muda wa miezi miwili iliyosababishwa na kutokea kwa janga la virusi vya corona.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania