Coronavirus: Rwanda yatangaza kisa chake cha kwanza cha virusi vya Corona (COVID-19)
Rwanda imethibitisha kisa chake cha kwanza cha virusi vya Corona (COVID-19) kutoka kwa raia wa India aliyewasili nchini humo
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziRwanda yatangaza kisa chake cha kwanza cha virusi vya Corona (COVID-19)
Rwanda imethibitisha kisa chake cha kwanza cha virusi vya Corona (COVID-19). Mgonjwa huyo ni raia wa India aliyewasili Rwanda Machi 8 kutoka Mumbai, India, kulingana na taarifa iliyotolewa na wizara ya afya.
Raia huyo hakuwa na dalili zozote za virusi vya Corona wakati anawasili nchini Rwanda na alijipeleka mwenyewe kwenye kituo cha afya Machi 13, ambapo alifanyiwa vipimo mara moja.
Wizara ya afya imesema kwa sasa anaendelea na matibabu, hali yake imeimarika na ametengwa na wagonjwa...
Raia huyo hakuwa na dalili zozote za virusi vya Corona wakati anawasili nchini Rwanda na alijipeleka mwenyewe kwenye kituo cha afya Machi 13, ambapo alifanyiwa vipimo mara moja.
Wizara ya afya imesema kwa sasa anaendelea na matibabu, hali yake imeimarika na ametengwa na wagonjwa...
5 years ago
BBCSwahili10 Mar
Coronavirus: Congo DRC yathibitisha kisa cha kwanza cha virusi vya Corona
Kisa cha kwanza cha virusi vya Corona kimethibitishwa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Msemaji wa wizara ya Afya amesema Jumanne.
5 years ago
BBCSwahili26 Mar
Coronavirus: Kenya yatangaza kifo cha kwanza cha mgonjwa mwenye virusi vya corona
Kenya imetangaza kifo cha kwanza cha mgonjwa aliyekuwa akiugua virusi vya corona.
5 years ago
BBCSwahili16 Mar
Tanzania yathibitisha kuwa na kisa kimoja cha virusi vya corona
Waziri wa afya nchini Tanzania, Bi. Ummy Mwalimu ametangaza kuwepo kwa kisa kimoja cha corona.
5 years ago
Michuzi5 years ago
BBCSwahili09 May
Virusi vya corona: Kenya yatangaza visa 28 zaidi vya maambukizi ya Covid-19
Idadi ya maambukizi ya virusi vya corona nchini Kenya imepanda hadi kufikia jumla ya watu 649 Jumamosi, baada ya kutangazwa kwa matokeo chanya vya virusi katika sampuli za watu 28 miongoni mwa waliopimwa.
5 years ago
MichuziKisa cha kwanza cha Corona Afrika chathibitishwa Misri
Wizara ya afya ya Misri imetangaza kisa cha kwanza kilichothibitishwa cha mgonjwa wa virusi vya Corona kinachokuwa cha kwanza pia barani Afrika.
Taarifa iliyotolewa na wizara hiyo imesema mgonjwa aliyebainika siyo raia wa Misri lakini pia haikufafanua uraia wa mtu huyo.
Maafisa wa Misri walifanikiwa kuthibitisha kisa hicho kupitia mpango ulioanzishwa na serikali wa kuwafuatilia abiria waliowasili kutoka nchini ambazo virusi vya Corona tayari vimesambaa.
Msemaji wa wizara ya afya ya...
Taarifa iliyotolewa na wizara hiyo imesema mgonjwa aliyebainika siyo raia wa Misri lakini pia haikufafanua uraia wa mtu huyo.
Maafisa wa Misri walifanikiwa kuthibitisha kisa hicho kupitia mpango ulioanzishwa na serikali wa kuwafuatilia abiria waliowasili kutoka nchini ambazo virusi vya Corona tayari vimesambaa.
Msemaji wa wizara ya afya ya...
5 years ago
BBCSwahili11 May
Virusi vya corona: Je roboti zinatumika vipi kwenye vituo vya Covid-19 Rwanda?
Rwanda imesema kuwa tayari inatumia roboti katika kuzuwia maambukizi ya virusi vya corona kwenye vituo vya ugonjwa huo
5 years ago
BBCSwahili09 Apr
Virusi vya Corona: Je, kodi ya nyumba inastahili kuondoshwa katika kipindi hiki cha janga la Covid-19?
Nchini Uganda, rais Yoweri Museveni amesema kuwa haikubaliki kwa wenye nyumba kuwafurusha wapangaji wao wanashindwa kulipa kodi katika kipindi hiki.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania