NEWZ ALERT :WIZARA YA AFYA YATANGAZA KIFO CHA KWANZA CHA MGONJWA WA COVID-19 NCHINI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-k3CDBxyqodM/XoLma4Wrb2I/AAAAAAALlpo/YurqeqLopbMt-r2bOdOEUuU8fK_YC0EuwCLcBGAsYHQ/s72-c/1b7931d8-0454-420c-900b-f16270d2f8d8.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi5 years ago
BBCSwahili26 Mar
Coronavirus: Kenya yatangaza kifo cha kwanza cha mgonjwa mwenye virusi vya corona
Kenya imetangaza kifo cha kwanza cha mgonjwa aliyekuwa akiugua virusi vya corona.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-elbtEyTHsgI/XmzmjxsEhbI/AAAAAAALjqQ/Jfn3seMIwVUbIXimJMg66xeJCtTeVg1hACLcBGAsYHQ/s72-c/_111260676_946d6c86-02bf-4a63-b610-bfddfa94f8b4.jpg)
Rwanda yatangaza kisa chake cha kwanza cha virusi vya Corona (COVID-19)
Rwanda imethibitisha kisa chake cha kwanza cha virusi vya Corona (COVID-19). Mgonjwa huyo ni raia wa India aliyewasili Rwanda Machi 8 kutoka Mumbai, India, kulingana na taarifa iliyotolewa na wizara ya afya.
Raia huyo hakuwa na dalili zozote za virusi vya Corona wakati anawasili nchini Rwanda na alijipeleka mwenyewe kwenye kituo cha afya Machi 13, ambapo alifanyiwa vipimo mara moja.
Wizara ya afya imesema kwa sasa anaendelea na matibabu, hali yake imeimarika na ametengwa na wagonjwa...
Raia huyo hakuwa na dalili zozote za virusi vya Corona wakati anawasili nchini Rwanda na alijipeleka mwenyewe kwenye kituo cha afya Machi 13, ambapo alifanyiwa vipimo mara moja.
Wizara ya afya imesema kwa sasa anaendelea na matibabu, hali yake imeimarika na ametengwa na wagonjwa...
5 years ago
BBCSwahili14 Mar
Coronavirus: Rwanda yatangaza kisa chake cha kwanza cha virusi vya Corona (COVID-19)
Rwanda imethibitisha kisa chake cha kwanza cha virusi vya Corona (COVID-19) kutoka kwa raia wa India aliyewasili nchini humo
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tNdl7USWnHE/XqvDvqNxUII/AAAAAAALouM/Fz0DNJC4wm4HiUGBcusNWlnLG0XeUn61wCLcBGAsYHQ/s72-c/pic%252Bmahiga.jpg)
NEWZ ALERT: Rais DKT Magufuli atangaza kifo cha Waziri Augustine Mahiga
![](https://1.bp.blogspot.com/-tNdl7USWnHE/XqvDvqNxUII/AAAAAAALouM/Fz0DNJC4wm4HiUGBcusNWlnLG0XeUn61wCLcBGAsYHQ/s640/pic%252Bmahiga.jpg)
Pichani ni aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Balozi Dkt. Augustine Philip Mahiga (Mbunge) aliyefariki leo tarehe 01 Mei, 2020 Jijini Dodoma.
![](https://1.bp.blogspot.com/-3MJbvLHupIo/XqvDvmhQ0HI/AAAAAAALouI/6euLP_Yhfpc4uRS5BcyRyw4zlo4LNtFqQCLcBGAsYHQ/s1600/fc75030c-8c78-4d9b-944e-f591b032c434.jpg)
5 years ago
Michuzi5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Wt0MZuAi3io/XpoM8VfT9mI/AAAAAAALnRw/ilYJMHt0BG8fhqeSJsbMcr8SWG6vsL3qgCLcBGAsYHQ/s72-c/daimu%2Bpicha.jpg)
NEWZ ALERT : Mgonjwa wa Corona atoroka karantini Dar,atafutwa mkoani Njombe
Mgonjwa anayetokana na virusi vya Corona (Covid-19) ametoroka karantini jijini Dar es salaam,Mkuu wa wilaya ya Njombe Ruth Msafiri amethibitisha kushikiliwa basi za kampuni ya Luwinzo mjini Makambako zilizotumiwa na mgojwa huyo na kuendelea na ukaguzi.
Mkuu wa wilaya ya Njombe Ruth Msafiri amesema serikali inafuatilia kwa karibu chombo cha usafiri kilichotumiwa na mgonjwa aliyetoroka karantini jijini Dar es salaam.
“Hizo taarifa ni za kweli lakini bado wanafanyia kazi hawajanipa taarifa ni...
Mkuu wa wilaya ya Njombe Ruth Msafiri amesema serikali inafuatilia kwa karibu chombo cha usafiri kilichotumiwa na mgonjwa aliyetoroka karantini jijini Dar es salaam.
“Hizo taarifa ni za kweli lakini bado wanafanyia kazi hawajanipa taarifa ni...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SI8U2lTUknM/U07VPJmdZZI/AAAAAAACfAk/AdyX9ld_PTY/s72-c/IMG_7153.jpg)
KINANA ASHTUSHWA NA MAKUSUDI YA WIZARA YA AFYA KUHUSIANA NA KITUO CHA AFYA CHA INYONGA,WILAYA YA MLELE-KATAVI
![](http://3.bp.blogspot.com/-SI8U2lTUknM/U07VPJmdZZI/AAAAAAACfAk/AdyX9ld_PTY/s1600/IMG_7153.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-VHIeKghZ0TQ/U07VRQykrMI/AAAAAAACfAs/bKc1G7bG9Xk/s1600/IMG_7164.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BLrI4uqfG24/Xm9vI4d-rXI/AAAAAAALj5Y/HEetb1PRaIMGkc0CqWoF95aUAoUKlmNCgCLcBGAsYHQ/s72-c/download.jpg)
WAZIRI WA AFYA UMMY MWALIMU ATHIBITISHA UWEPO WA MGONJWA WA KWANZA WA CORONA NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-BLrI4uqfG24/Xm9vI4d-rXI/AAAAAAALj5Y/HEetb1PRaIMGkc0CqWoF95aUAoUKlmNCgCLcBGAsYHQ/s640/download.jpg)
Na Avila Kakingo, Globu ya jamiiWAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu amesema kuna mtu mmoja mwenye umri wa miaka 46 ameainika kuwa na virusi vya Corona Covid 19 ambaye aliwasili nchini na ndege ya Rwandan air akitokea nchini ubelgiji.
Akizungumza leo jijini Dar es Salaam Waziri Ummy amesema kuwa mtu huyo ambaye ni mwanamke raia wa Tanzania aliondoka nchini, Machi 3, 2020,ambapo kati ya Machi 5 hadi Machi13 alitembelea nchi za Swiden na Denmark na kurudi...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania