WAZIRI WA AFYA UMMY MWALIMU ATHIBITISHA UWEPO WA MGONJWA WA KWANZA WA CORONA NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-BLrI4uqfG24/Xm9vI4d-rXI/AAAAAAALj5Y/HEetb1PRaIMGkc0CqWoF95aUAoUKlmNCgCLcBGAsYHQ/s72-c/download.jpg)
Na Avila Kakingo, Globu ya jamiiWAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu amesema kuna mtu mmoja mwenye umri wa miaka 46 ameainika kuwa na virusi vya Corona Covid 19 ambaye aliwasili nchini na ndege ya Rwandan air akitokea nchini ubelgiji.
Akizungumza leo jijini Dar es Salaam Waziri Ummy amesema kuwa mtu huyo ambaye ni mwanamke raia wa Tanzania aliondoka nchini, Machi 3, 2020,ambapo kati ya Machi 5 hadi Machi13 alitembelea nchi za Swiden na Denmark na kurudi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziWAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AKITETA JAMBO NA WAZIRI WA AFYA UMMY MWALIMU BUNGENI LEO JIJINI DODOMA.
9 years ago
Dewji Blog23 Dec
Waziri Ummy Mwalimu aanzisha “Mpishe mzee kwanza apate hudumaâ€
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu akizungumza katika mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Mkuu wa mkoa wa Tanga, wakati akitoa mwelekeo wa vipaumbele vyake kwa wazee wa Tanzania kupitia kwa wazee wa mkoa wa Tanga.
Na Mwandishi wetu
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu ameagiza vituo vyote vya serikali vya kutolea huduma za afya nchini, kuweka anuniani inayosema”Mpishe mzee kwanza apate huduma”.
Ametaka...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wSIN4obw9o4/XqGql016cvI/AAAAAAALoB4/lurbBxaQQf4kbPNhbDWd7RrFCb7RbPBiQCLcBGAsYHQ/s72-c/7b32687d-4455-4fda-9748-b38fe8a08f55.jpg)
WATOA HUDUMA ZA AFYA MSIWAKIMBIE WAGONJWA-WAZIRI.UMMY MWALIMU
Na WAMJW – Dar es Salaam
Serikali imewataka wahudumu wa afya nchini kufuata kanuni na miongozo iliyopo katika kutoa huduma kwa wagonjwa kwa kufanya hivyo wataweza kuepuka kupata maambukizi kutoka kwa wagonjwa wanaowahudumia.
Rai hiyo imetolewa leo jijini jijini Dar es Salaam na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu wakati akipokea msaada wa vifaa vya kunawia mikono 100 vyenye ujazo wa lita 500 kutoka kwa Shirika lisiyo la kiserikali la Water Mission...
9 years ago
Michuzi04 Jan
WAZIRI WA AFYA UMMY MWALIMU AKAGUA KAMBI YA KIPINDUPINDU YA NYANKUMBU MKOANI GEITA
![mli1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2016/01/mli1.jpg)
9 years ago
MichuziWAZIRI UMMY MWALIMU AWATAKA WATUMISHI WA SEKTA YA AFYA KUTOFANYA KAZI KWA MAZOEA
9 years ago
Dewji Blog20 Dec
Waziri Ummy Mwalimu avamia Hospitali ya rufaa ya Bombo mkoani Tanga, kukagua utoaji wa huduma za afya leo
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu akizungumza na mmoja wa wahudumu wa afya (jina lake halikuweza kupatikana kiurahisi) wa dirisha la dawa katika Hospitali ya rufaa ya Bombo mkoani Tanga alipofanya ziara ya kushtukiza mchana wa leo Disemba 20, 2015.
-Atoa wiki mbili wawe wamefunga mashine ya kukusanya mapato kwa njia ya Kielektroniki ili kudhitibiti upotevu wa mapato yanayotokana na wananchi kuchangia huduma za afya.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fDIbqjReJ9Y/Xu5tMovGpOI/AAAAAAALuyU/-fgnXbxzMGgjbLI9G1uR_myd8iGPV7fHQCLcBGAsYHQ/s72-c/5c0eecc1-a0c4-40e7-a71e-3cd4614daffc.jpg)
Corona imeleta fursa ya kuboresha huduma za afya nchini’: Waziri Ummy
![](https://1.bp.blogspot.com/-fDIbqjReJ9Y/Xu5tMovGpOI/AAAAAAALuyU/-fgnXbxzMGgjbLI9G1uR_myd8iGPV7fHQCLcBGAsYHQ/s640/5c0eecc1-a0c4-40e7-a71e-3cd4614daffc.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/97372b66-2582-4a6c-a347-fda1fcc35431.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/a4725172-0ea6-4f18-800a-c1430784e92b.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/0fb9082c-f853-4e53-904c-4be5e34a3f74.jpg)
**********************************
Na.WAMJW, Dar es Salaam
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amesema kuwapo kwa ugonjwa wa Corona nchini, imeleta fursa ya kuboresha huduma za afya katika vituo mbalimbali vya afya hapa nchini.
Michango mbalimbali iliyotolewa zikiwamo vifaa na vifaa tiba zimesaidia kwa kiasi kikubwa kuimarisha huduma za afya na kuokoa maisha kwa wagonjwa mahututi.
Waziri wa afya Ummy Mwalimu ameyasema hayo wakati akizindua upanuzi wa...
9 years ago
Michuzi20 Dec
WAZIRI UMMY MWALIMU KATIKA ZIARA HOSPITALI YA RUFAA YA BOMBO MKOANI TANGA, KUKAGUA UTOAJI WA HUDUMA ZA AFYA LEO
![IMG-20151220-WA0012](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/2jqSTb6rwwHyDPhhDJDSXM_Y9GTLhKQG3al0Byv191LsT6SJ3AF_f9Ns_75ry3stFkDjSojEMXG_c-9jJcfIxvraqQNFWRf2bd0A7-PJd7TS9I1S0bTuzt8uUAWN=s0-d-e1-ft#http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG-20151220-WA0012.jpg)
![IMG-20151220-WA0019](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/2FRm_TTrk97vFdEwTUPV_oDUPzwmBxAJrp3BDakrQ2l83AnH1aXG-RSnQsZJ-_u6n6AEYyVl2A26mjFskppUmLIcY3hZvQPTK4GFV3fXeyVzbLoDKL1Bd1MRGIQk=s0-d-e1-ft#http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG-20151220-WA0019.jpg)
5 years ago
MichuziWAZIRI UMMY MWALIMU AMKABIDHI RC MAKONDA VIFAA VYA KUNAWA MIKONO KWA AJILI YA KUWAKINGA WANANCHI NA CORONA.