WAZIRI UMMY MWALIMU AWATAKA WATUMISHI WA SEKTA YA AFYA KUTOFANYA KAZI KWA MAZOEA
Habari na picha na Ismail Ngayonga - MAELEZOSERIKALI imewataka watumishi wa sekta ya afya nchini kutofanya kazi kwa mazoea na badala yake kufanya kazi kwa bidii na uadilifu ili kufikia malengo yaliyowekwa. Hatua hiyo inaelezwa itasiaidia kurahisisha maendeleo ya kijamii na kiuchumi kwa wananchi kwa kutoa huduma bora na zinazofikiwa kwa wakati. Akifungua mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa iliyokuwa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gEucMqUfljA/XneLi2rTtDI/AAAAAAALku4/homRKs0S4lUIW29vkTC-zg3E0oGfnsofQCLcBGAsYHQ/s72-c/9c6e60b0-d397-4065-b733-ea2efc936198.jpg)
WAZIRI UMMY MWALIMU AKUTANA NA TAASISI YA SEKTA BINAFSI-TPSF
Na. WAMJW-DSM
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu leo amekutana na Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) na kujadili namna ya kukabiliana na ugonjwa wa Corona (COVID-19) nchini.
Katika kikao hicho, Waziri Ummy Mwalimu ameshukuru baraza hilo kwa kushirikiana na Sekta ya afya katika mapambano ya ugonjwa huo.
”Mchango wa sekta binafsi mkiwamo nyie wafanyabiashara ni muhimu kwani mtaleta manufaa makubwa katika mapambano haya,” amesema Waziri Ummy...
5 years ago
MichuziWAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AKITETA JAMBO NA WAZIRI WA AFYA UMMY MWALIMU BUNGENI LEO JIJINI DODOMA.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wSIN4obw9o4/XqGql016cvI/AAAAAAALoB4/lurbBxaQQf4kbPNhbDWd7RrFCb7RbPBiQCLcBGAsYHQ/s72-c/7b32687d-4455-4fda-9748-b38fe8a08f55.jpg)
WATOA HUDUMA ZA AFYA MSIWAKIMBIE WAGONJWA-WAZIRI.UMMY MWALIMU
Na WAMJW – Dar es Salaam
Serikali imewataka wahudumu wa afya nchini kufuata kanuni na miongozo iliyopo katika kutoa huduma kwa wagonjwa kwa kufanya hivyo wataweza kuepuka kupata maambukizi kutoka kwa wagonjwa wanaowahudumia.
Rai hiyo imetolewa leo jijini jijini Dar es Salaam na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu wakati akipokea msaada wa vifaa vya kunawia mikono 100 vyenye ujazo wa lita 500 kutoka kwa Shirika lisiyo la kiserikali la Water Mission...
9 years ago
Michuzi04 Jan
WAZIRI WA AFYA UMMY MWALIMU AKAGUA KAMBI YA KIPINDUPINDU YA NYANKUMBU MKOANI GEITA
![mli1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2016/01/mli1.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BLrI4uqfG24/Xm9vI4d-rXI/AAAAAAALj5Y/HEetb1PRaIMGkc0CqWoF95aUAoUKlmNCgCLcBGAsYHQ/s72-c/download.jpg)
WAZIRI WA AFYA UMMY MWALIMU ATHIBITISHA UWEPO WA MGONJWA WA KWANZA WA CORONA NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-BLrI4uqfG24/Xm9vI4d-rXI/AAAAAAALj5Y/HEetb1PRaIMGkc0CqWoF95aUAoUKlmNCgCLcBGAsYHQ/s640/download.jpg)
Na Avila Kakingo, Globu ya jamiiWAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu amesema kuna mtu mmoja mwenye umri wa miaka 46 ameainika kuwa na virusi vya Corona Covid 19 ambaye aliwasili nchini na ndege ya Rwandan air akitokea nchini ubelgiji.
Akizungumza leo jijini Dar es Salaam Waziri Ummy amesema kuwa mtu huyo ambaye ni mwanamke raia wa Tanzania aliondoka nchini, Machi 3, 2020,ambapo kati ya Machi 5 hadi Machi13 alitembelea nchi za Swiden na Denmark na kurudi...
10 years ago
StarTV03 Dec
Serikali yaonya watumishi wanaofanya kazi kwa mazoea.
Na Wilson Elisha,
Magu Mwanza.
Serikali imewaonya watumishi kuacha kufanya kazi kwa mazoea na badala yake wawajibike kwa mujibu wa sheria, kanuni na taratibu za kiutumishi.
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Magesa Mulongo ametoa onyo hilo wilayani Magu wakati akizungumza na watumishi wa sekta mbalimbali ikiwa ni sehemu ya mwendelezo wa ziara yake mkoani Mwanza.
Kauli ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Magesa Mlongo wakati akizungumza na watumishi wa wilaya ya Magu.
Amesema Serikali haiwezi...
9 years ago
Dewji Blog23 Dec
Waziri Ummy Mwalimu amsimamisha kazi Kaimu Mkurugenzi wa Hospitali ya Ocean Road
Aliyekuwa Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya Saratani ya Ocean Road, Dkt. Diwani Msemo.
9 years ago
Dewji Blog20 Dec
Waziri Ummy Mwalimu avamia Hospitali ya rufaa ya Bombo mkoani Tanga, kukagua utoaji wa huduma za afya leo
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu akizungumza na mmoja wa wahudumu wa afya (jina lake halikuweza kupatikana kiurahisi) wa dirisha la dawa katika Hospitali ya rufaa ya Bombo mkoani Tanga alipofanya ziara ya kushtukiza mchana wa leo Disemba 20, 2015.
-Atoa wiki mbili wawe wamefunga mashine ya kukusanya mapato kwa njia ya Kielektroniki ili kudhitibiti upotevu wa mapato yanayotokana na wananchi kuchangia huduma za afya.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya...
9 years ago
Michuzi20 Dec
WAZIRI UMMY MWALIMU KATIKA ZIARA HOSPITALI YA RUFAA YA BOMBO MKOANI TANGA, KUKAGUA UTOAJI WA HUDUMA ZA AFYA LEO
![IMG-20151220-WA0012](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/2jqSTb6rwwHyDPhhDJDSXM_Y9GTLhKQG3al0Byv191LsT6SJ3AF_f9Ns_75ry3stFkDjSojEMXG_c-9jJcfIxvraqQNFWRf2bd0A7-PJd7TS9I1S0bTuzt8uUAWN=s0-d-e1-ft#http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG-20151220-WA0012.jpg)
![IMG-20151220-WA0019](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/2FRm_TTrk97vFdEwTUPV_oDUPzwmBxAJrp3BDakrQ2l83AnH1aXG-RSnQsZJ-_u6n6AEYyVl2A26mjFskppUmLIcY3hZvQPTK4GFV3fXeyVzbLoDKL1Bd1MRGIQk=s0-d-e1-ft#http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG-20151220-WA0019.jpg)