Kisa cha kwanza cha Corona Afrika chathibitishwa Misri
![](https://1.bp.blogspot.com/-PxnUTz3XA5c/XkhODCo4duI/AAAAAAALdio/sCEPUP-XKsswuUUztZNXq7XjwF9Mv6vzACLcBGAsYHQ/s72-c/52344012_303.jpg)
Wizara ya afya ya Misri imetangaza kisa cha kwanza kilichothibitishwa cha mgonjwa wa virusi vya Corona kinachokuwa cha kwanza pia barani Afrika.
Taarifa iliyotolewa na wizara hiyo imesema mgonjwa aliyebainika siyo raia wa Misri lakini pia haikufafanua uraia wa mtu huyo.
Maafisa wa Misri walifanikiwa kuthibitisha kisa hicho kupitia mpango ulioanzishwa na serikali wa kuwafuatilia abiria waliowasili kutoka nchini ambazo virusi vya Corona tayari vimesambaa.
Msemaji wa wizara ya afya ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili10 Mar
Coronavirus: Congo DRC yathibitisha kisa cha kwanza cha virusi vya Corona
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-elbtEyTHsgI/XmzmjxsEhbI/AAAAAAALjqQ/Jfn3seMIwVUbIXimJMg66xeJCtTeVg1hACLcBGAsYHQ/s72-c/_111260676_946d6c86-02bf-4a63-b610-bfddfa94f8b4.jpg)
Rwanda yatangaza kisa chake cha kwanza cha virusi vya Corona (COVID-19)
Raia huyo hakuwa na dalili zozote za virusi vya Corona wakati anawasili nchini Rwanda na alijipeleka mwenyewe kwenye kituo cha afya Machi 13, ambapo alifanyiwa vipimo mara moja.
Wizara ya afya imesema kwa sasa anaendelea na matibabu, hali yake imeimarika na ametengwa na wagonjwa...
5 years ago
BBCSwahili14 Mar
Coronavirus: Rwanda yatangaza kisa chake cha kwanza cha virusi vya Corona (COVID-19)
5 years ago
BBCSwahili15 Feb
Coronavirus: Kifo cha kwanza chathibitishwa Ulaya
5 years ago
BBCSwahili01 Mar
Coronavirus: Kifo cha kwanza chathibitishwa Marekani jimbo la Washington
5 years ago
BBCSwahili26 Mar
Coronavirus: Kenya yatangaza kifo cha kwanza cha mgonjwa mwenye virusi vya corona
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1rAb-JAL3D8/XnMDwtYpMcI/AAAAAAALkYs/R6aepGJaDnEQbUWABorIPF0fzUJ_kb28ACLcBGAsYHQ/s72-c/4bv7e00ddaba541mbt9_800C450.jpg)
Burkina Faso yaripoti kifo cha kwanza cha Corona 'Sub-Sahara', virusi hivyo vyaua karibu 500 Italia ndani ya saa 24
![](https://1.bp.blogspot.com/-1rAb-JAL3D8/XnMDwtYpMcI/AAAAAAALkYs/R6aepGJaDnEQbUWABorIPF0fzUJ_kb28ACLcBGAsYHQ/s640/4bv7e00ddaba541mbt9_800C450.jpg)
Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumatano, Waziri wa Afya wa Kenya, Mutahi Kagwe amesema kuwa, watu wote hao saba wametoka nje ya Kenya. Wawili kati ya wagonjwa hao watatu wa karibuni kabisa wametokea Madrid Uhispania kupitia Dubai na mgonjwa wa tatu ni raia wa Burundi aliyewasili katika Uwanja wa Ndege wa Jomo Kenyatta jijini Nairobi akitokea Dubai...
5 years ago
BBCSwahili16 Mar
Coronavirus: Tanzania yathibitisha kuwa na kisa cha kwanza
5 years ago
BBCSwahili08 May
Virusi vya Corona: Kikao cha bunge cha mtandaoni Afrika kusini chadukuliwa kwa picha za ngono