Coronavirus: Kifo cha kwanza chathibitishwa Ulaya
Mtalii wa Uchina ameaga dunia Ufaransa kutokana na virusi vya corona - kifo cha kwanza nje ya Asia.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili01 Mar
Coronavirus: Kifo cha kwanza chathibitishwa Marekani jimbo la Washington
Rais Donald Trump amesema visa vingine vinatarajiwa lakini hakuna haja ya kuwa na wasiwasi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PxnUTz3XA5c/XkhODCo4duI/AAAAAAALdio/sCEPUP-XKsswuUUztZNXq7XjwF9Mv6vzACLcBGAsYHQ/s72-c/52344012_303.jpg)
Kisa cha kwanza cha Corona Afrika chathibitishwa Misri
![](https://1.bp.blogspot.com/-PxnUTz3XA5c/XkhODCo4duI/AAAAAAALdio/sCEPUP-XKsswuUUztZNXq7XjwF9Mv6vzACLcBGAsYHQ/s640/52344012_303.jpg)
Taarifa iliyotolewa na wizara hiyo imesema mgonjwa aliyebainika siyo raia wa Misri lakini pia haikufafanua uraia wa mtu huyo.
Maafisa wa Misri walifanikiwa kuthibitisha kisa hicho kupitia mpango ulioanzishwa na serikali wa kuwafuatilia abiria waliowasili kutoka nchini ambazo virusi vya Corona tayari vimesambaa.
Msemaji wa wizara ya afya ya...
5 years ago
BBCSwahili26 Mar
Coronavirus: Kenya yatangaza kifo cha kwanza cha mgonjwa mwenye virusi vya corona
Kenya imetangaza kifo cha kwanza cha mgonjwa aliyekuwa akiugua virusi vya corona.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-k3CDBxyqodM/XoLma4Wrb2I/AAAAAAALlpo/YurqeqLopbMt-r2bOdOEUuU8fK_YC0EuwCLcBGAsYHQ/s72-c/1b7931d8-0454-420c-900b-f16270d2f8d8.jpg)
11 years ago
Mwananchi31 May
Miaka 24 ya kifo cha Hemed Maneti Ulaya
“Maria eeeh… Marry...! Sikiliza miziki ya Awamu ya Pili Maria, inavyolalamika juu yako… sina raha Mariaaa wala sitamani kula Maria, kama nasafiri Tanga, Moshi, Arusha Sumbawanga, nakufikiria wewe Mariaaa, sijapenda namna hii toka kuzaliwa, wala sitapenda mpaka siku ya kufaaa… aah aaaah… Mariaaa eeeeh, Adios aaah aaah….â€
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1rAb-JAL3D8/XnMDwtYpMcI/AAAAAAALkYs/R6aepGJaDnEQbUWABorIPF0fzUJ_kb28ACLcBGAsYHQ/s72-c/4bv7e00ddaba541mbt9_800C450.jpg)
Burkina Faso yaripoti kifo cha kwanza cha Corona 'Sub-Sahara', virusi hivyo vyaua karibu 500 Italia ndani ya saa 24
![](https://1.bp.blogspot.com/-1rAb-JAL3D8/XnMDwtYpMcI/AAAAAAALkYs/R6aepGJaDnEQbUWABorIPF0fzUJ_kb28ACLcBGAsYHQ/s640/4bv7e00ddaba541mbt9_800C450.jpg)
Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumatano, Waziri wa Afya wa Kenya, Mutahi Kagwe amesema kuwa, watu wote hao saba wametoka nje ya Kenya. Wawili kati ya wagonjwa hao watatu wa karibuni kabisa wametokea Madrid Uhispania kupitia Dubai na mgonjwa wa tatu ni raia wa Burundi aliyewasili katika Uwanja wa Ndege wa Jomo Kenyatta jijini Nairobi akitokea Dubai...
5 years ago
BBCSwahili10 Mar
Coronavirus: Congo DRC yathibitisha kisa cha kwanza cha virusi vya Corona
Kisa cha kwanza cha virusi vya Corona kimethibitishwa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Msemaji wa wizara ya Afya amesema Jumanne.
5 years ago
BBCSwahili14 Mar
Coronavirus: Rwanda yatangaza kisa chake cha kwanza cha virusi vya Corona (COVID-19)
Rwanda imethibitisha kisa chake cha kwanza cha virusi vya Corona (COVID-19) kutoka kwa raia wa India aliyewasili nchini humo
5 years ago
BBCSwahili16 Mar
Coronavirus: Tanzania yathibitisha kuwa na kisa cha kwanza
Waziri wa afya nchini Tanzania Ummy Mwalimu amesema aliingia nchini kupitia uwanja wa ndege wa kimataifa KIA.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania