Virusi vya corona: Hatari ya dawa ya hydroxychloroquine inayotumiwa na watu kutibu Covid -19
Shirika hilo limeonya kwamba utumiaji wa dawa ya chloroquine au hydroxychloroquine bila kufuata mwongozo kunaweza kusababisha madhara makubwa ikiwemo kuumwa kupita kiasi au kifo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili06 Jun
Virusi vya Corona: Dawa ya kutibu malaria ya hydroxychloroquine sio tiba ya corona
Dawa ya kutibu malaria aina ya Hydroxychloroquine sio tiba ya Covid-19, utafiti wa Oxford umesema.
5 years ago
BBCSwahili16 Jun
Virusi vya corona: Marekani yasitisha matumizi ya dawa ya hydroxychloroquine kutibu corona
Rais Trump atetea dawa ya hydroxychloroquine licha ya shirika la FDA kusema hakuna ushahidi kuwa dawa hii inatibu corona
5 years ago
BBCSwahili26 May
Virusi vya corona: Madaktari wataja mchanganyiko wa dawa unaoweza kutibu Covid-19
Dkt John Wright kutoka Bradford Royal Infirmary (BRI) anaelezea baadhi ya majaribio yanayoendelea kwa ajili ya kupata tiba ya Covid-19, na mchanganyiko wa aina tatu za dawa ambazo zinaweza kuwa ufunguo wa tiba ya corona.
5 years ago
BBCSwahili03 May
Virusi vya corona: Je, Madagascar wamepata dawa ya mitishamba kutibu virusi vya corona?
Rais wa Madagasca ametangaza dawa ya kunywa ya mitishamba inayotokana na mmea wa pakanga pamoja na mimea mingine inayoweza kutibu maambukizi ya virusi vya corona.
5 years ago
BBCSwahili05 Jun
Virusi vya corona: Utafiti wa matumizi ya dawa ya hydroxychloroquine wapingwa
Makala maalumu iliyobainisha kuwa hydroxychloroquine inaongeza hatari ya kifo kwa wagonjwa wa virusi vya corona imeondolewa kutokana na kuwepo na maswali kuhusu data.
5 years ago
BBCSwahili09 May
Virusi vya corona: ''Dawa'' ya Madagascar inayoaminiwa kutibu virusi itachunguzwa zaidi
Baada ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa Paramagamba Kabudi kwenda Madagascar kuichukua dawa ya mititishamba inayoaminiwa kuwa inaweza kukinga na kutibu Covid-19, Tanzania imesema dawa hiyo itachunguzwa zaidi
5 years ago
BBCSwahili26 May
Virusi vya corona: WHO yasitisha majaribio ya dawa ya Hydroxychloroquine na kutoa onyo
Vipimo vilivyokuwa vikifanywa katika mataifa kadhaa vimesitishwa kwa muda kama hatua ya kuchukua tahadhari
5 years ago
BBCSwahili21 May
Virusi vya corona: Je dawa za malaria zinaweza kutibu corona pia
Jaribio la matumizi ya dawa za malaria kuona kama zinaweza kuzuia ugonjwa wa Corona limeanza nchini Uingereza katika mji wa Brighton na Oxford.
5 years ago
BBCSwahili19 May
Virusi vya Corona: Trump anakunywa dawa ya hydroxychloroquine kinyume cha maelekezo
"Kwani utapoteza nini kwa kunywa dawa hii?" amejitetea Trump.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania