Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Virusi vya corona: WHO yasitisha majaribio ya dawa ya Hydroxychloroquine na kutoa onyo

Vipimo vilivyokuwa vikifanywa katika mataifa kadhaa vimesitishwa kwa muda kama hatua ya kuchukua tahadhari

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Marekani yasitisha matumizi ya dawa ya hydroxychloroquine kutibu corona

Rais Trump atetea dawa ya hydroxychloroquine licha ya shirika la FDA kusema hakuna ushahidi kuwa dawa hii inatibu corona

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Dawa ya kutibu malaria ya hydroxychloroquine sio tiba ya corona

Dawa ya kutibu malaria aina ya Hydroxychloroquine sio tiba ya Covid-19, utafiti wa Oxford umesema.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Utafiti wa matumizi ya dawa ya hydroxychloroquine wapingwa

Makala maalumu iliyobainisha kuwa hydroxychloroquine inaongeza hatari ya kifo kwa wagonjwa wa virusi vya corona imeondolewa kutokana na kuwepo na maswali kuhusu data.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Trump anakunywa dawa ya hydroxychloroquine kinyume cha maelekezo

"Kwani utapoteza nini kwa kunywa dawa hii?" amejitetea Trump.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Hatari ya dawa ya hydroxychloroquine inayotumiwa na watu kutibu Covid -19

Shirika hilo limeonya kwamba utumiaji wa dawa ya chloroquine au hydroxychloroquine bila kufuata mwongozo kunaweza kusababisha madhara makubwa ikiwemo kuumwa kupita kiasi au kifo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Hospitali za Uingereza zaanza kufanyia majaribio dawa mpya

Dawa mpya iliotengenezwa na wanasayansi wa Uingereza kutibu Covid 19 inafanyiwa majaribio katika chuo kikuu cha Southampton.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je, Madagascar wamepata dawa ya mitishamba kutibu virusi vya corona?

Rais wa Madagasca ametangaza dawa ya kunywa ya mitishamba inayotokana na mmea wa pakanga pamoja na mimea mingine inayoweza kutibu maambukizi ya virusi vya corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Afrika sio uwanja wa majaribio ya chanjo ya corona - WHO

Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) amelaani kauli alizoziita za "kibaguzi" kutoka kwa madaktari wawili wa Ufaransa ambao walitaka chanjo ya virusi vya corona kufanyiwa majaribio barani Afrika.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Ibuprofen yafanyiwa majaribio kutibu ugonjwa huo

Wanasayansi wanafanya majaribio kuona iwapo dawa ya maumivu ya Ibruprofen inaweza kutumika katika hospitali kuwasaidia wagonjwa wa corona.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani