Virusi vya corona: Hospitali za Uingereza zaanza kufanyia majaribio dawa mpya
Dawa mpya iliotengenezwa na wanasayansi wa Uingereza kutibu Covid 19 inafanyiwa majaribio katika chuo kikuu cha Southampton.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili05 May
Virusi vya corona: Kenya kufanyia majaribio chanjo ya Covid-19 kwa binadamu
Wanasayansi wa Kenya wameungana na wenzao wa kimataifa katika juhudi za kutafuta tiba ya ugonjwa wa Covid-19, kwa kufanyia majaribio dawa tatu.
5 years ago
BBCSwahili26 May
Virusi vya corona: WHO yasitisha majaribio ya dawa ya Hydroxychloroquine na kutoa onyo
Vipimo vilivyokuwa vikifanywa katika mataifa kadhaa vimesitishwa kwa muda kama hatua ya kuchukua tahadhari
5 years ago
BBCSwahili24 Apr
Virusi vya corona: Wanasayansi wa Uingereza wanataka chanjo yao kufanyiwa majaribio Kenya
Watafiti kutoka nchini Uingereza wanafikiria kufanyia majaribio chanjo ya virusi vya corona nchini Kenya ambapo kulingana na wao mlipuko wa ugonjwa huo unaongezeka.
5 years ago
BBCSwahili31 May
Virusi vya corona: Uingereza imeruhusu matumizi ya dawa ya kukabiliana na virusi ya remdesivir
Dawa ya Remdesivir ilikuwa imevumbuliwa kukabiliana na virusi vya Ebola.
5 years ago
BBCSwahili13 May
Virusi vya corona: Je corona itatulazimisha kufanyia kazi nyumbani daima?
Kampuni ya Twitter imewaambia wafanyakazi wake kwamba wanaweza kufanyia kazi nyumbani "daima" kama wanataka kufanya hivyo wakati ikitathmini hali ya baadae ya mtandao huo wa kijamii baada ya janga la virusi vya corona.
5 years ago
BBCSwahili06 Apr
Virusi vya Corona: Boris Jonhson alazwa hospitali akionyesha dalili za virusi vya corona
Boris Johnson anaendelea na "vipimo vya kawaida", siku 10 baada ya kugunduliwa na virusi vya corona
5 years ago
BBCSwahili03 May
Virusi vya corona: Je, Madagascar wamepata dawa ya mitishamba kutibu virusi vya corona?
Rais wa Madagasca ametangaza dawa ya kunywa ya mitishamba inayotokana na mmea wa pakanga pamoja na mimea mingine inayoweza kutibu maambukizi ya virusi vya corona.
5 years ago
BBCSwahili07 Apr
Virusi vya corona: Afrika sio uwanja wa majaribio ya chanjo ya corona - WHO
Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) amelaani kauli alizoziita za "kibaguzi" kutoka kwa madaktari wawili wa Ufaransa ambao walitaka chanjo ya virusi vya corona kufanyiwa majaribio barani Afrika.
5 years ago
BBCSwahili03 Jun
Virusi vya corona: Ibuprofen yafanyiwa majaribio kutibu ugonjwa huo
Wanasayansi wanafanya majaribio kuona iwapo dawa ya maumivu ya Ibruprofen inaweza kutumika katika hospitali kuwasaidia wagonjwa wa corona.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania