Virusi vya corona: Je corona itatulazimisha kufanyia kazi nyumbani daima?
Kampuni ya Twitter imewaambia wafanyakazi wake kwamba wanaweza kufanyia kazi nyumbani "daima" kama wanataka kufanya hivyo wakati ikitathmini hali ya baadae ya mtandao huo wa kijamii baada ya janga la virusi vya corona.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LJteoQI_uPQ/Xmy3ZdAL8MI/AAAAAAALjUg/5wfTulFQAgEOARTi6YDE-BNmvrBw7yv6QCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv75dc7f163281m87d_800C450.jpg)
Wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa kufanyia kazi nyumbani kutokana na corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-LJteoQI_uPQ/Xmy3ZdAL8MI/AAAAAAALjUg/5wfTulFQAgEOARTi6YDE-BNmvrBw7yv6QCLcBGAsYHQ/s640/4bv75dc7f163281m87d_800C450.jpg)
Kwa mujibu wa taarifa, siku ya Ijumaa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema kuanzia 16 Machi hadi 12 Aprili wafanyakazi wa makao makuu ya umoja huo mjini New York watafanyia kazi zao nyumbani isipokuwa tu wale ambao ni dharura wafike ofisini.
Tangazo hilo limetolewa baada ya mwanadiplomasia wa Ufilipino...
5 years ago
BBCSwahili07 Apr
Virusi vya corona: Je vipimo vya kugundua virusi vya corona vinafanya kazi vipi?
Vipimo vya kugundua virusi vya corona ni vipi na vinafanyakazi namna gani?
5 years ago
BBCSwahili18 Apr
Virusi vya corona: Uganda kumrudisha nyumbani Mtanzania aliyeambukizwa corona
Hatua ya Uganda kuwarudisha makwao raia wa kigeni waliopatikana na ugonjwa wa corona yazua gumzo kali.
5 years ago
BBCSwahili04 Jun
Virusi vya corona: Wagonjwa wa corona Kenya kutibiwa nyumbani ili kupunguza msongamano hospitalini
Serikali ya Kenya inatenegeneza muongozo wa uangalizi salama wa wagonjwa wa virusi vya corona wakia nyumbani.
5 years ago
BBCSwahili04 Jun
Virusi vya corona: Mapadre wanaoamini corona ni 'kazi ya shetani'
Kikundi cha mapadre wa kikatoliki katika eneo la Metro Manila wamekua wakihatarisha maisha yao kuendelea kuwahudumia watu wa jamii zilizokumbwa na umaskini.
5 years ago
BBCSwahili05 May
Virusi vya corona: Kenya kufanyia majaribio chanjo ya Covid-19 kwa binadamu
Wanasayansi wa Kenya wameungana na wenzao wa kimataifa katika juhudi za kutafuta tiba ya ugonjwa wa Covid-19, kwa kufanyia majaribio dawa tatu.
5 years ago
BBCSwahili04 May
Virusi vya corona: Hospitali za Uingereza zaanza kufanyia majaribio dawa mpya
Dawa mpya iliotengenezwa na wanasayansi wa Uingereza kutibu Covid 19 inafanyiwa majaribio katika chuo kikuu cha Southampton.
5 years ago
BBCSwahili08 Apr
Virusi vya Corona: Marekani yarekodi vifo vingi zaidi vya virusi vya corona kwa siku
Marekani imerekodi vifo vingi vya ugonjwa wa virusi vya corona kwa siku huku watu 1,736 wakifariki siku ya Jumanne.
5 years ago
BBCSwahili19 Jun
Mabadiliko ya virusi vya corona: Kwanini virusi vya corona vina tabia ya magonjwa yanayosambazwa kupitia ngono
Utafiti wa virusi vya Covid-19 ulikadiria kwamba kiwango kikuu cha maambukizi ya virusi hivyo hutokea siku moja au mbili kabla ya mtu aliyeambukizwa kuanza kuonyesha dalili.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania