Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Virusi vya corona: Uganda kumrudisha nyumbani Mtanzania aliyeambukizwa corona

Hatua ya Uganda kuwarudisha makwao raia wa kigeni waliopatikana na ugonjwa wa corona yazua gumzo kali.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

UGANDA KUMRUDISHA MTANZANIA ALIYEAMBUKIZWA CORONA

Wizara ya afya nchini Uganda imethibitisha kuwa ipo katika harakati za kumtafuta raia wa Tanzania aliyepatikana na virusi vya corona kwa lengo la kumrudisha nyumbani.
Mtu huyo wa miaka 34, ambaye ni dereva wa lori kutoka Dar es Salaam, Tanzania aliwasili katika kituo cha mpakani cha Mutukula Aprili 16 ,2020.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Wizara ya Afya mtu huyo hakuonesha dalili zozote za Covid-19.
Hatua ya Uganda kuwarudisha makwao raia wa kigeni waliopatikana na ugonjwa wa corona...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je corona itatulazimisha kufanyia kazi nyumbani daima?

Kampuni ya Twitter imewaambia wafanyakazi wake kwamba wanaweza kufanyia kazi nyumbani "daima" kama wanataka kufanya hivyo wakati ikitathmini hali ya baadae ya mtandao huo wa kijamii baada ya janga la virusi vya corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Wagonjwa wa corona Kenya kutibiwa nyumbani ili kupunguza msongamano hospitalini

Serikali ya Kenya inatenegeneza muongozo wa uangalizi salama wa wagonjwa wa virusi vya corona wakia nyumbani.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Itakua ni ''uendawazimu'' kuendesha uchaguzi wakati wa corona, asema rais wa Uganda

Rais wa Uganda Yoweri Museveni amesema kuwa itakua ni 'uendawazimu' kuendesha uchaguzi wakati wa mlipuko wa virusi vya corona

 

5 years ago

BBCSwahili

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Marekani yarekodi vifo vingi zaidi vya virusi vya corona kwa siku

Marekani imerekodi vifo vingi vya ugonjwa wa virusi vya corona kwa siku huku watu 1,736 wakifariki siku ya Jumanne.

 

5 years ago

BBCSwahili

Mabadiliko ya virusi vya corona: Kwanini virusi vya corona vina tabia ya magonjwa yanayosambazwa kupitia ngono

Utafiti wa virusi vya Covid-19 ulikadiria kwamba kiwango kikuu cha maambukizi ya virusi hivyo hutokea siku moja au mbili kabla ya mtu aliyeambukizwa kuanza kuonyesha dalili.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Mikutano mikubwa ya Kampeni za uchaguzi yaibua hofu ya maambukizi ya virusi vya corona

Picha zinazoonyesha mikusanyiko ya maelfu ya watu waliokusanyika Jumatatu kwa uzinduzi wa mikutano ya kampeni za kisiasa nchini zimeibua wasi wasi mkubwa ya kuongezeka kwa maambukizi ya virusi vya corona kabla ya taifa hilo kufanya uchaguzi unaotarajiwa tarehe 20 Mei mwaka huu.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je ni kwanini Idadi ya watu walioambukizwa virusi Uganda inapunguzwa?

Waziri wa afya nchini Uganda amerudisha nyuma namba za idadi ya watu waliopata maambukizi ya corona nchini Uganda baada ya rais Yoweri Museveni kutoa agizo kuondoa idadi ya madereva wote wageni katika orodha ya wagonjwa wa corona nchini Uganda.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani