UGANDA KUMRUDISHA MTANZANIA ALIYEAMBUKIZWA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-yuuHYosr8LA/XprywVUkG5I/AAAAAAAAyOE/IGr8x-MlgwsNhAMOj26Ei02vz99cL8lagCLcBGAsYHQ/s72-c/yoweri.jpg)
Wizara ya afya nchini Uganda imethibitisha kuwa ipo katika harakati za kumtafuta raia wa Tanzania aliyepatikana na virusi vya corona kwa lengo la kumrudisha nyumbani.
Mtu huyo wa miaka 34, ambaye ni dereva wa lori kutoka Dar es Salaam, Tanzania aliwasili katika kituo cha mpakani cha Mutukula Aprili 16 ,2020.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Wizara ya Afya mtu huyo hakuonesha dalili zozote za Covid-19.
Hatua ya Uganda kuwarudisha makwao raia wa kigeni waliopatikana na ugonjwa wa corona...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili18 Apr
Virusi vya corona: Uganda kumrudisha nyumbani Mtanzania aliyeambukizwa corona
5 years ago
BBCSwahili12 May
Virusi vya corona: Itakua ni ''uendawazimu'' kuendesha uchaguzi wakati wa corona, asema rais wa Uganda
5 years ago
BBCSwahili24 Apr
Virusi vya Corona: Uganda yatazamia kudhibiti corona kwa kuwazuia madereva wa Kenya, Tanzania
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8mRaq_Brbso/XsD1bTJeOtI/AAAAAAALqiM/nxaNsPjrQqI6dVmeRtR1YXZmyLcEYnCtACLcBGAsYHQ/s72-c/15490986-15a4-46a3-8bd5-763f746c6d4d.jpg)
BOB MAKANI- MTANZANIA KIPANGA ALIYEKUWA NA TALANTA LUKUKI NA KUCHEZEA TIMU YA TAIFA YA UGANDA 'GOSSAGE CUP'.
By MZEE WA _ATIKALI ✍️✍️✍️
1. Usuli
Bongolanders walimjua marehemu BOB NYANGA MAKANI kama Mwanasiasa mahiri. Lakini, wengi hawajui kwamba BOB alikuwa ni kipanga aliyejaaliwa talanta lukuki na alifanya mambo mengi ya kipekee na yasiyo mfanowe ikiwemo kuichezea Timu ya Taifa ya Uganda kwenye michuano ya "Gossage Cup" kabla ya Uhuru, licha ya kuwa Mtanzania!.
Hivyo, ATIKALI hii inammyambua marehemu BOB NYANGA MAKANI toka anazaliwa hadi umauti unamfika huku ikitanabaisha talanta zake hizo...
11 years ago
BBCSwahili03 Aug
Daktari aliyeambukizwa Ebola asafarishwa
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QltHpcOjYwI/XoH2qUkgE1I/AAAAAAALllA/5q3xg4GDbog7jiegIqDlcUVO5z9-ea0ewCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Waziri wa Viwanda na Biashara ampongeza mjasiriamali mtanzania aliyebuni kifaa maalumu cha kunawia mikono ili kujikinga na virusi vya Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-QltHpcOjYwI/XoH2qUkgE1I/AAAAAAALllA/5q3xg4GDbog7jiegIqDlcUVO5z9-ea0ewCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Akizungumza leo Waziri Bashungwa amempongeza Jonas Urio kwa ubunifu wake huo wa kutengeza kifaa kizuri na bora cha kunawia mikono ambacho kinaweza kutumiwa na taasisi mbalimbali za serikali na binafsi kuhudumia watu mbalimbali kusafisha mikono yao ili kuendeleza...
11 years ago
Mwananchi24 Jul
Simba kumrudisha Okwi
9 years ago
BBCSwahili22 Nov
Van Gaal kumrudisha Ronaldo Old Trafford
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-IqLZ2_8Z01A/XpXA9B5pkWI/AAAAAAAC3DU/XKXJX7dcHdEFN6x5cas8oxL9AoQf-qa9QCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS MUSEVENI UGANDA AONGEZA SIKU NYINGINE 21 KUKABILIANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-IqLZ2_8Z01A/XpXA9B5pkWI/AAAAAAAC3DU/XKXJX7dcHdEFN6x5cas8oxL9AoQf-qa9QCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Mpaka sasa watu 54 wamegunduliwa kuwa na maambukizi ya virusi hivyo na kati yao wanne wamepona. Hakuna kifo kilichoripotiwa kufikia sasa.
Machi 31, Museveni alitangaza marufuku ya watu kutokutoka nje kwa siku 14, ambazo zilikuwa zinaisha leo Aprili 14.
Hii...