Waziri wa Viwanda na Biashara ampongeza mjasiriamali mtanzania aliyebuni kifaa maalumu cha kunawia mikono ili kujikinga na virusi vya Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-QltHpcOjYwI/XoH2qUkgE1I/AAAAAAALllA/5q3xg4GDbog7jiegIqDlcUVO5z9-ea0ewCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Waziri wa Viwanda na Biashara, Innocent Bashungwa (Mb) leo tarehe 30 Machi, 2020 amepokea kifaa maalumu cha kunawia mikono kilichotengenezwa na mjasiriamali wa kitanzania ndugu. Jonas Urio (Ambaye anatokea katika mkoa wa Manyara).
Akizungumza leo Waziri Bashungwa amempongeza Jonas Urio kwa ubunifu wake huo wa kutengeza kifaa kizuri na bora cha kunawia mikono ambacho kinaweza kutumiwa na taasisi mbalimbali za serikali na binafsi kuhudumia watu mbalimbali kusafisha mikono yao ili kuendeleza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-MKAB4A1zsIU/XuPm9hg5fxI/AAAAAAABMV0/RvznYIhH92MV1xGVqpyhXuiyT84XexGRACLcBGAsYHQ/s72-c/CSR%2BSingida%2B%25281%2529.png)
NMB YAKABIDHI MSAADA WA VIFAA VYA KUNAWIA MIKONO KUJIKINGA NA CORONA MKOANI SINGIDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-MKAB4A1zsIU/XuPm9hg5fxI/AAAAAAABMV0/RvznYIhH92MV1xGVqpyhXuiyT84XexGRACLcBGAsYHQ/s400/CSR%2BSingida%2B%25281%2529.png)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7MJ9syTnl30/XrAzZmQridI/AAAAAAALpGY/SZpfm-apwTYVYURBtD4tcyn-KQMZgmLBQCLcBGAsYHQ/s72-c/c17bab71-258b-440c-acdc-4a1bdc09f0df.jpg)
BUWASA WAJENGA VIZIMBA VYA KUNAWIA MIKONO TAHADHARI YA CORONA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-7MJ9syTnl30/XrAzZmQridI/AAAAAAALpGY/SZpfm-apwTYVYURBtD4tcyn-KQMZgmLBQCLcBGAsYHQ/s640/c17bab71-258b-440c-acdc-4a1bdc09f0df.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-_0hNoL8KVxI/XrAzYbN9zFI/AAAAAAALpGM/OqnrhzeHArMqLQx6ql9R7KXAc6alTNrbgCLcBGAsYHQ/s640/27dc27be-3165-4d9d-8c88-9b11038f4b2f.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-FjtkhHiPaQM/XrAzYSWmH6I/AAAAAAALpGE/Qkx6gBp2Rcc5vDW1NI-guKlCsI3XNFELACLcBGAsYHQ/s640/34ebc759-af07-4cb1-81e8-d68c37a7d465.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nPGFP5uaTS4/XsUfptrrxlI/AAAAAAALq8k/PtLuwj4DKrwaEoy5xpqm3CEUBmsLxQ-_wCLcBGAsYHQ/s72-c/GGG.jpg)
SOKO LA MABIBO CORONA BASI, LANUFAIKA, KUTENGEENEZEWA VIZIMBA VYA KUNAWIA MIKONO KWA KILA MTUMIAJI.
Akiongea mwakilishi wa taasisi ya Vijana Think Tank (VTT) @vijanathinktank Bi....
5 years ago
BBCSwahili24 Jun
Virusi vya corona: sababu za kuwepo kwa mlipuko wa virusi kwenye viwanda vya nyama
5 years ago
BBCSwahili03 Jun
Virusi vya Corona: Kutana na Msafiri Mjema aliyebuni mfumo kujifukiza jijini Dar es Salaam
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Xzv1srXyK3g/Xon6SJ460HI/AAAAAAALmFE/9m0UtaKWCAw3KJyfbjhoFc1oUu3WDeWmQCLcBGAsYHQ/s72-c/9c069937-d26c-49e9-91b6-bfe6fbb2247f.jpg)
PICHA MBALIMBALI ZIKIMUONESHA WAZIRI SIMBACHAWENE AKINAWA MIKONO KUJIKINGA NA MAAMBUKIZI YA UGONJWA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Xzv1srXyK3g/Xon6SJ460HI/AAAAAAALmFE/9m0UtaKWCAw3KJyfbjhoFc1oUu3WDeWmQCLcBGAsYHQ/s640/9c069937-d26c-49e9-91b6-bfe6fbb2247f.jpg)
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA ATEMBELEA VIWANDA VYA GENERAL TYRE NA A TO Z JIJINI ARUSHA
10 years ago
GPLNAIBU WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA ,JANET MBENE ATEMBELEA VIWANDA VYA GENERAL TYRE NA A TO Z JIJINI ARUSHA
5 years ago
BBCSwahili18 Apr
Virusi vya corona: Uganda kumrudisha nyumbani Mtanzania aliyeambukizwa corona