BUWASA WAJENGA VIZIMBA VYA KUNAWIA MIKONO TAHADHARI YA CORONA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-7MJ9syTnl30/XrAzZmQridI/AAAAAAALpGY/SZpfm-apwTYVYURBtD4tcyn-KQMZgmLBQCLcBGAsYHQ/s72-c/c17bab71-258b-440c-acdc-4a1bdc09f0df.jpg)
Pichani anaonekana Fundi Bomba kutoka BUWASA Ndg. Vicent Mashauri akimuelekeza mtoto namna ya kunawa Mikono katika zile hatua zinazoelekezwa na Mamlaka za Afya.
Pichani ni Mkuu wa Wilaya za Bukoba Mhe. Deodatus Kinawiro akizindua kwa Vitendo Vizimba Vitatu vilivyojengwa na BUWASA lengo likiwa ni Wananchi na Jamii kwa ujumla waendelee kunawa mikono kama tahadhari ya Corona.
Pichani. Ndoo zipatazo Thelathini zilizotolewa na BUWASA tayari kugawiwa katika maeneo mbalimbali hasa vituo vya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RQmWt8rLPzI/XsasHD1haiI/AAAAAAALrLM/5Tv07fMyv-orWYdMFsnVtFiGhzDPM3wXgCLcBGAsYHQ/s72-c/ff94edf3-5a52-4be9-a330-c66e59faba35.jpg)
BUWASA WAKABIDHI VIZIMBA VYA KUNAWIA MIKONO HOSPTALI YA RUFAA BUKOBA.
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Bukoba (BUWASA), Wameendelea kurudisha fadhila kwa wateja wao na jamii kwa ujumla kwa kujenga Vizimba Vingine viwili vya kunawia mikono, ikiwa ni tahadhari ya kujikinga gonjwa la corona,na hivyo kufanya Idadi ya vizimba hivyo kufikia vitano vilivyojengwa ndani ya Manispaa ya Bukoba.
Akisoma Taarifa ya utelekezaji wa miradi hiyo, Mkurugenzi wa BUWASA Ndg. John Sirati amesema kuwa Mamlaka katika kuhakikisha jamii...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nPGFP5uaTS4/XsUfptrrxlI/AAAAAAALq8k/PtLuwj4DKrwaEoy5xpqm3CEUBmsLxQ-_wCLcBGAsYHQ/s72-c/GGG.jpg)
SOKO LA MABIBO CORONA BASI, LANUFAIKA, KUTENGEENEZEWA VIZIMBA VYA KUNAWIA MIKONO KWA KILA MTUMIAJI.
Akiongea mwakilishi wa taasisi ya Vijana Think Tank (VTT) @vijanathinktank Bi....
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-MKAB4A1zsIU/XuPm9hg5fxI/AAAAAAABMV0/RvznYIhH92MV1xGVqpyhXuiyT84XexGRACLcBGAsYHQ/s72-c/CSR%2BSingida%2B%25281%2529.png)
NMB YAKABIDHI MSAADA WA VIFAA VYA KUNAWIA MIKONO KUJIKINGA NA CORONA MKOANI SINGIDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-MKAB4A1zsIU/XuPm9hg5fxI/AAAAAAABMV0/RvznYIhH92MV1xGVqpyhXuiyT84XexGRACLcBGAsYHQ/s400/CSR%2BSingida%2B%25281%2529.png)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QltHpcOjYwI/XoH2qUkgE1I/AAAAAAALllA/5q3xg4GDbog7jiegIqDlcUVO5z9-ea0ewCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Waziri wa Viwanda na Biashara ampongeza mjasiriamali mtanzania aliyebuni kifaa maalumu cha kunawia mikono ili kujikinga na virusi vya Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-QltHpcOjYwI/XoH2qUkgE1I/AAAAAAALllA/5q3xg4GDbog7jiegIqDlcUVO5z9-ea0ewCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Akizungumza leo Waziri Bashungwa amempongeza Jonas Urio kwa ubunifu wake huo wa kutengeza kifaa kizuri na bora cha kunawia mikono ambacho kinaweza kutumiwa na taasisi mbalimbali za serikali na binafsi kuhudumia watu mbalimbali kusafisha mikono yao ili kuendeleza...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RWunr7ekgNo/Xq2o2pptWKI/AAAAAAALo3A/rpUP7PcMhi0myD8RMshzDsuo58duRjXzQCLcBGAsYHQ/s72-c/2-1AAA-768x512.jpg)
MANYANYA ATANGAZA MSAKO KWA WAFANYABISHARA WANAOUZA BEI KUBWA NDOO ZA KUNAWIA MIKONO
![](https://1.bp.blogspot.com/-RWunr7ekgNo/Xq2o2pptWKI/AAAAAAALo3A/rpUP7PcMhi0myD8RMshzDsuo58duRjXzQCLcBGAsYHQ/s640/2-1AAA-768x512.jpg)
………………………………………………………………………..
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Stella Manyanya ameelekeza Viwanda ya plastiki nchini kuzalisha ndoo kwa wingi na ametoa onyo kali kwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FxdO6C5ulDU/Xq3D5P5RaGI/AAAAAAALo3M/HHSTCyApVLsLemCofA_Va9zJT3Sixm3FgCLcBGAsYHQ/s72-c/kk.jpg)
5 years ago
BBCSwahili10 May
Virusi vya corona : Je walimwengu watawahi kusalimiana kwa mikono tena?
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nY7zc2FvKic/Xs4Y98FiuKI/AAAAAAALrq8/-uJWKnjhTUc21KSmgQ5NHdaVxRsHeioJQCLcBGAsYHQ/s72-c/furaha.jpg)
KAMPUNI YA ASAS YAKABIDHI STENDI KUU YA IGUMBILO NA STENDI YA ZAMANI MTAMBO WA KUNAWIA MIKONO
NA DENIS MLOWE,IRINGA
STENDI kuu ya Igumbilo na stendi ya zamani zimekabidhiwa msaada wa mashine ya kunawia mikono ya kisasa kutoka kwa kampuni ya Asas ya mjini Iringa ikiwa ni mwendelezo wa kampuni hiyo kusaidia jamii kupambana na kuenea kwa virusi vya coroni mkoani hapa.
Msaada huo wa mashine mbili za kisasa ambazo zinazinatumia miguu kuweza kutoa maji na vitakasa mikono ni kubwa zinazoweza kuhudumia watu zaidi ya watano kwa wakati mmoja zimekabidhiwa na mwakilishi wa kampuni hiyo, Afisa...
5 years ago
BBCSwahili10 Apr
Virusi vya corona: Changamoto ya kuosha mikono wakati kuna uhaba wa maji