Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BUWASA WAKABIDHI VIZIMBA VYA KUNAWIA MIKONO HOSPTALI YA RUFAA BUKOBA.

Na Abdullatif Yunus Michuzi TV.

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Bukoba (BUWASA), Wameendelea kurudisha fadhila kwa wateja wao na jamii kwa ujumla kwa kujenga Vizimba Vingine viwili vya kunawia mikono, ikiwa ni tahadhari ya kujikinga gonjwa la corona,na hivyo kufanya Idadi ya vizimba hivyo kufikia vitano vilivyojengwa ndani ya Manispaa ya Bukoba.

Akisoma Taarifa ya utelekezaji wa miradi hiyo, Mkurugenzi wa BUWASA Ndg. John Sirati amesema kuwa Mamlaka katika kuhakikisha jamii...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

BUWASA WAJENGA VIZIMBA VYA KUNAWIA MIKONO TAHADHARI YA CORONA.

Pichani anaonekana Fundi Bomba kutoka BUWASA Ndg. Vicent Mashauri akimuelekeza mtoto namna ya kunawa Mikono katika zile hatua zinazoelekezwa na Mamlaka za Afya. Pichani ni Mkuu wa Wilaya za Bukoba Mhe. Deodatus Kinawiro akizindua kwa Vitendo Vizimba Vitatu vilivyojengwa na BUWASA lengo likiwa ni Wananchi na Jamii kwa ujumla waendelee kunawa mikono kama tahadhari ya Corona. Pichani. Ndoo zipatazo Thelathini zilizotolewa na BUWASA tayari kugawiwa katika maeneo mbalimbali hasa vituo vya...

 

5 years ago

Michuzi

SOKO LA MABIBO CORONA BASI, LANUFAIKA, KUTENGEENEZEWA VIZIMBA VYA KUNAWIA MIKONO KWA KILA MTUMIAJI.

Taasisi isiyo ya kiserekali ya Vijana Think Tank (VTT)  @vijanathinktank ambayo inajumuisha vijana zaidi ya 250, ambayo ilianza kama jukwaa kupitia group la WhatsApp, siku ya leo wamekabidhi vizimba vitatu vya maji kwa mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo baada ya kuchangishana pesa kupitia kundi hilo la WhatsApp na kuamua kupamabana na janga la Corona kwa kuelekeza nguvu zao kwenye masoko mkoani Dar Es Salaam.
Akiongea mwakilishi wa taasisi ya Vijana Think Tank (VTT)  @vijanathinktank Bi....

 

5 years ago

CCM Blog

NMB YAKABIDHI MSAADA WA VIFAA VYA KUNAWIA MIKONO KUJIKINGA NA CORONA MKOANI SINGIDA

Meneja wa NMB Kanda Kati, Nsolo Mlozi (wa pili kushoto) pamoja na Meneja wa NMB Tawi wa Singida - Willy Mponzi (kushoto), wakimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dk. Rehema Nchimbi (kulia) msaada wa vifaa vya kunawa mikono ili kujikinga na maambukizi ya ugonjwa wa homa ya corona, kwa ajili ya kugawa kwenye taasisi mkoani hapo.

 

5 years ago

Michuzi

Waziri wa Viwanda na Biashara ampongeza mjasiriamali mtanzania aliyebuni kifaa maalumu cha kunawia mikono ili kujikinga na virusi vya Corona

Waziri wa Viwanda na Biashara, Innocent Bashungwa (Mb) leo tarehe 30 Machi, 2020 amepokea kifaa maalumu cha kunawia mikono kilichotengenezwa na mjasiriamali wa kitanzania ndugu. Jonas Urio (Ambaye anatokea katika mkoa wa Manyara).
 Akizungumza leo Waziri Bashungwa amempongeza Jonas Urio kwa ubunifu wake huo wa kutengeza kifaa kizuri na bora cha kunawia mikono ambacho kinaweza kutumiwa na taasisi mbalimbali za serikali na binafsi kuhudumia watu mbalimbali kusafisha mikono yao ili kuendeleza...

 

5 years ago

Michuzi

MANYANYA ATANGAZA MSAKO KWA WAFANYABISHARA WANAOUZA BEI KUBWA NDOO ZA KUNAWIA MIKONO

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Stella Manyanya akikagua uzalishaji wa ndoo katika kiwanda cha Silafrica Tanzania Ltd {Sumalia} ambazo zinantumika kunawia mikono ili kujikinga na maambukizi ya ugojwa wa Corona, Dar es salaam, 02 may 2020. {Picha zote na Eliud Rwechungura – Wizara ya viwanda na Biashara}

………………………………………………………………………..

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Stella Manyanya ameelekeza Viwanda ya plastiki nchini kuzalisha ndoo kwa wingi na ametoa onyo kali kwa...

 

10 years ago

Vijimambo

MBOWE AKABIDHI AMBULANCE MBILI KWA HOSPTALI YA WILAYA YA HAI NA HOSPTALI YA MACHAME


Mbunge wa jimbo la Hai,Freeman Mbowe akiwa amembeba mtoto mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Kuni na kulakiwa na wananchi katika jimbo hilo.Magari ya wagonjwa yaliyotolewa na Mbunge wa Jimbo la Hai kwa ajili ya wagonjwa jimboni humo.Mbunge Mbowe akiwa amembeba moja ya watoto waliofika uwanjani hapo kwa ajili ya kushuhudia msaada wa magari ya wagonjwa yaliyotolewa na mbunge huyo kwa watu wa jimbo la Hai.
Muonekano wa ndani wa magari hayo ya kubebea wagonjwa .Baadhi ya viongozi...

 

5 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA ASAS YAKABIDHI STENDI KUU YA IGUMBILO NA STENDI YA ZAMANI MTAMBO WA KUNAWIA MIKONO



NA DENIS MLOWE,IRINGA

STENDI kuu ya Igumbilo na stendi ya zamani zimekabidhiwa msaada wa mashine ya kunawia mikono ya kisasa kutoka kwa kampuni ya Asas ya mjini Iringa ikiwa ni mwendelezo wa kampuni hiyo kusaidia jamii kupambana na kuenea kwa virusi vya coroni mkoani hapa.

Msaada huo wa mashine mbili za kisasa ambazo zinazinatumia miguu kuweza kutoa maji na vitakasa mikono ni kubwa zinazoweza kuhudumia watu zaidi ya watano kwa wakati mmoja zimekabidhiwa na mwakilishi wa kampuni hiyo, Afisa...

 

5 years ago

Michuzi

MTANDAO WA VIONGOZI WANAWAKE WAKABIDHI VIFAA VYA CORONA VYA SH MILIONI TANO GEREZA LA ISANGA DODOMA

Na Mwandishi Wetu, DodomaMTANDAO wa Viongozi Wanawake Wanaochipukia katika Utumishi wa Umma Tanzania ujulikanao kama Emerging Women Leaders in Tanzania (EWLT) umetoa vifaa vya usafi kwa ajili ya kujikinga na ugonjwa wa Corona kwa gereza la Isanga.
Akizungumza wakati wa kukabidhi msaada huo,  mmoja wa Waanzilishi wa mtandao huo, Beatrice Kimoleta amesema hatua hiyo wameifanya ikiwa ni kuunga mkono kwa vitendo juhudi kubwa zinazofanywa na Serikali katika kupambana na ugonjwa wa Corona.
“  Mhe....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani