Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MANYANYA ATANGAZA MSAKO KWA WAFANYABISHARA WANAOUZA BEI KUBWA NDOO ZA KUNAWIA MIKONO

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Stella Manyanya akikagua uzalishaji wa ndoo katika kiwanda cha Silafrica Tanzania Ltd {Sumalia} ambazo zinantumika kunawia mikono ili kujikinga na maambukizi ya ugojwa wa Corona, Dar es salaam, 02 may 2020. {Picha zote na Eliud Rwechungura – Wizara ya viwanda na Biashara}

………………………………………………………………………..

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Stella Manyanya ameelekeza Viwanda ya plastiki nchini kuzalisha ndoo kwa wingi na ametoa onyo kali kwa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

RC MAKONDA ATANGAZA VITA NA WANAOPANDISHA BEI YA SUKARI, MSAKO MKALI KUANZA KESHO.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda leo ametangaza vita na Wafanyabiashara wanaouza Sukari kwa bei ghali tofauti na bei elekezi ya Serikali ambapo amesema ifikapo Kesho kikosi kazi kitafanya ukaguzi na watakaobainika kuuza bidhaa hiyo kwa bei ya juu Watakamatwa na Sukari kutaifishwa na Serikali.

RC Makonda amewaelekeza Wakuu wa Wilaya zote Tano za Mkoa huo kuhakikisha msako huo unaanza kesho na asisalie Mfanyabiashara yoyote anaeuza Sukari hiyo kwa Bei ya Juu.

Hatua hiyo imekuja...

 

5 years ago

Michuzi

SOKO LA MABIBO CORONA BASI, LANUFAIKA, KUTENGEENEZEWA VIZIMBA VYA KUNAWIA MIKONO KWA KILA MTUMIAJI.

Taasisi isiyo ya kiserekali ya Vijana Think Tank (VTT)  @vijanathinktank ambayo inajumuisha vijana zaidi ya 250, ambayo ilianza kama jukwaa kupitia group la WhatsApp, siku ya leo wamekabidhi vizimba vitatu vya maji kwa mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo baada ya kuchangishana pesa kupitia kundi hilo la WhatsApp na kuamua kupamabana na janga la Corona kwa kuelekeza nguvu zao kwenye masoko mkoani Dar Es Salaam.
Akiongea mwakilishi wa taasisi ya Vijana Think Tank (VTT)  @vijanathinktank Bi....

 

5 years ago

CCM Blog

SERIKALI IMEWATAKA WANAOUZA BIDHAA ZA KUJIKINGA DHIDI YA CORONA-19, KUUZA KWA BEI ILIYOKO SOKONI

   Na. Mwandishi Wetu-MAELEZOSerikali kupitia Wizara ya Viwanda na Biashara, Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto na Taasisi mbalimbali za Serikali imejipanga vyema kukabiliana na changamoto zinazohusiana na mapambano dhidi ya mlipuko wa ugonjwa wa Corona (Covid-19).
Katika kuhakikisha changamoto hizo zinatatuliwa jana Waziri Innocent Bashungwa ametembelea viwanda vinavyozalisha sabuni na Vitakasa mikono vilivyoko Jijini Dar es Salaam kuangalia bei ya bidhaa hiyo na...

 

5 years ago

Michuzi

Serikali Imewataka wanaouza Bidhaa za Kujikinga dhidi ya Covid-19, Kuuza kwa Bei iliyoko Sokoni


Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Innocent Bashungwa akifafanua jambo kwa Waandishi wa Habari(hawapo pichani), kuhusu bidhaa za kujinga na Covid-19, ambapo baadhi ya wafanyabiashara wamekuwa wakipandisha bei, Waziri amewataka waache hiyo tabia kabla ya kuchukuliwa hatua kali, kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa TBS. Dkt. Ngenya, na kulia ni Mkurugenzi wa Tume ya Ushindani (FCC), John Mduma katika mkutano na Waanshi wa Habari Jijini Dar es Salaam.

 ========  ========  =======
Serikali kupitia...

 

5 years ago

Michuzi

BUWASA WAJENGA VIZIMBA VYA KUNAWIA MIKONO TAHADHARI YA CORONA.

Pichani anaonekana Fundi Bomba kutoka BUWASA Ndg. Vicent Mashauri akimuelekeza mtoto namna ya kunawa Mikono katika zile hatua zinazoelekezwa na Mamlaka za Afya. Pichani ni Mkuu wa Wilaya za Bukoba Mhe. Deodatus Kinawiro akizindua kwa Vitendo Vizimba Vitatu vilivyojengwa na BUWASA lengo likiwa ni Wananchi na Jamii kwa ujumla waendelee kunawa mikono kama tahadhari ya Corona. Pichani. Ndoo zipatazo Thelathini zilizotolewa na BUWASA tayari kugawiwa katika maeneo mbalimbali hasa vituo vya...

 

5 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI MANYANYA AKABIDHI MALIGHAFI ZINAZOTUMIKA KUTENGENEZA VITAKASA MIKONO (HAND SANITIZER) KWA WIZARA YA AFYA TIRDO NA SIDO LEO

 Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhandisi Stella Manyanya (Kushoto)akikabidhi ethanol kwa wizara ya afya katika hafla ya kukabidhi malighafi (Ethanol) kwa ajili ya kutengenezea vitakasa mikono katika kiwanda cha Consumer’s Choice Jijini Dar es Salaam.  Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhandisi Stella Manyanya (Kulia)akikabidhi ethanol Shirika la Viwanda Vidogo SIDO katika hafla ya kukabidhi malighafi (Ethanol) kwa ajili ya kutengenezea vitakasa mikono katika kiwanda cha Consumer’s...

 

5 years ago

Michuzi

Waziri Bashungwa awataka wanaouza vitakasa mikono kuwa wazalendo


*Atembelea viwanda vya vinavyozalisha vitakasa mikono

Na Chalila Kibuda ,Michuzi Globu.

Serikali kupitia Wizara ya Viwanda na Biashara imewaelekeza Shirika la Viwango Tanzania (TBS),kushirikiana kwa karibu na wazalishaji waliopo na wengine wapya wanaonesha nia ya kuzalisha bidhaa ya Vitakatisha Mikono kuona ni namna wananvyoweza kuongeza upatikanaji wa bidhaa hiyo sokoni.

Wizara kwa kushirikiana na taasisi zake za usimamizi wa soko,itaendelea kufanya ukaguzi na uchunguzi sokoni ili kubaini...

 

5 years ago

Michuzi

BUWASA WAKABIDHI VIZIMBA VYA KUNAWIA MIKONO HOSPTALI YA RUFAA BUKOBA.

Na Abdullatif Yunus Michuzi TV.

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Bukoba (BUWASA), Wameendelea kurudisha fadhila kwa wateja wao na jamii kwa ujumla kwa kujenga Vizimba Vingine viwili vya kunawia mikono, ikiwa ni tahadhari ya kujikinga gonjwa la corona,na hivyo kufanya Idadi ya vizimba hivyo kufikia vitano vilivyojengwa ndani ya Manispaa ya Bukoba.

Akisoma Taarifa ya utelekezaji wa miradi hiyo, Mkurugenzi wa BUWASA Ndg. John Sirati amesema kuwa Mamlaka katika kuhakikisha jamii...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani