Serikali Imewataka wanaouza Bidhaa za Kujikinga dhidi ya Covid-19, Kuuza kwa Bei iliyoko Sokoni
Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Innocent Bashungwa akifafanua jambo kwa Waandishi wa Habari(hawapo pichani), kuhusu bidhaa za kujinga na Covid-19, ambapo baadhi ya wafanyabiashara wamekuwa wakipandisha bei, Waziri amewataka waache hiyo tabia kabla ya kuchukuliwa hatua kali, kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa TBS. Dkt. Ngenya, na kulia ni Mkurugenzi wa Tume ya Ushindani (FCC), John Mduma katika mkutano na Waanshi wa Habari Jijini Dar es Salaam.
======== ======== =======
Serikali kupitia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM BlogSERIKALI IMEWATAKA WANAOUZA BIDHAA ZA KUJIKINGA DHIDI YA CORONA-19, KUUZA KWA BEI ILIYOKO SOKONI
Katika kuhakikisha changamoto hizo zinatatuliwa jana Waziri Innocent Bashungwa ametembelea viwanda vinavyozalisha sabuni na Vitakasa mikono vilivyoko Jijini Dar es Salaam kuangalia bei ya bidhaa hiyo na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QXq3WFikVG8/XsuWWq-91OI/AAAAAAALreY/wdKAldO08JM14SCviwQ9X_cYoBeukG77ACLcBGAsYHQ/s72-c/b2bd9d11-8ff1-4e6d-a55d-3ce162454f01.jpg)
Serikali imewataka madereva wa malori nchini kuchukuwa tahadhari dhidi ya Virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID-19)
Na WAMJW – Dar es Salaam
Serikali imewataka madereva wa malori nchini kuchukuwa tahadhari dhidi ya Virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID-19) hii ikiwa ni pamoja na kuhakikisha wanakula vyakula ambavyo vitalinda kinga zao za mwili.
Rai hiyo imetolewa hivi karibuni na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto (WAMJW) Ummy Mwalimu wakati akizungumza na baadhi ya madereva wa kampuni mbalimbali za malori zinazosafirisha mizigo nje ya nchi waliofika katika maabara...
10 years ago
Mwananchi11 Dec
Krismasi yaanza kubadili bei za bidhaa sokoni
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-T4szmcSxUIQ/Xr6QdJjVs9I/AAAAAAAAJZk/hIogMJ5_2pwLzHlM13GiK6gdk8tTqh1MQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200515_123710_130.jpg)
ZALISHENI KWA WINGI ILI WATANZANIA WAMUDU BEI YA BIDHAA ZA MAPAMBANO YA COVID 19 RAS ARUSHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-T4szmcSxUIQ/Xr6QdJjVs9I/AAAAAAAAJZk/hIogMJ5_2pwLzHlM13GiK6gdk8tTqh1MQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200515_123710_130.jpg)
Karibu Tawala wa mkoa wa Arusha Richard Kwitega akiwa na Mganga mkuu wa mkoa wa Arusha Dkt.Edson Sichalwe wakiwa na Meneja wa Sido Mkoa wa Arusha Nina Nchimbi pamoja na Mwenyekiti wa wajasiriamali wadogo wa Sido Mkoa Yasin Bakary wakati wa utambukishaji wa bidhaa zao kwa ajili ya mapambano ya kujikinga na maambukizi ya Ugonjwa wa homa kali ya mapafu Covid 19 leo jijini Arusha picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha.
![](https://1.bp.blogspot.com/-XTuUw8OmcjI/Xr6VAbf-xOI/AAAAAAAAJaM/pVrqXLOjv4krr5qfYJ2CIZga15a8eYtFgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200515-WA0077.jpg)
Katibu tawala wa mkoa wa Arusha Richard Kwitega akiongea na vyombo vya habari...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-VmwLhp1xrzQ/XnX3kBB8LII/AAAAAAAC1ZY/8EG287KaSOIc9X_lqV2snPBknrUQ4e9awCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MSD YAWATAHADHARISHA WANAOPANDISHA BEI BIDHAA ZINAZOSAIDIA KUJIKINGA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-VmwLhp1xrzQ/XnX3kBB8LII/AAAAAAAC1ZY/8EG287KaSOIc9X_lqV2snPBknrUQ4e9awCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Akielezea suala la bei ya vikinga virusi vya korona Bwanakunu alitolea mfano na kusema “Dawa za kuoshea mikono (sanitizer) ambayo bei yake halali katika soko ni shilingi 2,500 lakini kwa sasa wafanyabiashara...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FxdO6C5ulDU/Xq3D5P5RaGI/AAAAAAALo3M/HHSTCyApVLsLemCofA_Va9zJT3Sixm3FgCLcBGAsYHQ/s72-c/kk.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RWunr7ekgNo/Xq2o2pptWKI/AAAAAAALo3A/rpUP7PcMhi0myD8RMshzDsuo58duRjXzQCLcBGAsYHQ/s72-c/2-1AAA-768x512.jpg)
MANYANYA ATANGAZA MSAKO KWA WAFANYABISHARA WANAOUZA BEI KUBWA NDOO ZA KUNAWIA MIKONO
![](https://1.bp.blogspot.com/-RWunr7ekgNo/Xq2o2pptWKI/AAAAAAALo3A/rpUP7PcMhi0myD8RMshzDsuo58duRjXzQCLcBGAsYHQ/s640/2-1AAA-768x512.jpg)
………………………………………………………………………..
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Stella Manyanya ameelekeza Viwanda ya plastiki nchini kuzalisha ndoo kwa wingi na ametoa onyo kali kwa...
9 years ago
StarTV13 Nov
Serikali yakamilisha mchakato kimataifa Kuuza Nje Bidhaa Zinazosindikwa
Serikali inakamilisha mchakato wa kuingia katika biashara ya kimataifa kwa kuuza nje ya nchi bidhaa za kilimo zinazosindikwa nchini badala ya kuuza ghafi.
Katika kukamilisha hilo, wadau mbalimbali wa sekta ya kilimo, utalii na usindikaji wa ndani na nje ya nchi wameshiriki mkutano wa siku moja uliofanyika jijini Dar es Salaam.
Mkutano wa siku moja uliofanyika Dar es Salaam, umejadili fursa na tija mbalimbali za biashara ya kimataifa kwa nchi masikini na zinazoendelea, ikiwemo...