TAARIFA YA SERIKALI KWA UMMA KUHUSU MASWALA MBALIMBALI YANAYOHUSU MAPAMBANO DHIDI YA UGONJWA WA CORONA (COVID-19)
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi24 Apr
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-P4MQwULCuMQ/Xpgg8RgQKPI/AAAAAAALnJM/XvZWNjTbQKscRFs2PD4B4OG31GBnAmnTACLcBGAsYHQ/s72-c/New%2BPicture.png)
TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA YAIPONGEZA SERIKALI DHIDI YA MAPAMBANO YA UGONJWA WA CORONA (COVID-19).
![](https://1.bp.blogspot.com/-P4MQwULCuMQ/Xpgg8RgQKPI/AAAAAAALnJM/XvZWNjTbQKscRFs2PD4B4OG31GBnAmnTACLcBGAsYHQ/s320/New%2BPicture.png)
Itakumbukwa kuwa katikati ya mwezi Machi mwaka huu Serikali ilitangaza mapambano rasmi dhidi ya maradhi yanayosababishwa na virusi vya Corona ambavyo hivi karibuni imekuwa ni janga kubwa duniani.
Serikali ilichukua uamuzi huo baada ya Tanzania kuanza kupata taarifa za uwepo wa wagonjwa wa maradhi hayo nchini na hivyo kuwataka Wananchi kuchukua tahadhari mbalimbali za kujikinga na...
11 years ago
Michuzi02 Aug
5 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YATOA MILIONI 30 KUSAIDIA MAPAMBANO DHIDI YA UGONJWA WA CORONA (COVID-19)
=== === ===
Benki ya CRDB imetoa msaada wa shilingi milioni 30 kwa Chama...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uthbpFa3u0I/Xpwp_FIPJtI/AAAAAAALnaI/Y6rbI0xs0cUHkpC1_uea0VhmVxSzABctwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_3538.jpg)
TAARIFA KUTOKA KWA MKUU WA WILAYA YA KIGAMBONI KUHUSU KUONGEZA UDHIBITI WA UGONJWA WA CORONA (COVID-19)
![MICHUZI BLOG](https://1.bp.blogspot.com/-uthbpFa3u0I/Xpwp_FIPJtI/AAAAAAALnaI/Y6rbI0xs0cUHkpC1_uea0VhmVxSzABctwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_3538.jpg)
Ndg members katika kuongeza udhibiti wa COVID 19 ndani ya wilaya ya Kigamboni serikali inatekeleza mambo yafuatayo:-
1. Kwenye Vivuko:
- kuongeza kivuko kingine, kitaanza kufanya kazi wiki ijayo tarehe 22 April jumatano, Hivyo kutakuwa na jumla ya vivuko vitatu.
- Abiria hawatakusanywa tena kwenye jengo la kusubiria kivuko.
- Kila Abiria atalazimika kunawa mikono kama ilivyo awali.
- Kila abiria atalazimika kuvaa mask muda wote kwenye eneo na...
5 years ago
CCM BlogMAJALIWA APOKEA MISAADA KWA AJILI YA MAPAMBANO DHIDI YA UGONJWA WA CORONA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QXq3WFikVG8/XsuWWq-91OI/AAAAAAALreY/wdKAldO08JM14SCviwQ9X_cYoBeukG77ACLcBGAsYHQ/s72-c/b2bd9d11-8ff1-4e6d-a55d-3ce162454f01.jpg)
Serikali imewataka madereva wa malori nchini kuchukuwa tahadhari dhidi ya Virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID-19)
Na WAMJW – Dar es Salaam
Serikali imewataka madereva wa malori nchini kuchukuwa tahadhari dhidi ya Virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID-19) hii ikiwa ni pamoja na kuhakikisha wanakula vyakula ambavyo vitalinda kinga zao za mwili.
Rai hiyo imetolewa hivi karibuni na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto (WAMJW) Ummy Mwalimu wakati akizungumza na baadhi ya madereva wa kampuni mbalimbali za malori zinazosafirisha mizigo nje ya nchi waliofika katika maabara...
5 years ago
CCM Blog![](https://3.bp.blogspot.com/-7JmxluI1jdk/XpceKqSs0-I/AAAAAAACJ1Y/qvX-Or_Lmx0yULpabxIFR2sckf0vukJaACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200415-WA0059.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VLnFR9aDeWc/XsUU-Z2iccI/AAAAAAALq8E/AYy-wbLfgWIcvEsUcIuhZsPvX-XNZ7z-ACLcBGAsYHQ/s72-c/eb242f8c-1f4b-45fe-baa4-53379fdea120.jpg)
MSIBWETEKE KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA UGONJWA WA CORONA.
Na WAMJW- DSM
Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Dkt. Rashid Mfaume ametoa wito kwa wananchi, hususan Jijini Dar es Salaam kutobwete na kuwataka kuendelea kuchukua hatua za tahadhari ili kujikinga dhidi ya maambukizi ya virusi vya Corona katika kipindi hiki.
Dkt. Rashid Mfaume ametoa wito huo leo, wakati akipokea msaada wa barakoa 17,500 sawa na maboksi 350, na vipukusi (sanitizers) lita 700 ambayo ni sawa na madumu 140 yenye ujazo wa lita 5 kutoka kwa Shirika lisilo Lakiserikali la...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania