ZALISHENI KWA WINGI ILI WATANZANIA WAMUDU BEI YA BIDHAA ZA MAPAMBANO YA COVID 19 RAS ARUSHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-T4szmcSxUIQ/Xr6QdJjVs9I/AAAAAAAAJZk/hIogMJ5_2pwLzHlM13GiK6gdk8tTqh1MQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200515_123710_130.jpg)
Karibu Tawala wa mkoa wa Arusha Richard Kwitega akiwa na Mganga mkuu wa mkoa wa Arusha Dkt.Edson Sichalwe wakiwa na Meneja wa Sido Mkoa wa Arusha Nina Nchimbi pamoja na Mwenyekiti wa wajasiriamali wadogo wa Sido Mkoa Yasin Bakary wakati wa utambukishaji wa bidhaa zao kwa ajili ya mapambano ya kujikinga na maambukizi ya Ugonjwa wa homa kali ya mapafu Covid 19 leo jijini Arusha picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha.
Katibu tawala wa mkoa wa Arusha Richard Kwitega akiongea na vyombo vya habari...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziSerikali Imewataka wanaouza Bidhaa za Kujikinga dhidi ya Covid-19, Kuuza kwa Bei iliyoko Sokoni
======== ======== =======
Serikali kupitia...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uqq0YjByJnw/Xpx6IIfsgQI/AAAAAAALnbo/9Sri98tOXbEoooftA9o5SeNrtGa1VaXWQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200419-WA0062.jpg)
WADAU WA MAENDELEO ARUSHA WAUNGA MKONO JUHUDI ZA SRIKALI MAPAMBANO DHIDI YA COVID-19 KWA KUTOA MISAADA
Na Woinde Shizza,ARUSHA
WADAU wa Maendeleo Mkoa wa Arusha wameunga mkono juhudi za Serikali dhidi ya mapambano ya ugonjwa hatari wa Covid-19 kwa kutoka misaada mbalimbali kama njia mojawapo ya kukabiliana maambukizo ya virusi vya Corona.
Misaada hiyo imetolewa na kampuni ya vinywaji vikali ya Mega Beverage ya jijini hapa kuwa ambapo imetoa lita 2500 za vitakasa mikono pamoja na madumu 50 ya kunawia maji yanayotiririka vyenye thamani ya sh,milioni 46.
Wadau wengine waliojitokeza kuchangia...
11 years ago
Habarileo15 Jun
‘Zalisheni bidhaa zenye ubora unaotambuliwa TBS’
WAJASIRIAMALI wameaswa kuzalisha bidhaa zenye ubora badala ya kutengeneza na kuziuza kwa wananchi wakati bado hazijapimwa na Shirika la Viwango Tanzania (TBS). Aidha wajasiriamali 258 wamefikiwa na TBS na kupimiwa ubora wa bidhaa zao nchi nzima.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6A0LB7ob0pY/Xp_9vO519yI/AAAAAAALnxw/rVGNTzoAqvYoirrXYzx7h-vuW60WqJJlQCLcBGAsYHQ/s72-c/1-35-2048x1365.jpg)
TUZALISHE KWA WINGI BIDHAA TULIZOKUWA TUNAAGIZA KUTOKA NJE: PROF SHEMDOE
![](https://1.bp.blogspot.com/-6A0LB7ob0pY/Xp_9vO519yI/AAAAAAALnxw/rVGNTzoAqvYoirrXYzx7h-vuW60WqJJlQCLcBGAsYHQ/s640/1-35-2048x1365.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/2-26-scaled.jpg)
10 years ago
GPLWATANZANIA WAISHIO BOTSWANA WAVUTIWA NA KUJIUNGA KWA WINGI KATIKA GEPF DIASPORA SCHEME (GDS) ULIOANZISHWA MAALUM KWA WATANZANIA WAISHIO NJE NA MFUKO WA GEPF.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-GWZ9cZO4dTg/VXlAZEDlTMI/AAAAAAADrFo/nbEIL3zR54c/s72-c/1.jpg)
NJOMBE NA IRINGA WAJITOKEZA KWA WINGI KUMDHAMINI WAZIRI MEMBE ILI AGOMBEE URAIS WA TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-GWZ9cZO4dTg/VXlAZEDlTMI/AAAAAAADrFo/nbEIL3zR54c/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-JSxQWg8jxz8/VXlAan8L_6I/AAAAAAADrGI/6Yh_m_h2dD0/s640/2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-X7SUs3mCSzU/VXkoHgUo16I/AAAAAAABhfc/DrhTbFCNXts/s72-c/1.jpg)
WANANJOMBE NA IRINGA WAJITOKEZA KWA WINGI KUMDHAMINI WAZIRI MEMBE ILI AGOMBEE URAIS WA TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-X7SUs3mCSzU/VXkoHgUo16I/AAAAAAABhfc/DrhTbFCNXts/s640/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-KWIJW_s8LWs/VXkokGPx2UI/AAAAAAABhfs/GecG_wQVNgE/s640/1B.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-h5BEy0lDsPU/VXkoUFD6jlI/AAAAAAABhfk/A8YfeefgQos/s640/2A.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FSVmZMRaklo/VXkol1r8KII/AAAAAAABhf8/oQ-xMPd8vOU/s640/2B.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xdbn83j6dbo/Xk0_92Yi3ZI/AAAAAAALeWk/V3SlRS7rKMkwBYxPE14TEJT_SdTVzOq-QCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200218-WA0012.jpg)
Wananchi wametakiwa kujitokeza kwa wingi katika kipindi cha kupiga kura ili kupata kiongozi bora
Hayo yameelezwa na Mwenyekiti Wa umoja Wa jumuiya ya wazazi nchi Edmund Mundolwa wakati akiongea na wananchi, makadi wa CCM Wa halmashauri ya Meru alipofanya ziara ya kutembelea na kuona kuzindua rasmi mradi Wa Nyuki uliopo katika Kijiji cha Sakila chini...