WADAU WA MAENDELEO ARUSHA WAUNGA MKONO JUHUDI ZA SRIKALI MAPAMBANO DHIDI YA COVID-19 KWA KUTOA MISAADA
![](https://1.bp.blogspot.com/-uqq0YjByJnw/Xpx6IIfsgQI/AAAAAAALnbo/9Sri98tOXbEoooftA9o5SeNrtGa1VaXWQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200419-WA0062.jpg)
Na Woinde Shizza,ARUSHA
WADAU wa Maendeleo Mkoa wa Arusha wameunga mkono juhudi za Serikali dhidi ya mapambano ya ugonjwa hatari wa Covid-19 kwa kutoka misaada mbalimbali kama njia mojawapo ya kukabiliana maambukizo ya virusi vya Corona.
Misaada hiyo imetolewa na kampuni ya vinywaji vikali ya Mega Beverage ya jijini hapa kuwa ambapo imetoa lita 2500 za vitakasa mikono pamoja na madumu 50 ya kunawia maji yanayotiririka vyenye thamani ya sh,milioni 46.
Wadau wengine waliojitokeza kuchangia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziAbsa Tanzania yaunga mkono juhudi za serikali mapambano dhidi ya Covid-19
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-qakQIk11S7M/XqbgCChzLbI/AAAAAAALoWE/-XSLxyz9LusmU0h6u-ObFkZRJE6U5UnPwCLcBGAsYHQ/s72-c/C.png)
Wadau wa maendeleo Njombe wafika vijijini kutoa elimu dhidi ya Covid-19
![](https://1.bp.blogspot.com/-qakQIk11S7M/XqbgCChzLbI/AAAAAAALoWE/-XSLxyz9LusmU0h6u-ObFkZRJE6U5UnPwCLcBGAsYHQ/s640/C.png)
![](https://1.bp.blogspot.com/-0b_req1wjJo/XqbgCiLYy6I/AAAAAAALoWM/4M4T-y1pHkYXpDhkJsaMLeHyTnjUI2PewCLcBGAsYHQ/s640/A.png)
Miongoni mwa wadau hao ni Johson Mgimba na Lawi Mnyanga ambao wamefika katika kata ya Madilu wilayani Ludewa mkoani Njombe na kutoa elimu kwa wananchi mbalimbali kupitia...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--FzVPiMLy4Q/Xn7tFUokayI/AAAAAAALlWw/r_ofO5ObZ0AQjr1wBi7BxSJ30cTPtjuuwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200327_123516_2%25281%2529.jpg)
WAMILIKI WA MAGARI YA MASAFA MAREFU ARUSHA WAUNGA MKONO JUHUDI ZA SERIKALI KATIKA KUPAMBANA NA VIRUSI VYA CORONA
Na Woinde Shizza,Arusha
CHAMA cha Wamiliki wa magari ya masafa marefu Mkoa wa Arusha ,TABOA,Hakiboa pamoja na wasafirishaji wenza wameiunga mkono serikali katika swala la kupiga vita ugonjwa wa Corona pamoja na kutoa elimu ya kuchukuwa taadhari kuhusu ugonjwa huo.
Ambapo wameamua kunua dawa ,mabomba ya kunyunyuzia dawa ,dawa za kunaiya mikono na ndoo 100 za kuwia mikono huku wakizindua rasmi mchakato wa upigaji dawa kwa vyombo vyote vya usafirishaji vilivyopo mkoani hapa.
Akizungumza wakati...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VR88wpJU4fo/XqfVaWeXCrI/AAAAAAALoaM/QIDK9V0sREEUnIZR8wA846Th8zUZ54EiQCLcBGAsYHQ/s72-c/5cbd6997-e3b2-4875-9b79-bcbbfd26b1f0.jpg)
KAMPUNI YA GGML YATOA SHILINGI BILIONI 1.6 KUUNGA MKONO JUHUDI ZA SERIKALI MAPAMBANO DHIDI YA VIRUSI VYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-VR88wpJU4fo/XqfVaWeXCrI/AAAAAAALoaM/QIDK9V0sREEUnIZR8wA846Th8zUZ54EiQCLcBGAsYHQ/s640/5cbd6997-e3b2-4875-9b79-bcbbfd26b1f0.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-8hzk-8xRn10/XqfVaYWwWWI/AAAAAAALoaQ/g2qtls5wKyAx6dDBBt7FiCp5De6LwfsSgCLcBGAsYHQ/s640/9dd985b1-8e22-4aed-ad29-26baf554f655.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-cYuavRird68/XqfVaXTU2rI/AAAAAAALoaU/nqAUM9LZjXAL2mhH1eAjXckC-WGJ1rwvgCLcBGAsYHQ/s640/4034747a-3acf-476d-83d6-8304bb7db49c.jpg)
KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imetoa Shilingi bilioni 1.6 kuunga mkono juhudi za Serikali katika kudhibiti maambukizi ya Virusi vya Corona ambayo hadi sasa yamesambaa katika nchi 210 duniani Tanzania ikiwemo.
Pia GGML imezindua mikakati...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AOpYVP1JZkQ/XpcjPv39SFI/AAAAAAAAJFs/HPaU-JOa2bYy2zJPu8aoCb0UGSdzErCcQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200415-WA0096.jpg)
RC.GAMBO,WADAU SHIRIKIANENI NA SERIKALI MAPAMBANO DHIDI COVID 19
![](https://1.bp.blogspot.com/-AOpYVP1JZkQ/XpcjPv39SFI/AAAAAAAAJFs/HPaU-JOa2bYy2zJPu8aoCb0UGSdzErCcQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200415-WA0096.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo akipokea Vitakasa mikono lita 2500 pamoja na Ndoo 50 kutoka kwa meneja wa kampuni ya Mega beverages Christopher Ndossi leo jijini Arusha picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha.
![](https://1.bp.blogspot.com/-rhvaFdjwVms/XpcjOn8XMOI/AAAAAAAAJFk/IfCa48FbzeMA0_4G8i-pyZH1IWfa8cvrgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200415-WA0092.jpg)
Katibu Tawala wa mkoa wa Arusha Richard Kwitega akitoa taarifa ya mapambano ya ugonjwa wa Covid 19 kwa mkoa wa Arusha kwa wadau kutoka kampuni za Hanspoul Ltd,Simba Truck na Mega Beverages Mara baada ya kukabidhiwa vifaa na fedha milioni 29 kutoka kwa wadau hao ikiwa ni sehemu yamsaada...
9 years ago
Mwananchi23 Dec
Uruwa waunga mkono juhudi za Dk Magufuli
5 years ago
Michuzi5 years ago
CCM BlogMAJALIWA APOKEA MISAADA KWA AJILI YA MAPAMBANO DHIDI YA UGONJWA WA CORONA
5 years ago
MichuziAirtel Tanzania yachangia sh. 700 milioni kwa wafanyakazi wa sekta ya afya dhidi ya mapambano ya COVID-19
(kushoto) mfano wa hundi ya shilingi milioni saba (TZS 700,000,000) ukiwa ni mchango wa Airtel Tanzania kuunga mkono serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye mapambano dhidi ya virusi vya covid-19 (corona). Mchango uliotolewa na Airtel utatumika kununua vifaa kinga vitakavyosambazwa nchi nzima ili vitumike na...