RC.GAMBO,WADAU SHIRIKIANENI NA SERIKALI MAPAMBANO DHIDI COVID 19
![](https://1.bp.blogspot.com/-AOpYVP1JZkQ/XpcjPv39SFI/AAAAAAAAJFs/HPaU-JOa2bYy2zJPu8aoCb0UGSdzErCcQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200415-WA0096.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo akipokea Vitakasa mikono lita 2500 pamoja na Ndoo 50 kutoka kwa meneja wa kampuni ya Mega beverages Christopher Ndossi leo jijini Arusha picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha.
Katibu Tawala wa mkoa wa Arusha Richard Kwitega akitoa taarifa ya mapambano ya ugonjwa wa Covid 19 kwa mkoa wa Arusha kwa wadau kutoka kampuni za Hanspoul Ltd,Simba Truck na Mega Beverages Mara baada ya kukabidhiwa vifaa na fedha milioni 29 kutoka kwa wadau hao ikiwa ni sehemu yamsaada...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uqq0YjByJnw/Xpx6IIfsgQI/AAAAAAALnbo/9Sri98tOXbEoooftA9o5SeNrtGa1VaXWQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200419-WA0062.jpg)
WADAU WA MAENDELEO ARUSHA WAUNGA MKONO JUHUDI ZA SRIKALI MAPAMBANO DHIDI YA COVID-19 KWA KUTOA MISAADA
Na Woinde Shizza,ARUSHA
WADAU wa Maendeleo Mkoa wa Arusha wameunga mkono juhudi za Serikali dhidi ya mapambano ya ugonjwa hatari wa Covid-19 kwa kutoka misaada mbalimbali kama njia mojawapo ya kukabiliana maambukizo ya virusi vya Corona.
Misaada hiyo imetolewa na kampuni ya vinywaji vikali ya Mega Beverage ya jijini hapa kuwa ambapo imetoa lita 2500 za vitakasa mikono pamoja na madumu 50 ya kunawia maji yanayotiririka vyenye thamani ya sh,milioni 46.
Wadau wengine waliojitokeza kuchangia...
5 years ago
MichuziAbsa Tanzania yaunga mkono juhudi za serikali mapambano dhidi ya Covid-19
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nFUhlOE1n1c/XrLxqNI-8DI/AAAAAAALpUQ/H0f1mbCczIQEv2EaLesiUYrightVsk5RQCLcBGAsYHQ/s72-c/605ce68d-9c08-45a1-88ea-c5cafaf475fe.jpg)
Fashion Association of Tanzania(FAT) waungana na serikali mapambano dhidi ya maambukizi Covid-19
• Wabunifu waonyesha kwa vitendo mapigano dhidi ya maambukizi ya Covid-19
Fashion Association of Tanzania (FAT) chaendesha mchakato wa uchangiaji wa vitakasa ikiwa sehemu ya mchango wao dhidi ya maambukizi ya homa ya mapafu inayosababishwa na kirusi cha Corona (Covid-19).
Jumla ya wabunifu, wanamitindo na wadau wa sekta hiyo 66, wameweza kuchangia katoni 80 (sawa na lita 1,600) za vitakasa, katoni 60 kati ya hizo zikiwa ni “lit lavender disinfectant” na 20 zikiwa ni “zap bleach regular”...
5 years ago
Michuzi5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-P4MQwULCuMQ/Xpgg8RgQKPI/AAAAAAALnJM/XvZWNjTbQKscRFs2PD4B4OG31GBnAmnTACLcBGAsYHQ/s72-c/New%2BPicture.png)
TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA YAIPONGEZA SERIKALI DHIDI YA MAPAMBANO YA UGONJWA WA CORONA (COVID-19).
![](https://1.bp.blogspot.com/-P4MQwULCuMQ/Xpgg8RgQKPI/AAAAAAALnJM/XvZWNjTbQKscRFs2PD4B4OG31GBnAmnTACLcBGAsYHQ/s320/New%2BPicture.png)
Itakumbukwa kuwa katikati ya mwezi Machi mwaka huu Serikali ilitangaza mapambano rasmi dhidi ya maradhi yanayosababishwa na virusi vya Corona ambavyo hivi karibuni imekuwa ni janga kubwa duniani.
Serikali ilichukua uamuzi huo baada ya Tanzania kuanza kupata taarifa za uwepo wa wagonjwa wa maradhi hayo nchini na hivyo kuwataka Wananchi kuchukua tahadhari mbalimbali za kujikinga na...
5 years ago
Michuzi03 May
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-EVDVjH1WAyw/XrLnZS_At-I/AAAAAAALpUA/4K4qltqZ7OIQik1VHFlYeovipW6YuE2-gCLcBGAsYHQ/s72-c/7200415e-3879-47dc-ac91-e70f567937f0-768x465.jpg)
SERIKALI YASHUKURU WADAU KWA KUCHANGIA MAPAMBANO DHIDI YA CORONA ‘YASISITIZA UBORA NA USALAMA WA VIFAA VINAVYOTOLEWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-EVDVjH1WAyw/XrLnZS_At-I/AAAAAAALpUA/4K4qltqZ7OIQik1VHFlYeovipW6YuE2-gCLcBGAsYHQ/s640/7200415e-3879-47dc-ac91-e70f567937f0-768x465.jpg)
Waziri Ummy Mwalimu akipokea mfano wa hundi wenye thamani ya shilingi bilioni 1.1 kwa ajili ya ununuzi wa vifaa tiba na vifaa kinga kutoka Anglogold Ashanti pamoja na Geita Gold Mining Limited(GGML)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/eeca8153-a54e-4735-acea-268b004dcb66-1024x643.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/321b26ad-1fab-4f66-8eec-cd54f7588812-1024x683.jpg)
Baadhi ya watumishi wa Shirika la Maendeleo la Petrol Tanzania...
9 years ago
StarTV22 Dec
Wadau waombwa kuwekeza kwenye mapambano dhidi ya  maambukizi ya vvu
Kamati za kudhibiti maambukizi vya virusi vya ugonjwa wa UKIMWI katika wilaya ya Pangani mkoani Tanga zimesema upo umuhimu kwa wadau mbalimbali kuendelea kuwekeza kwenye mapambano dhidi ya ugonjwa huo.
Kamati hizo zimesema licha ya baadhi ya jamii kuwa na uelewa dhidi ya ugonjwa huo jitihada zaidi zinahitajika ili elimu hiyo imfikie kila mtu na hatimaye kujikinga na ugonjwa huo.
Wanakamati hao wametoa kauli hiyo katika tamasha la kuzizawadia kamati bora za ukimwi, jinsia, uongozi na...
5 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YATOA MILIONI 30 KUSAIDIA MAPAMBANO DHIDI YA UGONJWA WA CORONA (COVID-19)
=== === ===
Benki ya CRDB imetoa msaada wa shilingi milioni 30 kwa Chama...