Wadau waombwa kuwekeza kwenye mapambano dhidi ya  maambukizi ya vvu
Kamati za kudhibiti maambukizi vya virusi vya ugonjwa wa UKIMWI katika wilaya ya Pangani mkoani Tanga zimesema upo umuhimu kwa wadau mbalimbali kuendelea kuwekeza kwenye mapambano dhidi ya ugonjwa huo.
Kamati hizo zimesema licha ya baadhi ya jamii kuwa na uelewa dhidi ya ugonjwa huo jitihada zaidi zinahitajika ili elimu hiyo imfikie kila mtu na hatimaye kujikinga na ugonjwa huo.
Wanakamati hao wametoa kauli hiyo katika tamasha la kuzizawadia kamati bora za ukimwi, jinsia, uongozi na...
StarTV
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-15rQVRsEYcw/XufhK33PpuI/AAAAAAALt9c/TbwTzq61BBcRtIwzUWSpF5pziqWLg3xkwCLcBGAsYHQ/s72-c/68648486-6690-44fa-9a86-ac150194a1fa.jpg)
SERIKALI IMEENDELEA KUTEKELEZA MAKUBALIANO YAKIMATAIFA KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA VVU.
![](https://1.bp.blogspot.com/-15rQVRsEYcw/XufhK33PpuI/AAAAAAALt9c/TbwTzq61BBcRtIwzUWSpF5pziqWLg3xkwCLcBGAsYHQ/s640/68648486-6690-44fa-9a86-ac150194a1fa.jpg)
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akieleza jambo, wakati wa kikao cha Kamati za Kudumu za Bunge za Masuala ya UKIMWI na Huduma za Maendeleo ya Jamii kuhusu mafanikio ya utekelezaji wa makubaliano ya kimataifa ya afua za kinga dhidi ya maambukizi ya VVU.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/b2f217cb-8535-4d6b-a6d5-bf7969593d84.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wmW2uFBA4wI/U79tgkhJquI/AAAAAAAF0wM/tcNm5-b9YXQ/s72-c/Tacaids+-1.jpg)
VIONGOZI WA JIJI LA DAR ES SALAAM WATAKIWA KUTOA KIPAUMBELE MAPAMBANO DHIDI YA MAABUKIZI MAPYA YA VVU.
![](http://4.bp.blogspot.com/-wmW2uFBA4wI/U79tgkhJquI/AAAAAAAF0wM/tcNm5-b9YXQ/s1600/Tacaids+-1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-54l30LwzCf8/U79tgtNmrZI/AAAAAAAF0wI/3ICq7f3OtcI/s1600/Tacaids+-2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dl1mzDNyl10/XqnTpzY45OI/AAAAAAALolk/VN6DTvTVoSIagJM8YUVjLBRDiyT19pQ-ACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-29%2Bat%2B7.03.32%2BPM.jpeg)
Pesa kidijitali: Njia nyingine kusaidia mapambano dhidi ya maambukizi ya coronavirus
![](https://1.bp.blogspot.com/-dl1mzDNyl10/XqnTpzY45OI/AAAAAAALolk/VN6DTvTVoSIagJM8YUVjLBRDiyT19pQ-ACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-29%2Bat%2B7.03.32%2BPM.jpeg)
Juhudi pia zinafanyika kuhamasisha kuhusu matumizi ya fedha kijitali (kulipa, kutuma na kupokea pesa kwa njia ya simu). Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), njia hii ya kutuma,...
10 years ago
Tanzania Daima31 Oct
Wadau watakiwa kuungana vita dhidi ya VVU
MGANGA Mkuu wa Manispaa ya Mtwara-Mikindani, Dk. Godfrey Njile, amewataka wadau nchini kuungana, ili kupambana na maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU). Dk Njile alitoa kauli hiyo hivi karibuni katika...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nFUhlOE1n1c/XrLxqNI-8DI/AAAAAAALpUQ/H0f1mbCczIQEv2EaLesiUYrightVsk5RQCLcBGAsYHQ/s72-c/605ce68d-9c08-45a1-88ea-c5cafaf475fe.jpg)
Fashion Association of Tanzania(FAT) waungana na serikali mapambano dhidi ya maambukizi Covid-19
• Wabunifu waonyesha kwa vitendo mapigano dhidi ya maambukizi ya Covid-19
Fashion Association of Tanzania (FAT) chaendesha mchakato wa uchangiaji wa vitakasa ikiwa sehemu ya mchango wao dhidi ya maambukizi ya homa ya mapafu inayosababishwa na kirusi cha Corona (Covid-19).
Jumla ya wabunifu, wanamitindo na wadau wa sekta hiyo 66, wameweza kuchangia katoni 80 (sawa na lita 1,600) za vitakasa, katoni 60 kati ya hizo zikiwa ni “lit lavender disinfectant” na 20 zikiwa ni “zap bleach regular”...
10 years ago
Dewji Blog24 Feb
Serikali na wadau mbalimbali kuendelea kutoa elimu kwa makundi yaliyo katika hatari ya kupata maambukizi ya VVU
Na Aron Msigwa – MAELEZO
SERIKALI imesema kuwa itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali wa sekta ya Afya kutoa elimu kwa makundi ya watu wanaotumia dawa za kulevya na wale wanaojihusisha na biashara ya ngono katika maeneo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AOpYVP1JZkQ/XpcjPv39SFI/AAAAAAAAJFs/HPaU-JOa2bYy2zJPu8aoCb0UGSdzErCcQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200415-WA0096.jpg)
RC.GAMBO,WADAU SHIRIKIANENI NA SERIKALI MAPAMBANO DHIDI COVID 19
![](https://1.bp.blogspot.com/-AOpYVP1JZkQ/XpcjPv39SFI/AAAAAAAAJFs/HPaU-JOa2bYy2zJPu8aoCb0UGSdzErCcQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200415-WA0096.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo akipokea Vitakasa mikono lita 2500 pamoja na Ndoo 50 kutoka kwa meneja wa kampuni ya Mega beverages Christopher Ndossi leo jijini Arusha picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha.
![](https://1.bp.blogspot.com/-rhvaFdjwVms/XpcjOn8XMOI/AAAAAAAAJFk/IfCa48FbzeMA0_4G8i-pyZH1IWfa8cvrgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200415-WA0092.jpg)
Katibu Tawala wa mkoa wa Arusha Richard Kwitega akitoa taarifa ya mapambano ya ugonjwa wa Covid 19 kwa mkoa wa Arusha kwa wadau kutoka kampuni za Hanspoul Ltd,Simba Truck na Mega Beverages Mara baada ya kukabidhiwa vifaa na fedha milioni 29 kutoka kwa wadau hao ikiwa ni sehemu yamsaada...
10 years ago
Mwananchi03 Nov
Wadau wataka fursa kuwekeza kwenye reli