Wadau wataka fursa kuwekeza kwenye reli
Wadau wa sekta binafsi nchini, wameitaka Serikali iwapatie fursa zaidi za kuwekeza katika sekta ya reli ili kuendeleza biashara na kukuza uchumi wa nchi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV22 Dec
Wadau waombwa kuwekeza kwenye mapambano dhidi ya  maambukizi ya vvu
Kamati za kudhibiti maambukizi vya virusi vya ugonjwa wa UKIMWI katika wilaya ya Pangani mkoani Tanga zimesema upo umuhimu kwa wadau mbalimbali kuendelea kuwekeza kwenye mapambano dhidi ya ugonjwa huo.
Kamati hizo zimesema licha ya baadhi ya jamii kuwa na uelewa dhidi ya ugonjwa huo jitihada zaidi zinahitajika ili elimu hiyo imfikie kila mtu na hatimaye kujikinga na ugonjwa huo.
Wanakamati hao wametoa kauli hiyo katika tamasha la kuzizawadia kamati bora za ukimwi, jinsia, uongozi na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0VR7EmyxD6g/Xr6sWZbjkXI/AAAAAAALqX4/9iWRfMPCKuw9bnMan2rCkKTU74Db9gyowCLcBGAsYHQ/s72-c/614bea9b-8a83-4170-854a-8d8ffbe2e406.jpg)
MKURUGENZI HALMASHAURI YA MWANGA AFUNGUKA FURSA ZA KIUCHUMI ZILIZOPO, AWAITA WAWEKEZAJI KUWEKEZA KWENYE UTALII
Charles James, Michuzi TV
NYUMBANI kwa Waziri Mkuu Mstaafu, Cleopa David Msuya. Nyumbani kwa Aliyekua Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Dk Asha-Rose Migiro. Ndipo nyumbani pia kwa Waziri wa zamani wa Maliasili na Utalii, Prof Jumanne Maghembe.
Naizungumzia Wilaya ya Mwanga iliyopo Kilimanjaro. Wilaya ambayo licha ya kutawaliwa na milima mingi lakini ina miundombinu madhubuti ya barabara na nishati ya umeme pia.
Wilaya ya Mwanga licha ya kuwa na Tarafa sita lakini umaarufu wa Tarafa...
10 years ago
MichuziJK AKUTANA NA UONGOZI WA MAKAMPUNI YA CHINA YANAYOTAKA KUWEKEZA KATIKA UJENZI WA RELI NCHINI TANZANIA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-SMxCktd9lV8/VTpa8ewIU8I/AAAAAAAHS9Y/dX_YT_EvH14/s72-c/unnamed%2B(99).jpg)
Membe awahimiza Watanzania kuchangamkia fursa za kibiashara na kuwekeza katika Visiwa vya Comoro
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wb2q2SvaVDA/U3pAsNTP-3I/AAAAAAAFjuo/bqX836bPgvs/s72-c/unnamed+(27).jpg)
WADAU WA BANDARI NA RELI KUTOKA TANZANIA WAANZA ZIARA YA MAFUNZO UBELGIJI
![](http://4.bp.blogspot.com/-wb2q2SvaVDA/U3pAsNTP-3I/AAAAAAAFjuo/bqX836bPgvs/s1600/unnamed+(27).jpg)
10 years ago
Mwananchi11 Mar
Repoa: Wananchi wachoshwa na ukata, wataka fursa za kujikwamua
11 years ago
Habarileo23 May
Wadau kujifunza fursa BRT
WAMILIKI wa mabasi ya abiria Dar es Salaam na wadau wengine watakutana jijini humo kujifunza fursa na kufahamu namna ya kushiriki katika mradi wa mabasi yaendayo haraka (BRT) unaotarajiwa kuanza baadaye mwaka huu.
11 years ago
Tanzania Daima12 Jan
Wadau wataka wanahabari walindwe
WADAU wa habari mkoani Mtwara wameiomba serikali kuwawekea ulinzi wa kutosha waandishi wa habari wakati wanapotekeleza majukumu yao. Hayo yalisemwa na mdau wa habari, Mohamed Juma, wakati akichangia mada kwenye...