SERIKALI IMEENDELEA KUTEKELEZA MAKUBALIANO YAKIMATAIFA KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA VVU.
![](https://1.bp.blogspot.com/-15rQVRsEYcw/XufhK33PpuI/AAAAAAALt9c/TbwTzq61BBcRtIwzUWSpF5pziqWLg3xkwCLcBGAsYHQ/s72-c/68648486-6690-44fa-9a86-ac150194a1fa.jpg)
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akieleza jambo, wakati wa kikao cha Kamati za Kudumu za Bunge za Masuala ya UKIMWI na Huduma za Maendeleo ya Jamii kuhusu mafanikio ya utekelezaji wa makubaliano ya kimataifa ya afua za kinga dhidi ya maambukizi ya VVU.Wajumbe wa Kamati za Kudumu za Bunge za Masuala...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV22 Dec
Wadau waombwa kuwekeza kwenye mapambano dhidi ya  maambukizi ya vvu
Kamati za kudhibiti maambukizi vya virusi vya ugonjwa wa UKIMWI katika wilaya ya Pangani mkoani Tanga zimesema upo umuhimu kwa wadau mbalimbali kuendelea kuwekeza kwenye mapambano dhidi ya ugonjwa huo.
Kamati hizo zimesema licha ya baadhi ya jamii kuwa na uelewa dhidi ya ugonjwa huo jitihada zaidi zinahitajika ili elimu hiyo imfikie kila mtu na hatimaye kujikinga na ugonjwa huo.
Wanakamati hao wametoa kauli hiyo katika tamasha la kuzizawadia kamati bora za ukimwi, jinsia, uongozi na...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wmW2uFBA4wI/U79tgkhJquI/AAAAAAAF0wM/tcNm5-b9YXQ/s72-c/Tacaids+-1.jpg)
VIONGOZI WA JIJI LA DAR ES SALAAM WATAKIWA KUTOA KIPAUMBELE MAPAMBANO DHIDI YA MAABUKIZI MAPYA YA VVU.
![](http://4.bp.blogspot.com/-wmW2uFBA4wI/U79tgkhJquI/AAAAAAAF0wM/tcNm5-b9YXQ/s1600/Tacaids+-1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-54l30LwzCf8/U79tgtNmrZI/AAAAAAAF0wI/3ICq7f3OtcI/s1600/Tacaids+-2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AOpYVP1JZkQ/XpcjPv39SFI/AAAAAAAAJFs/HPaU-JOa2bYy2zJPu8aoCb0UGSdzErCcQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200415-WA0096.jpg)
RC.GAMBO,WADAU SHIRIKIANENI NA SERIKALI MAPAMBANO DHIDI COVID 19
![](https://1.bp.blogspot.com/-AOpYVP1JZkQ/XpcjPv39SFI/AAAAAAAAJFs/HPaU-JOa2bYy2zJPu8aoCb0UGSdzErCcQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200415-WA0096.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo akipokea Vitakasa mikono lita 2500 pamoja na Ndoo 50 kutoka kwa meneja wa kampuni ya Mega beverages Christopher Ndossi leo jijini Arusha picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha.
![](https://1.bp.blogspot.com/-rhvaFdjwVms/XpcjOn8XMOI/AAAAAAAAJFk/IfCa48FbzeMA0_4G8i-pyZH1IWfa8cvrgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200415-WA0092.jpg)
Katibu Tawala wa mkoa wa Arusha Richard Kwitega akitoa taarifa ya mapambano ya ugonjwa wa Covid 19 kwa mkoa wa Arusha kwa wadau kutoka kampuni za Hanspoul Ltd,Simba Truck na Mega Beverages Mara baada ya kukabidhiwa vifaa na fedha milioni 29 kutoka kwa wadau hao ikiwa ni sehemu yamsaada...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VLnFR9aDeWc/XsUU-Z2iccI/AAAAAAALq8E/AYy-wbLfgWIcvEsUcIuhZsPvX-XNZ7z-ACLcBGAsYHQ/s72-c/eb242f8c-1f4b-45fe-baa4-53379fdea120.jpg)
MSIBWETEKE KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA UGONJWA WA CORONA.
Na WAMJW- DSM
Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Dkt. Rashid Mfaume ametoa wito kwa wananchi, hususan Jijini Dar es Salaam kutobwete na kuwataka kuendelea kuchukua hatua za tahadhari ili kujikinga dhidi ya maambukizi ya virusi vya Corona katika kipindi hiki.
Dkt. Rashid Mfaume ametoa wito huo leo, wakati akipokea msaada wa barakoa 17,500 sawa na maboksi 350, na vipukusi (sanitizers) lita 700 ambayo ni sawa na madumu 140 yenye ujazo wa lita 5 kutoka kwa Shirika lisilo Lakiserikali la...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-o3HFykFkeW8/VTwfDNBdBcI/AAAAAAAHTUY/hJVjkYkGjG4/s72-c/unnamed%2B(20)%2B-%2BCopy.jpg)
IPTL/PAP ya wekeza katika mapambano dhidi ya Malaria
10 years ago
Dewji Blog26 Apr
IPTL/PAP yawekeza katika mapambano dhidi ya Malaria
Kina mama wajawazito na watoto wenye umri wa chini ya miaka mitano ni sehemu ya walengwa wakuu wa msaada wa vyandarua vyenye viwatilifu ulipotolewa na makampuni ya IPTL na PAP. Hapa kina mama wenye watoto wadogo wakiwa kwenye foleni ya kupokea msaada kata ya Wazo.
Kina baba hawakuwa nyuma katika kuunga mkono jitihada za kupambana na Malaria kwa kuungana na kina mama kupokea msaada wa vyandarua vyenye viwatilifu uliotolewa na Kampuni za IPTL/PAP katika kata za Wazo na Kundunchi.
Mama huyu...
5 years ago
MichuziAbsa Tanzania yaunga mkono juhudi za serikali mapambano dhidi ya Covid-19
9 years ago
Dewji Blog20 Oct
Ewe Mgombea, wekeza katika kuwalinda watoto wachanga na wasichana dhidi ya VVU
Moja ya mikutano ya watoto wakiwa wanatoa mada juu ya haki na usawa kwa watoto kwa kuwataka wanasiasa na wagombea wa uchaguzi mkuu kuzingatia na kutekeleza mipango ya watoto. (Picha ya Maktaba yetu).
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nFUhlOE1n1c/XrLxqNI-8DI/AAAAAAALpUQ/H0f1mbCczIQEv2EaLesiUYrightVsk5RQCLcBGAsYHQ/s72-c/605ce68d-9c08-45a1-88ea-c5cafaf475fe.jpg)
Fashion Association of Tanzania(FAT) waungana na serikali mapambano dhidi ya maambukizi Covid-19
• Wabunifu waonyesha kwa vitendo mapigano dhidi ya maambukizi ya Covid-19
Fashion Association of Tanzania (FAT) chaendesha mchakato wa uchangiaji wa vitakasa ikiwa sehemu ya mchango wao dhidi ya maambukizi ya homa ya mapafu inayosababishwa na kirusi cha Corona (Covid-19).
Jumla ya wabunifu, wanamitindo na wadau wa sekta hiyo 66, wameweza kuchangia katoni 80 (sawa na lita 1,600) za vitakasa, katoni 60 kati ya hizo zikiwa ni “lit lavender disinfectant” na 20 zikiwa ni “zap bleach regular”...