IPTL/PAP yawekeza katika mapambano dhidi ya Malaria
Kina mama wajawazito na watoto wenye umri wa chini ya miaka mitano ni sehemu ya walengwa wakuu wa msaada wa vyandarua vyenye viwatilifu ulipotolewa na makampuni ya IPTL na PAP. Hapa kina mama wenye watoto wadogo wakiwa kwenye foleni ya kupokea msaada kata ya Wazo.
Kina baba hawakuwa nyuma katika kuunga mkono jitihada za kupambana na Malaria kwa kuungana na kina mama kupokea msaada wa vyandarua vyenye viwatilifu uliotolewa na Kampuni za IPTL/PAP katika kata za Wazo na Kundunchi.
Mama huyu...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-o3HFykFkeW8/VTwfDNBdBcI/AAAAAAAHTUY/hJVjkYkGjG4/s72-c/unnamed%2B(20)%2B-%2BCopy.jpg)
IPTL/PAP ya wekeza katika mapambano dhidi ya Malaria
11 years ago
Dewji Blog29 Apr
TBL yapata tuzo ya mapambano dhidi ya Malaria nchini
![Untitled](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/Untitled62.jpg)
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid (kulia) akimkabidhi Meneja Vipaji wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Lillian Makau cheti cha shukurani cha kutambua ushiriki wa kampuni hiyo katika mapambano dhidi ya Malaria nchini, wakati wa maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani, jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Katikati ni Balozi wa Malaria Tanzania, Leodegar Tenga.
![](http://2.bp.blogspot.com/-Bq_YaTuZ4JA/U14hEFPbQaI/AAAAAAAAo6c/sjBZEE3bK68/s1600/IMG_6823.jpg)
Katibu wa Afya wa TBL (katikati), akitoa maelezo jinsi kampuni yake ilivyojidhatiti kutoa elimu na tiba ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-G-yyX6W78PU/XutCbfygPOI/AAAAAAALuZs/4s5If95k3L4UQ-WuBkSjgrr63P5pMm6kgCLcBGAsYHQ/s72-c/5.jpg)
WILAYA YA BUSEGA YACHUKUA HATUA MAPAMBANO DHIDI YA MALARIA
Uzinduzi wa upuliziaji wa viwatilifu kwenye madimbwi ya maji ili kuangamiza mazalia ya Mbu wanaosababisha ugonjwa wa malaria umefanyika katika kituo cha afya NASSA na kuhudhuriwa na Kaimu Mkuu wa Wilaya, David Pallangyo, Mganga Mkuu wa Wilaya, Dkt. Godfrey Mbangali, watumishi wa Afya na Maafisa afya kutoka kata zote 15. Zoezi hilo litakalochukua siku nne kuanzia tarehe 17 hadi 20 Juni, 2020 litafanyika katika kata zote 15 na vijiji vyote 59 vilivyopo wilayani Busega.
Kaimu mkuu...
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-qAiZ7m88eWA/U14hAYz3SmI/AAAAAAAAo6M/7GKeRCpRJE8/s1600/01.jpg)
TBL YAPATA TUZO YA MAPAMBANO DHIDI YA MALARIA NCHINI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4Sa-DaSW7Ps/VVx0djNC0_I/AAAAAAAHYcU/7f5JbVD4QkM/s72-c/unnamed%2B%252824%2529.jpg)
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii,Dkt.Seif S.Rshid akishiriki mkutano wa mapambano dhidi ya UKIMWI,Malaria na TB Marekani
![](http://3.bp.blogspot.com/-4Sa-DaSW7Ps/VVx0djNC0_I/AAAAAAAHYcU/7f5JbVD4QkM/s640/unnamed%2B%252824%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VLnFR9aDeWc/XsUU-Z2iccI/AAAAAAALq8E/AYy-wbLfgWIcvEsUcIuhZsPvX-XNZ7z-ACLcBGAsYHQ/s72-c/eb242f8c-1f4b-45fe-baa4-53379fdea120.jpg)
MSIBWETEKE KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA UGONJWA WA CORONA.
Na WAMJW- DSM
Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Dkt. Rashid Mfaume ametoa wito kwa wananchi, hususan Jijini Dar es Salaam kutobwete na kuwataka kuendelea kuchukua hatua za tahadhari ili kujikinga dhidi ya maambukizi ya virusi vya Corona katika kipindi hiki.
Dkt. Rashid Mfaume ametoa wito huo leo, wakati akipokea msaada wa barakoa 17,500 sawa na maboksi 350, na vipukusi (sanitizers) lita 700 ambayo ni sawa na madumu 140 yenye ujazo wa lita 5 kutoka kwa Shirika lisilo Lakiserikali la...
10 years ago
Tanzania Daima04 Oct
IPTL/PAP yawaonya wanasiasa
KAMPUNI ya IPTL/PAP imewataka wanasiasa kutambua kwamba kampuni hiyo sio mali ya serikali, bali inazalisha na kuuza umeme. Imesema kuendelea kujadili masuala ya ndani ya uendeshaji ikiwemo namna ya kuzalisha...
11 years ago
TheCitizen13 Mar
PAP: IPTL takeover was a clean deal
10 years ago
Dewji Blog03 May
IPTL/PAP sponsors Zalendo Games
Independent Power Tanzania Limited (IPTL), a subsidiary of Pan African Power Solutions (T) Limited (PAP) has made it possible for young Tanzanians to showcase their talents in playing unique rare games in Tanzania sports history.
Through its sponsorship to IPTL Zalendo Games, the company helped to bring together the Zalendo teams more specifically the Zalendo Bikers, Zalendo BMX, Zalendo Skaters (forming Tanzania Skate Miracle) and Race car drivers. The four teams had a very thrilling and...