TBL YAPATA TUZO YA MAPAMBANO DHIDI YA MALARIA NCHINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-qAiZ7m88eWA/U14hAYz3SmI/AAAAAAAAo6M/7GKeRCpRJE8/s1600/01.jpg)
 Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid (kulia) akimkabidhi Meneja Vipaji wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Lillian Makau cheti cha shukurani cha kutambua ushiriki wa kampuni hiyo katika mapambano dhidi ya Malaria nchini, wakati wa maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani, jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Katikati ni Balozi wa Malaria Tanzania, Leodegar Tenga.… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog29 Apr
TBL yapata tuzo ya mapambano dhidi ya Malaria nchini
![Untitled](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/Untitled62.jpg)
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid (kulia) akimkabidhi Meneja Vipaji wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Lillian Makau cheti cha shukurani cha kutambua ushiriki wa kampuni hiyo katika mapambano dhidi ya Malaria nchini, wakati wa maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani, jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Katikati ni Balozi wa Malaria Tanzania, Leodegar Tenga.
![](http://2.bp.blogspot.com/-Bq_YaTuZ4JA/U14hEFPbQaI/AAAAAAAAo6c/sjBZEE3bK68/s1600/IMG_6823.jpg)
Katibu wa Afya wa TBL (katikati), akitoa maelezo jinsi kampuni yake ilivyojidhatiti kutoa elimu na tiba ya...
10 years ago
GPLTBL YAPATA TUZO YA NSSF YA MWAJIRI BORA
11 years ago
MichuziTBL YAPATA TUZO YA UTUNZAJI WA MAZINGIRA NCHINI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-o3HFykFkeW8/VTwfDNBdBcI/AAAAAAAHTUY/hJVjkYkGjG4/s72-c/unnamed%2B(20)%2B-%2BCopy.jpg)
IPTL/PAP ya wekeza katika mapambano dhidi ya Malaria
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-G-yyX6W78PU/XutCbfygPOI/AAAAAAALuZs/4s5If95k3L4UQ-WuBkSjgrr63P5pMm6kgCLcBGAsYHQ/s72-c/5.jpg)
WILAYA YA BUSEGA YACHUKUA HATUA MAPAMBANO DHIDI YA MALARIA
Uzinduzi wa upuliziaji wa viwatilifu kwenye madimbwi ya maji ili kuangamiza mazalia ya Mbu wanaosababisha ugonjwa wa malaria umefanyika katika kituo cha afya NASSA na kuhudhuriwa na Kaimu Mkuu wa Wilaya, David Pallangyo, Mganga Mkuu wa Wilaya, Dkt. Godfrey Mbangali, watumishi wa Afya na Maafisa afya kutoka kata zote 15. Zoezi hilo litakalochukua siku nne kuanzia tarehe 17 hadi 20 Juni, 2020 litafanyika katika kata zote 15 na vijiji vyote 59 vilivyopo wilayani Busega.
Kaimu mkuu...
10 years ago
Dewji Blog26 Apr
IPTL/PAP yawekeza katika mapambano dhidi ya Malaria
Kina mama wajawazito na watoto wenye umri wa chini ya miaka mitano ni sehemu ya walengwa wakuu wa msaada wa vyandarua vyenye viwatilifu ulipotolewa na makampuni ya IPTL na PAP. Hapa kina mama wenye watoto wadogo wakiwa kwenye foleni ya kupokea msaada kata ya Wazo.
Kina baba hawakuwa nyuma katika kuunga mkono jitihada za kupambana na Malaria kwa kuungana na kina mama kupokea msaada wa vyandarua vyenye viwatilifu uliotolewa na Kampuni za IPTL/PAP katika kata za Wazo na Kundunchi.
Mama huyu...
10 years ago
MichuziTBL YAPATA TUZO YA NSSF YA MWAJIRI BORA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-HD6ezOVmOYI/VCnJVWIYd8I/AAAAAAAAuz0/6CyMUs6n0C0/s72-c/01.jpg)
TBL YAPATA TUZO YA HESHIMA WIKI YA NENDA KWA USALAMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-HD6ezOVmOYI/VCnJVWIYd8I/AAAAAAAAuz0/6CyMUs6n0C0/s1600/01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-R3CSD0c04H0/VCnJc9-Cq3I/AAAAAAAAu0E/3cFLT3J_hwQ/s1600/10.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4Sa-DaSW7Ps/VVx0djNC0_I/AAAAAAAHYcU/7f5JbVD4QkM/s72-c/unnamed%2B%252824%2529.jpg)
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii,Dkt.Seif S.Rshid akishiriki mkutano wa mapambano dhidi ya UKIMWI,Malaria na TB Marekani
![](http://3.bp.blogspot.com/-4Sa-DaSW7Ps/VVx0djNC0_I/AAAAAAAHYcU/7f5JbVD4QkM/s640/unnamed%2B%252824%2529.jpg)