TBL YAPATA TUZO YA UTUNZAJI WA MAZINGIRA NCHINI
Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Sofia Mjema (kushoto) akimkabidhi tuzo ya cheti Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Dorris Malulu, kwa kutambua mchango wa kampuni hiyo katika utunzaji wa mazingira nchini, wakati wa maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani yaliyofanyika hivi karibuni kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja, Dar es Salaam.
Dorris Malulu akifurahia TBL kupata tuzo ya utunzaji mazingira nchini
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog29 Apr
TBL yapata tuzo ya mapambano dhidi ya Malaria nchini
![Untitled](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/Untitled62.jpg)
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid (kulia) akimkabidhi Meneja Vipaji wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Lillian Makau cheti cha shukurani cha kutambua ushiriki wa kampuni hiyo katika mapambano dhidi ya Malaria nchini, wakati wa maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani, jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Katikati ni Balozi wa Malaria Tanzania, Leodegar Tenga.
![](http://2.bp.blogspot.com/-Bq_YaTuZ4JA/U14hEFPbQaI/AAAAAAAAo6c/sjBZEE3bK68/s1600/IMG_6823.jpg)
Katibu wa Afya wa TBL (katikati), akitoa maelezo jinsi kampuni yake ilivyojidhatiti kutoa elimu na tiba ya...
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-qAiZ7m88eWA/U14hAYz3SmI/AAAAAAAAo6M/7GKeRCpRJE8/s1600/01.jpg)
TBL YAPATA TUZO YA MAPAMBANO DHIDI YA MALARIA NCHINI
10 years ago
MichuziTBL YAPATA USHINDI WA USALAMA NA USAFI WA MAZINGIRA
10 years ago
MichuziTBL YAPATA TUZO YA NSSF YA MWAJIRI BORA
10 years ago
GPLTBL YAPATA TUZO YA NSSF YA MWAJIRI BORA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-HD6ezOVmOYI/VCnJVWIYd8I/AAAAAAAAuz0/6CyMUs6n0C0/s72-c/01.jpg)
TBL YAPATA TUZO YA HESHIMA WIKI YA NENDA KWA USALAMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-HD6ezOVmOYI/VCnJVWIYd8I/AAAAAAAAuz0/6CyMUs6n0C0/s1600/01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-R3CSD0c04H0/VCnJc9-Cq3I/AAAAAAAAu0E/3cFLT3J_hwQ/s1600/10.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-nK7UMqu-jfg/VEoY9-6G3II/AAAAAAAGtGg/BfpXV5B6gFg/s72-c/unnamed%2B(14).jpg)
Mh. Ummy Mwalimu azitaka Halmashauri zote nchini kutoa elimu kwa wananchi juu ya utunzaji wa mazingira
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mheshimiwa Ummy Mwalimu wakati alipofanya ziara ya kutembelea masoko ya manispaa za Temeke na Ilala za jijini Dar es Salaam.
Amekumbushia pia kila Manispaa kuzingatia agizo la Makamu wa Rais la kufanya usafi kila jumamosi ya mwanzo wa mwezi...
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/ouOQcQcfbx8/default.jpg)
10 years ago
MichuziMKUU WA WILAYA YA ILALA,RAYMOND MUSHI AWAAGIZA WATAALAMU WA MAZINGIRA KUTOA ELIMU UTUNZAJI WA MAZINGIRA KWA WANANCHI
Mkuu wa Wilaya ya Ilala Raymond Mushi amewaagiza watendaji na wataalamu na wenye elimu ya utunzaji wa Mazingira kutoa elimu kuhusu utunzanzaji wa mazingira na athari za mabadiliko ya tabia ya nchi kwa wananchi wote.
Akizungumza leo na Waandishi wa habari ofisini kwake jijini Dar es Salaam leo,Mkuu wa Wilaya ya Ilala Raymond Mushi amesema kuwa katika maadhimisho hayo, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadiki ndiye Mgeni rasmi katika maadhimisho ya Wiki ya...