Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TBL YAPATA USHINDI WA USALAMA NA USAFI WA MAZINGIRA

 Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Raymond Mushi (kushoto), akikabidhi Cheti cha ushindi wa kwanza kwa Meneja Usalama na Mazingira wa kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Renatus Nyanda, kutambua mchango wa TBL kutunza mazingira, wakati wa kilele cha Wiki ya Mazingira, iliyofanyika Dar es Salaam hivi karibuni. Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Raymond Mushi akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), baada ya kushiriki katika zoezi la usafi wa mazingira katika soko la...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

TBL YAPATA TUZO YA UTUNZAJI WA MAZINGIRA NCHINI

 Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Sofia Mjema (kushoto) akimkabidhi tuzo ya cheti Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Dorris Malulu, kwa kutambua mchango wa kampuni hiyo katika utunzaji wa mazingira nchini, wakati wa maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani yaliyofanyika hivi karibuni kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja, Dar es Salaam. Dorris Malulu akifurahia TBL kupata tuzo ya utunzaji mazingira nchini

 

9 years ago

Dewji Blog

Wafanyakazi TBL washiriki usafi wa mazingira Dar, Arusha na Mwanza

usafi TBL 2

Wafanyakazi wa kiwanda Bia tawi la Arusha wakifanya usafi eneo la kituo kikuu cha mabasi jijini Arusha  kuitikia wito wa Rais Dk John Magufuli kufanya usafi wakati wa maadhimisho ya ya Uhuru wa Tanganyika.

usafi tlb 1

usafi 1

Baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya Bia Tanzania wakishiriki zoezi la kufanya usafi katika maeneo ya Mchikichini Ilala jijini Dar es Salaam ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya Uhuru ambapo kwa mwaka huu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.John Magufuli ameitangaza kuwa siku...

 

10 years ago

Michuzi

TBL YAPATA TUZO YA HESHIMA WIKI YA NENDA KWA USALAMA

 Mkuu wa Mkoa wa Manyara,Mbwilo, akimkabidhi Cheti cha kutambua chango mkubwa uliofanywa na Kampuni ya Bia nchini (TBL) ambayo iliendesha zoezi la upimaji afya kwa madareva, Meneja wa Kiwanda cha Bia Arusha Moshi  Sarvatory Rweyemamundiye aliyepokea kwa niaba ya uongozi wa Kampuni hiyo wakati wa kufunga Wiki ya Nenda kwa Usalama barabarani iliyofanyika kitaifa mkoani Arusha. Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Marrison Mwakyoma akipima macho yake kama sehemu ya kuhamasisha upimaji wa...

 

11 years ago

GPL

TBL YATOA MSAADA WA VIFAA VYA USAFI WA MAZINGIRA VYA SH MIL 15 MANISPAA YA ILALA

 Meneja wa Uhusiano Mambo ya Nje wa Kampuni ya Bia Tanzania  (TBL), Emma Oriyo (kushoto) akishiriki na viongozi mbalimbali kufanya usafi, Ilala, Dar es Salaam juzi, katika  maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani Dar es Salaa
 Meneja wa Uhusiano Mambo ya Nje wa Kampuni ya Bia Tanzania  (TBL), Emma Oriyo (kushoto) akishiriki na viongozi mbalimbali kufanya usafi, Ilala, Dar es Salaam juzi, katika ...

 

11 years ago

Michuzi

TBL YATOA MSAADA WA VIFAA VYA USAFI VYA SH. MIL 15 SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa (katikati)akikabidhiwa vifaa vya usafi vyenye thamani ya sh.mil. 15 na Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Dorris Malulu katika hafla iliyofanyika, Ilala, Dar es Salaam, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani. Wafanyakazi wa TBL walishiriki kufanya usafi eneo la Karume, Ilala. Kushoto ni Meneja  Uhusiano wa TBL, Emma Oriyo.  Meneja wa Uhusiano Mambo ya Nje wa Kampuni ya Bia Tanzania  (TBL), Emma Oriyo ...

 

10 years ago

Dewji Blog

TBL yatoa msaada wa vifaa vya usafi Ilala

Meneja wa Kiwanda cha Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Calvin Martin (wapili kulia), akimkabidhi Mbunge wa Ilala, Mussa Zungu baadhi ya vifaa vya kufanyia usafi kwa ajili ya maeneo ya Mchikichini na Jangwani, Dar es Salaam jana. Kiwanda hicho kilikabidhi vifaa vyenye thamani ya sh. milioni saba pamoja na hundi ya sh. milioni 8 kwa ajili ya kazi ya usafi wa maeneo hayo. Kulia anayemsaidia ni Ofisa Uhusiano na Mawasiliano TBL, Dorris Malulu.

Ofisa Uhusiano na Mawasiliano Kampuni ya Tanzania...

 

10 years ago

Michuzi

TBL YAPATA TUZO YA NSSF YA MWAJIRI BORA

 Mkurugenzi wa Fedha wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Cavin O'Flaherty (wa pili kulia), akipokea tuzo ya mwajiri bora wa kwanza katika idara ya matekelezo ya Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) kutoka kwa Meneja Kiongozi wa NSSF mkoa wa Temeke, Bw. Chieldrick Komba, Dar es Salaam jana. Wengine kulia ni Meneja wa Huduma za TBL, Alois Maleck Qande (wa pili kulia), Afisa Uhusiano Doris Malulu (kulia) na baadhi ya maofisa wa NSSF (waliosimama kushoto. Mkurugenzi wa Fedha wa Kampuni ya...

 

10 years ago

GPL

TBL YAPATA TUZO YA NSSF YA MWAJIRI BORA‏

 Mkurugenzi wa Fedha wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Cavin O'Flaherty (wa tatu kulia), akipokea tuzo ya mwajiri bora wa kwanza katika idara ya matekelezo ya Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) kutoka kwa Meneja Kiongozi wa NSSF mkoa wa Temeke, Bw. Chieldrick Komba, Dar es Salaam jana. Wengine kulia ni Meneja wa Huduma za TBL, Alois Maleck Qande (wa pili kulia), Afisa Uhusiano Doris Malulu (kulia) na baadhi ya maofisa...

 

11 years ago

Dewji Blog

TBL yapata tuzo ya mapambano dhidi ya Malaria nchini

Untitled

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid (kulia) akimkabidhi Meneja Vipaji wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Lillian Makau cheti cha shukurani cha kutambua ushiriki wa kampuni hiyo katika mapambano dhidi ya Malaria nchini, wakati wa maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani, jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Katikati ni Balozi wa Malaria Tanzania, Leodegar Tenga.

 Katibu wa Afya wa TBL (katikati), akitoa maelezo jinsi kampuni yake ilivyojidhatiti kutoa elimu na tiba ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani