TBL YAPATA USHINDI WA USALAMA NA USAFI WA MAZINGIRA
Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Raymond Mushi (kushoto), akikabidhi Cheti cha ushindi wa kwanza kwa Meneja Usalama na Mazingira wa kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Renatus Nyanda, kutambua mchango wa TBL kutunza mazingira, wakati wa kilele cha Wiki ya Mazingira, iliyofanyika Dar es Salaam hivi karibuni.
Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Raymond Mushi akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), baada ya kushiriki katika zoezi la usafi wa mazingira katika soko la...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziTBL YAPATA TUZO YA UTUNZAJI WA MAZINGIRA NCHINI
9 years ago
Dewji Blog10 Dec
Wafanyakazi TBL washiriki usafi wa mazingira Dar, Arusha na Mwanza
Wafanyakazi wa kiwanda Bia tawi la Arusha wakifanya usafi eneo la kituo kikuu cha mabasi jijini Arusha kuitikia wito wa Rais Dk John Magufuli kufanya usafi wakati wa maadhimisho ya ya Uhuru wa Tanganyika.
Baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya Bia Tanzania wakishiriki zoezi la kufanya usafi katika maeneo ya Mchikichini Ilala jijini Dar es Salaam ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya Uhuru ambapo kwa mwaka huu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.John Magufuli ameitangaza kuwa siku...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-HD6ezOVmOYI/VCnJVWIYd8I/AAAAAAAAuz0/6CyMUs6n0C0/s72-c/01.jpg)
TBL YAPATA TUZO YA HESHIMA WIKI YA NENDA KWA USALAMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-HD6ezOVmOYI/VCnJVWIYd8I/AAAAAAAAuz0/6CyMUs6n0C0/s1600/01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-R3CSD0c04H0/VCnJc9-Cq3I/AAAAAAAAu0E/3cFLT3J_hwQ/s1600/10.jpg)
11 years ago
GPLTBL YATOA MSAADA WA VIFAA VYA USAFI WA MAZINGIRA VYA SH MIL 15 MANISPAA YA ILALA
11 years ago
MichuziTBL YATOA MSAADA WA VIFAA VYA USAFI VYA SH. MIL 15 SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI
10 years ago
Dewji Blog03 Apr
TBL yatoa msaada wa vifaa vya usafi Ilala
![](http://3.bp.blogspot.com/-2YxUlPAojJE/VR2NH1sd0RI/AAAAAAABQIU/zMle1zYwtA0/s1600/TBL.jpg)
Meneja wa Kiwanda cha Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Calvin Martin (wapili kulia), akimkabidhi Mbunge wa Ilala, Mussa Zungu baadhi ya vifaa vya kufanyia usafi kwa ajili ya maeneo ya Mchikichini na Jangwani, Dar es Salaam jana. Kiwanda hicho kilikabidhi vifaa vyenye thamani ya sh. milioni saba pamoja na hundi ya sh. milioni 8 kwa ajili ya kazi ya usafi wa maeneo hayo. Kulia anayemsaidia ni Ofisa Uhusiano na Mawasiliano TBL, Dorris Malulu.
Ofisa Uhusiano na Mawasiliano Kampuni ya Tanzania...
10 years ago
MichuziTBL YAPATA TUZO YA NSSF YA MWAJIRI BORA
10 years ago
GPLTBL YAPATA TUZO YA NSSF YA MWAJIRI BORA
11 years ago
Dewji Blog29 Apr
TBL yapata tuzo ya mapambano dhidi ya Malaria nchini
![Untitled](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/Untitled62.jpg)
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid (kulia) akimkabidhi Meneja Vipaji wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Lillian Makau cheti cha shukurani cha kutambua ushiriki wa kampuni hiyo katika mapambano dhidi ya Malaria nchini, wakati wa maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani, jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Katikati ni Balozi wa Malaria Tanzania, Leodegar Tenga.
![](http://2.bp.blogspot.com/-Bq_YaTuZ4JA/U14hEFPbQaI/AAAAAAAAo6c/sjBZEE3bK68/s1600/IMG_6823.jpg)
Katibu wa Afya wa TBL (katikati), akitoa maelezo jinsi kampuni yake ilivyojidhatiti kutoa elimu na tiba ya...