TBL YAPATA TUZO YA NSSF YA MWAJIRI BORA
 Mkurugenzi wa Fedha wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Cavin O'Flaherty (wa tatu kulia), akipokea tuzo ya mwajiri bora wa kwanza katika idara ya matekelezo ya Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) kutoka kwa Meneja Kiongozi wa NSSF mkoa wa Temeke, Bw. Chieldrick Komba, Dar es Salaam jana. Wengine kulia ni Meneja wa Huduma za TBL, Alois Maleck Qande (wa pili kulia), Afisa Uhusiano Doris Malulu (kulia) na baadhi ya maofisa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziTBL YAPATA TUZO YA NSSF YA MWAJIRI BORA
9 years ago
Dewji Blog13 Dec
TBL Group yashinda tuzo ya mwajiri bora mwaka 2015
Waziri Mkuu Mh.Kassim Majaliwa (kulia) akimkabidhi kombe la tuzo ya mwajiri bora kwa Mkurugenzi wa Raslimali Watu wa TBL Group, David Magese (Kushoto) katika hafla iliyoandaliwa na Chama Cha Waajiri Tanzania na kufanyika katika ukumbi wa Mlimani City mwishoni mwa wiki ambapo TBL iliibuka kwa mshindi wa tuzo hiyo kwa mwaka 2015,(katikati) ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck sadiki.
Mkurugenzi wa Raslimali Watu wa TBL Group, David Magese akionyesha kombe la tuzo ya mwajiri bora...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Fd0XmNYdrrM/Vg5VlShu4KI/AAAAAAAH8Vc/R8C3iTyHBWE/s72-c/download.jpg)
VODACOM YAPATA TUZO YA KUWA MWAJIRI BORA NCHINI AFRIKA YA KUSINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-Fd0XmNYdrrM/Vg5VlShu4KI/AAAAAAAH8Vc/R8C3iTyHBWE/s1600/download.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VNXpMB91sldT8AlHQMZFJvXiIdWyX9kyeb2r9fw2sYo1lok4J4TkLfAoktIWUeHHagz41ujnXjecS3PB7NjXcFcEUmkKcoMu/001.KOMBE.jpg?width=650)
VODACOM YATANGAZWA MSHINDA WA TUZO ZA MWAJIRI BORA 2014
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-qAiZ7m88eWA/U14hAYz3SmI/AAAAAAAAo6M/7GKeRCpRJE8/s1600/01.jpg)
TBL YAPATA TUZO YA MAPAMBANO DHIDI YA MALARIA NCHINI
9 years ago
Dewji Blog16 Dec
Tigo yashinda tuzo ya mwajiri bora wa mwaka
Naibu Mkuu wa Rasilmali Watu nwa kampuni ya simu za mkononi ya Tigo Doris Luvanda akipokea kikombe cha mshindi wa mwajiri bora wa mwaka 2015 kutoka kwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakati wa kuhitimisha hafla hiyo. Kulia ni Katibu mkuu Dkt Florens Turuka na mwenyekiti wa ATE Almas Maige, Mkuu wa Mkoa wa DSM Said Meck Sadiki na Mkurugenzi wa ATE Dkt Aggrey Mlimuka.
Maadili ya kazi yanayoonyeshwa na wafanyakazi wa kampuni ya simu ya mikononi ya Tigo Tanzania pamoja na juhudi zinazohitajika...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zOlBaWqYFT8/VIpzvTwsVhI/AAAAAAAG2n0/Co0hdFQauKk/s72-c/unnamed%2B(5).jpg)
VODACOM YATANGAZWA MSHINDA WA TUZO ZA MWAJIRI BORA 2014
Dar es Salaam December 12, 2014: The Association of Tanzania Employers (ATE) has declared Vodacom Tanzania Limited the Employer of the Year for the second year in a row. The Right Honourable Prime Minister Mizengo Pinda was the Guest of Honour at this year’s ATE Employer Of the Year Award Presentation ceremony which was held at the Mlimani City Conference Centre in Dar es Salaam on December 11, 2014. “This is the...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ua-oXbfN8Ws/VJFCbaeOnGI/AAAAAAACwjA/ZpwTcq-FmIA/s72-c/EXIM%2B-ATE%2BPIX%2B1.jpg)
BENKI YA EXIM KATIKA TUZO ZA MWAJIRI BORA WA MWAKA 2014
![](http://1.bp.blogspot.com/-ua-oXbfN8Ws/VJFCbaeOnGI/AAAAAAACwjA/ZpwTcq-FmIA/s1600/EXIM%2B-ATE%2BPIX%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-rvbhlOOtUvg/VJFCbtBKhRI/AAAAAAACwjE/1TzCfk1-cyc/s1600/EXIM%2B-ATE%2BPIX%2B2.jpg)
11 years ago
GPLVODACOM MWAJIRI BORA TANZANIA MWAKA 2013