VODACOM YAPATA TUZO YA KUWA MWAJIRI BORA NCHINI AFRIKA YA KUSINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-Fd0XmNYdrrM/Vg5VlShu4KI/AAAAAAAH8Vc/R8C3iTyHBWE/s72-c/download.jpg)
-Inaongoza katika sekta ya mawasilianoKampuni ya mawasiliano ya Vodacom imepata tuzo ya kuwa mwajiri bora katika sekta ya mawasiliano pia ipo miongoni mwa makampuni kumi bora yanayotoa ajira na kuwa na mazingira bora kwa wafanyakazi wake nchini Afrika ya Kusini kwa mwaka 2015.Hafla ya kutangaza makampuni yanayoongoza kwa ajira nchini Afrika ya Kusini ilifanyika jana katika eneo la Gallagher Estate mjini Jahannesburg ambapo Vodacom ilitangazwa kuwa miongoni mwa makampuni 10 bora yanayoongoza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziTBL YAPATA TUZO YA NSSF YA MWAJIRI BORA
10 years ago
GPLTBL YAPATA TUZO YA NSSF YA MWAJIRI BORA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zOlBaWqYFT8/VIpzvTwsVhI/AAAAAAAG2n0/Co0hdFQauKk/s72-c/unnamed%2B(5).jpg)
VODACOM YATANGAZWA MSHINDA WA TUZO ZA MWAJIRI BORA 2014
Dar es Salaam December 12, 2014: The Association of Tanzania Employers (ATE) has declared Vodacom Tanzania Limited the Employer of the Year for the second year in a row. The Right Honourable Prime Minister Mizengo Pinda was the Guest of Honour at this year’s ATE Employer Of the Year Award Presentation ceremony which was held at the Mlimani City Conference Centre in Dar es Salaam on December 11, 2014. “This is the...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VNXpMB91sldT8AlHQMZFJvXiIdWyX9kyeb2r9fw2sYo1lok4J4TkLfAoktIWUeHHagz41ujnXjecS3PB7NjXcFcEUmkKcoMu/001.KOMBE.jpg?width=650)
VODACOM YATANGAZWA MSHINDA WA TUZO ZA MWAJIRI BORA 2014
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-9t2W8xLZxLI/ViDMB-FwhEI/AAAAAAAIASk/HiFcEShGnuw/s72-c/download.jpg)
VODACOM NI KAMPUNI BORA YENYE MTANDAO WA UHAKIKA NCHINI AFRIKA YA KUSINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-9t2W8xLZxLI/ViDMB-FwhEI/AAAAAAAIASk/HiFcEShGnuw/s1600/download.jpg)
Vodacom imetangazwa kutokana na utafiti huo uliofanywa na magazeti hayo katika hafla ya kutangaza makampuni bora ilifanyika jana katika hoteli ya Sandton mjini...
11 years ago
GPLVODACOM MWAJIRI BORA TANZANIA MWAKA 2013
9 years ago
Dewji Blog16 Dec
Tigo yashinda tuzo ya mwajiri bora wa mwaka
Naibu Mkuu wa Rasilmali Watu nwa kampuni ya simu za mkononi ya Tigo Doris Luvanda akipokea kikombe cha mshindi wa mwajiri bora wa mwaka 2015 kutoka kwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakati wa kuhitimisha hafla hiyo. Kulia ni Katibu mkuu Dkt Florens Turuka na mwenyekiti wa ATE Almas Maige, Mkuu wa Mkoa wa DSM Said Meck Sadiki na Mkurugenzi wa ATE Dkt Aggrey Mlimuka.
Maadili ya kazi yanayoonyeshwa na wafanyakazi wa kampuni ya simu ya mikononi ya Tigo Tanzania pamoja na juhudi zinazohitajika...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ua-oXbfN8Ws/VJFCbaeOnGI/AAAAAAACwjA/ZpwTcq-FmIA/s72-c/EXIM%2B-ATE%2BPIX%2B1.jpg)
BENKI YA EXIM KATIKA TUZO ZA MWAJIRI BORA WA MWAKA 2014
![](http://1.bp.blogspot.com/-ua-oXbfN8Ws/VJFCbaeOnGI/AAAAAAACwjA/ZpwTcq-FmIA/s1600/EXIM%2B-ATE%2BPIX%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-rvbhlOOtUvg/VJFCbtBKhRI/AAAAAAACwjE/1TzCfk1-cyc/s1600/EXIM%2B-ATE%2BPIX%2B2.jpg)
9 years ago
Dewji Blog13 Dec
TBL Group yashinda tuzo ya mwajiri bora mwaka 2015
Waziri Mkuu Mh.Kassim Majaliwa (kulia) akimkabidhi kombe la tuzo ya mwajiri bora kwa Mkurugenzi wa Raslimali Watu wa TBL Group, David Magese (Kushoto) katika hafla iliyoandaliwa na Chama Cha Waajiri Tanzania na kufanyika katika ukumbi wa Mlimani City mwishoni mwa wiki ambapo TBL iliibuka kwa mshindi wa tuzo hiyo kwa mwaka 2015,(katikati) ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck sadiki.
Mkurugenzi wa Raslimali Watu wa TBL Group, David Magese akionyesha kombe la tuzo ya mwajiri bora...