TBL yatoa msaada wa vifaa vya usafi Ilala
Meneja wa Kiwanda cha Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Calvin Martin (wapili kulia), akimkabidhi Mbunge wa Ilala, Mussa Zungu baadhi ya vifaa vya kufanyia usafi kwa ajili ya maeneo ya Mchikichini na Jangwani, Dar es Salaam jana. Kiwanda hicho kilikabidhi vifaa vyenye thamani ya sh. milioni saba pamoja na hundi ya sh. milioni 8 kwa ajili ya kazi ya usafi wa maeneo hayo. Kulia anayemsaidia ni Ofisa Uhusiano na Mawasiliano TBL, Dorris Malulu.
Ofisa Uhusiano na Mawasiliano Kampuni ya Tanzania...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLTBL YATOA MSAADA WA VIFAA VYA USAFI WA MAZINGIRA VYA SH MIL 15 MANISPAA YA ILALA
11 years ago
MichuziTBL YATOA MSAADA WA VIFAA VYA USAFI VYA SH. MIL 15 SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-IUbUTeh5NJM/VUx2t1X96OI/AAAAAAAA1sQ/J241SkLKa6c/s72-c/1.jpg)
TBL YATOA MSAADA WA VIFAA TIBA VYA SH. MIL. 22 KITUO CHA AFYA KAMBI YA SIMBA,KARATU
![](http://4.bp.blogspot.com/-IUbUTeh5NJM/VUx2t1X96OI/AAAAAAAA1sQ/J241SkLKa6c/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-PGGOjhKYOok/VUx3SuqK4yI/AAAAAAAA1uU/ByALKEDocRQ/s640/9.jpg)
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-OEyrRKU7lUI/VUx2po2uLDI/AAAAAAAA1sE/96UT9aILrwk/s640/01.jpg)
TBL YATOA MSAADA WA VIFAA TIBA VYA SH. MIL. 22 KITUO CHA AFYA KAMBI YA SIMBA,KARATU
10 years ago
Tanzania Daima19 Oct
TPB yatoa vifaa vya usafi Feri
KUTOKANA na uchafu uliokithiri katika soko la samaki Feri, Benki ya Posta Tanzania (TPB), imetoa msaada wa vifaa vya usafi vyenye thamani ya sh. milioni nne. Kaimu Ofisa Mtendaji Mkuu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bj5ll1dOYbY/XqGW7x7WeKI/AAAAAAALoBA/V7n-FGNhmtUAy6MEsAZSAg9yP1nJ6YIRACLcBGAsYHQ/s72-c/02.jpg)
Taasisi ya Wipahs na Medewell yaipatia Mloganzila msaada wa vifaa vya usafi
![](https://1.bp.blogspot.com/-bj5ll1dOYbY/XqGW7x7WeKI/AAAAAAALoBA/V7n-FGNhmtUAy6MEsAZSAg9yP1nJ6YIRACLcBGAsYHQ/s640/02.jpg)
Pichani ni baadhi ya msaada uliotolewa hospitalini hapa.
![](https://1.bp.blogspot.com/-Ia1iKe-7fz4/XqGW76dQ4GI/AAAAAAALoBE/Ee-WrDGtOnkDnXOrgRRNU7TSAPFwxZQQQCLcBGAsYHQ/s640/011.jpg)
Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Uuguzi wa MNH-Mloganzila Sr. Redemptha Matindi (kushoto) akifanya majaribio namna ya kutumia kifaa cha kunawia mikono kilichokabidhiwa leo kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Wipahs na Medewell Bw. Jaabir Rajani.
Hospitali ya Taifa Muhimbili–Mloganzila imepokea msaada wa vifaa vya usafi pamoja na kunawa mikono kutoka kwa Taasisi ya Wipahs na Medewell ikiwa ni sehemu ya mapambano dhidi ya virusi vya...
10 years ago
MichuziTBL YATOA MSAADA WA VISIMA VYA MAJI ZANZIBAR NA MBAGALA
![](http://3.bp.blogspot.com/-sGDd74hOiZI/VCKCLkkJ18I/AAAAAAAAAFo/CtwEZNVhxy0/s1600/TBL%2B5.jpg)
10 years ago
GPLTBL YATOA MSAADA WA VISIMA VYA MAJI ZANZIBAR NA MBAGALA
10 years ago
Dewji Blog12 Apr
TBL yatoa msaada wa sh. mil 69 za ujenzi wa visima vya maji Vituka, Mwembeladu wilayani Temeke
Ofisa Uhusiano Mwandamizi wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Doris Malulu (kulia), akikabidhi mfano wa hundi ya sh Milioni 69 kwa Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Vituka, Bi. Amina Rashid Simba kwa ajili ya kuchimba visima vya maji katika maeneo ya Vituka na Mwembeladu, Manispaa ya Temeke, Dar es Salaam jana. Wengine katika picha ni Katibu wa Diwani Bw. Ismail Ng’ombo (wa pili kulia), Bw. Kassimu Makoa na Bi. Zubeda Ali Ligubike aliyetoa eneo la mradi huo. (Na Mpigapicha Wetu)