TPB yatoa vifaa vya usafi Feri
KUTOKANA na uchafu uliokithiri katika soko la samaki Feri, Benki ya Posta Tanzania (TPB), imetoa msaada wa vifaa vya usafi vyenye thamani ya sh. milioni nne. Kaimu Ofisa Mtendaji Mkuu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog09 Dec
TPB yasafisha soko la Feri, yatoa vifaa vya usafi, ni katika kuunga mkono uamuzi wa Rais Magufuli wa Uhuru ni kazi
![](http://1.bp.blogspot.com/-irAKTk09YTk/Vmf__FKcc4I/AAAAAAAAdLo/GMVNH4MgYBM/s640/b9.jpg)
Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania, TPB, Henry Bwogi, akizibua chemba ya kupitisha maji taka kwenye zoni 3 ya soko la samaki la kimataifa Feri jijini Dar es Salaam Desemba 9, 2015. TPB imeungana na watanzania katika kuunga mkono agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kuwataka wananchi kusherehekea sikukuu ya Uhuru wa Tanganyika kwa kufanya usafi ili kutekeleza zana ya “Uhuru ni Kazi” badala ya kufanya sherehe na matamasha huku nchi ikakabiliwa na ugonjwa wa...
11 years ago
GPLTBL YATOA MSAADA WA VIFAA VYA USAFI WA MAZINGIRA VYA SH MIL 15 MANISPAA YA ILALA
11 years ago
MichuziTBL YATOA MSAADA WA VIFAA VYA USAFI VYA SH. MIL 15 SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI
10 years ago
Dewji Blog03 Apr
TBL yatoa msaada wa vifaa vya usafi Ilala
![](http://3.bp.blogspot.com/-2YxUlPAojJE/VR2NH1sd0RI/AAAAAAABQIU/zMle1zYwtA0/s1600/TBL.jpg)
Meneja wa Kiwanda cha Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Calvin Martin (wapili kulia), akimkabidhi Mbunge wa Ilala, Mussa Zungu baadhi ya vifaa vya kufanyia usafi kwa ajili ya maeneo ya Mchikichini na Jangwani, Dar es Salaam jana. Kiwanda hicho kilikabidhi vifaa vyenye thamani ya sh. milioni saba pamoja na hundi ya sh. milioni 8 kwa ajili ya kazi ya usafi wa maeneo hayo. Kulia anayemsaidia ni Ofisa Uhusiano na Mawasiliano TBL, Dorris Malulu.
Ofisa Uhusiano na Mawasiliano Kampuni ya Tanzania...
5 years ago
MichuziTAASISI YA ODO UMMY FOUNDATION YATOA VIFAA VYA USAFI KWA TAASISI KUBWA ZA DINI JIJINI TANGA
10 years ago
Habarileo19 Oct
Benki ya Posta wakabidhi vifaa vya usafi
BENKI ya Posta imekabidhi msaada wa vifaa vya usafi vyenye thamani ya Sh milioni nne kwa uongozi wa soko kuu la samaki la Feri.
9 years ago
Dewji Blog07 Sep
Zantel yalisaidia jiji la Tanga vifaa vya usafi
Meneja Mshauri wa Zantel, Charles Jutta akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kukabidhi msaada wa vifaa vya usafi kwa mkoa wa Tanga, kushoto kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mheshimiwa Magalula Said Magalula.
Mkuu wa Wilaya ya Tanga Abdula Lutavi akiteta jambo na Meneja Mshauri wa Zantel, Charles Jutta (Kushoto) mara baada ya makabidhiano ya vifaa vya usafi baina ya Zantel na jiji la Tanga anayeshudia katikati ni meneja mauzo wa Zantel Tanga.
Mkuu wa mkoa wa Tanga Magalula Said...
5 years ago
MichuziTANGA UWASA YATOA VIFAA 85 VITAKAVYOTUMIKA KWA AJILI YA USAFI MKOANI TANGA
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga (Tanga Uwasa) Mhandisi Geofrey Hilly kulia akimkabidhi vifaa vya 85 vitakavyotumika kwa ajili ya usafi kwenye wilaya tatu zilizopo mkoani Tanga Mkuu wa Mkoa wa Tanga Martine Shigella kushoto ili viweze kusambazwa maeneo mbalimbali ikiwemo masokoni,hospitalini na stendi sambamba na kujenga masinki ya kunawia mikono kushoto ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga Judica Omari na Meneja wa Ruwasa Mkoa wa Tanga Upendo Lugongo na wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bj5ll1dOYbY/XqGW7x7WeKI/AAAAAAALoBA/V7n-FGNhmtUAy6MEsAZSAg9yP1nJ6YIRACLcBGAsYHQ/s72-c/02.jpg)
Taasisi ya Wipahs na Medewell yaipatia Mloganzila msaada wa vifaa vya usafi
![](https://1.bp.blogspot.com/-bj5ll1dOYbY/XqGW7x7WeKI/AAAAAAALoBA/V7n-FGNhmtUAy6MEsAZSAg9yP1nJ6YIRACLcBGAsYHQ/s640/02.jpg)
Pichani ni baadhi ya msaada uliotolewa hospitalini hapa.
![](https://1.bp.blogspot.com/-Ia1iKe-7fz4/XqGW76dQ4GI/AAAAAAALoBE/Ee-WrDGtOnkDnXOrgRRNU7TSAPFwxZQQQCLcBGAsYHQ/s640/011.jpg)
Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Uuguzi wa MNH-Mloganzila Sr. Redemptha Matindi (kushoto) akifanya majaribio namna ya kutumia kifaa cha kunawia mikono kilichokabidhiwa leo kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Wipahs na Medewell Bw. Jaabir Rajani.
Hospitali ya Taifa Muhimbili–Mloganzila imepokea msaada wa vifaa vya usafi pamoja na kunawa mikono kutoka kwa Taasisi ya Wipahs na Medewell ikiwa ni sehemu ya mapambano dhidi ya virusi vya...