Absa Tanzania yaunga mkono juhudi za serikali mapambano dhidi ya Covid-19
Waziri wa Afya, Maendeleo ya. Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu, (katikati), akimshukuru Mkurugenzi Rasilimali Watu na Utumishi wa Benki ya AbsaTanzania, Patrick Foya (kushoto), baada yakupokea msaada wa vifaa tiba kwa ajili ya kuisaidia serikali katika kupambana na ugonjwa wa homa kali ya mapafu inayotokana na virusi vya Corona (Covid-19). kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleoya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Prof. Mabula Daudi Mchembe. Vifaa hivyo vikiwemo barakoa,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uqq0YjByJnw/Xpx6IIfsgQI/AAAAAAALnbo/9Sri98tOXbEoooftA9o5SeNrtGa1VaXWQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200419-WA0062.jpg)
WADAU WA MAENDELEO ARUSHA WAUNGA MKONO JUHUDI ZA SRIKALI MAPAMBANO DHIDI YA COVID-19 KWA KUTOA MISAADA
Na Woinde Shizza,ARUSHA
WADAU wa Maendeleo Mkoa wa Arusha wameunga mkono juhudi za Serikali dhidi ya mapambano ya ugonjwa hatari wa Covid-19 kwa kutoka misaada mbalimbali kama njia mojawapo ya kukabiliana maambukizo ya virusi vya Corona.
Misaada hiyo imetolewa na kampuni ya vinywaji vikali ya Mega Beverage ya jijini hapa kuwa ambapo imetoa lita 2500 za vitakasa mikono pamoja na madumu 50 ya kunawia maji yanayotiririka vyenye thamani ya sh,milioni 46.
Wadau wengine waliojitokeza kuchangia...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VR88wpJU4fo/XqfVaWeXCrI/AAAAAAALoaM/QIDK9V0sREEUnIZR8wA846Th8zUZ54EiQCLcBGAsYHQ/s72-c/5cbd6997-e3b2-4875-9b79-bcbbfd26b1f0.jpg)
KAMPUNI YA GGML YATOA SHILINGI BILIONI 1.6 KUUNGA MKONO JUHUDI ZA SERIKALI MAPAMBANO DHIDI YA VIRUSI VYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-VR88wpJU4fo/XqfVaWeXCrI/AAAAAAALoaM/QIDK9V0sREEUnIZR8wA846Th8zUZ54EiQCLcBGAsYHQ/s640/5cbd6997-e3b2-4875-9b79-bcbbfd26b1f0.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-8hzk-8xRn10/XqfVaYWwWWI/AAAAAAALoaQ/g2qtls5wKyAx6dDBBt7FiCp5De6LwfsSgCLcBGAsYHQ/s640/9dd985b1-8e22-4aed-ad29-26baf554f655.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-cYuavRird68/XqfVaXTU2rI/AAAAAAALoaU/nqAUM9LZjXAL2mhH1eAjXckC-WGJ1rwvgCLcBGAsYHQ/s640/4034747a-3acf-476d-83d6-8304bb7db49c.jpg)
KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imetoa Shilingi bilioni 1.6 kuunga mkono juhudi za Serikali katika kudhibiti maambukizi ya Virusi vya Corona ambayo hadi sasa yamesambaa katika nchi 210 duniani Tanzania ikiwemo.
Pia GGML imezindua mikakati...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nFUhlOE1n1c/XrLxqNI-8DI/AAAAAAALpUQ/H0f1mbCczIQEv2EaLesiUYrightVsk5RQCLcBGAsYHQ/s72-c/605ce68d-9c08-45a1-88ea-c5cafaf475fe.jpg)
Fashion Association of Tanzania(FAT) waungana na serikali mapambano dhidi ya maambukizi Covid-19
• Wabunifu waonyesha kwa vitendo mapigano dhidi ya maambukizi ya Covid-19
Fashion Association of Tanzania (FAT) chaendesha mchakato wa uchangiaji wa vitakasa ikiwa sehemu ya mchango wao dhidi ya maambukizi ya homa ya mapafu inayosababishwa na kirusi cha Corona (Covid-19).
Jumla ya wabunifu, wanamitindo na wadau wa sekta hiyo 66, wameweza kuchangia katoni 80 (sawa na lita 1,600) za vitakasa, katoni 60 kati ya hizo zikiwa ni “lit lavender disinfectant” na 20 zikiwa ni “zap bleach regular”...
9 years ago
StarTV30 Nov
CWT Iringa yaunga mkono juhudi za Rais Magufuli kupambana na ubadhirifu
CHAMA cha walimu Tanzania CWT tawi la Iringa kimesema jitihada zinazofanywa na uongozi wa awamu ya tano ya rais Dr.John Pombe Magufuli zinapaswa kuungwa mkono na watanzania wote wenye fikra pevu na nia njema ya maendeleo ya Taifa.
Zuio la posho kwa watumishi wa serikali, matumizi holela ya fedha za umma pamoja na kutafuta njia mbadala ya namna ya kusherekea siku ya Uhuru na maadhimisho ya siku ya Ukimwi duniani, ni miongoni mwa mambo yanayotajwa kuwa na tija kwa jamii badala ya manufaa ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AOpYVP1JZkQ/XpcjPv39SFI/AAAAAAAAJFs/HPaU-JOa2bYy2zJPu8aoCb0UGSdzErCcQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200415-WA0096.jpg)
RC.GAMBO,WADAU SHIRIKIANENI NA SERIKALI MAPAMBANO DHIDI COVID 19
![](https://1.bp.blogspot.com/-AOpYVP1JZkQ/XpcjPv39SFI/AAAAAAAAJFs/HPaU-JOa2bYy2zJPu8aoCb0UGSdzErCcQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200415-WA0096.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo akipokea Vitakasa mikono lita 2500 pamoja na Ndoo 50 kutoka kwa meneja wa kampuni ya Mega beverages Christopher Ndossi leo jijini Arusha picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha.
![](https://1.bp.blogspot.com/-rhvaFdjwVms/XpcjOn8XMOI/AAAAAAAAJFk/IfCa48FbzeMA0_4G8i-pyZH1IWfa8cvrgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200415-WA0092.jpg)
Katibu Tawala wa mkoa wa Arusha Richard Kwitega akitoa taarifa ya mapambano ya ugonjwa wa Covid 19 kwa mkoa wa Arusha kwa wadau kutoka kampuni za Hanspoul Ltd,Simba Truck na Mega Beverages Mara baada ya kukabidhiwa vifaa na fedha milioni 29 kutoka kwa wadau hao ikiwa ni sehemu yamsaada...
5 years ago
Michuzi5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-P4MQwULCuMQ/Xpgg8RgQKPI/AAAAAAALnJM/XvZWNjTbQKscRFs2PD4B4OG31GBnAmnTACLcBGAsYHQ/s72-c/New%2BPicture.png)
TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA YAIPONGEZA SERIKALI DHIDI YA MAPAMBANO YA UGONJWA WA CORONA (COVID-19).
![](https://1.bp.blogspot.com/-P4MQwULCuMQ/Xpgg8RgQKPI/AAAAAAALnJM/XvZWNjTbQKscRFs2PD4B4OG31GBnAmnTACLcBGAsYHQ/s320/New%2BPicture.png)
Itakumbukwa kuwa katikati ya mwezi Machi mwaka huu Serikali ilitangaza mapambano rasmi dhidi ya maradhi yanayosababishwa na virusi vya Corona ambavyo hivi karibuni imekuwa ni janga kubwa duniani.
Serikali ilichukua uamuzi huo baada ya Tanzania kuanza kupata taarifa za uwepo wa wagonjwa wa maradhi hayo nchini na hivyo kuwataka Wananchi kuchukua tahadhari mbalimbali za kujikinga na...
10 years ago
Dewji Blog29 Sep
Apollo yaunga mkono vita dhidi ya magonjwa ya moyo
Magonjwa ya moyo ni miongoni ya magonjwa duniani yanayosababisha vifo vya watu milioni 17.3 kulingana na takwimu za Shirika la Afya Duniani (WHO). Siku ya Moyo Duniani huadhimishwa tarehe 29 Septemba kila mwaka kwa lengo la kuongeza uelewa kuhusu magonjwa ya moyo ikiwa na kauli mbiu kadha wa kadha kila mwaka. Ikiwa ni idadi kubwa ya wagonjwa wa moyo Tanzania wanaosasifiri kwenda nje ya nchi kwa ajili ya matibabu, Hospitali ya Apollo ya India ilifanya jitihada za kina kuanzisha hospitali ya...