‘Zalisheni bidhaa zenye ubora unaotambuliwa TBS’
WAJASIRIAMALI wameaswa kuzalisha bidhaa zenye ubora badala ya kutengeneza na kuziuza kwa wananchi wakati bado hazijapimwa na Shirika la Viwango Tanzania (TBS). Aidha wajasiriamali 258 wamefikiwa na TBS na kupimiwa ubora wa bidhaa zao nchi nzima.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV03 Dec
Wafanyabiashara wadogo Afrika Mashariki watakiwa kuongeza uzalishaji zenye bidhaa zenye ubora
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli amewataka wafanyabiashara wadogo wadogo wa Nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kuzalisha bidhaa zenye ubora ili kukidhi soko la kimataifa la bidhaa hizo.
Rais Magufuli amesema endapo bidhaa zenye ubora zitazalishwa ndani ya Nchi hizo ,malalamiko ya mara kwa mara ya wafanyabiashara hao kuhusu masoko yatafikia ukomo kutokana na kuwa na wateja wengi kutoka nchi mbalimbali Duniani.
Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Said Meck...
10 years ago
Tanzania Daima24 Aug
‘Nunueni bidhaa zenye ubora’
WATANZANIA wameshauriwa kununua bidhaa zenye ubora za Panasonic na kuachana na zingine zilizopo katika soko ambazo hazina ubora. Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam jana na Mkurugenzi wa Masoko wa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-xpNoYohyq8E/U3SA1kdXVkI/AAAAAAAFhyY/_ol_tPd9a5w/s72-c/unnamed+(3).jpg)
WATANZANIA WAMESHAURIWA KUTUMIA BIDHAA ZENYE UBORA
![](http://3.bp.blogspot.com/-xpNoYohyq8E/U3SA1kdXVkI/AAAAAAAFhyY/_ol_tPd9a5w/s1600/unnamed+(3).jpg)
9 years ago
StarTV20 Nov
TBS yawataka wazalishaji kuthibitishiwa ubora wa bidhaa na shirika hilo
Shirika la Viwango Tanzania limewataka wazalishaji wote wa bidhaa ambazo ziko katika viwango vya lazima kuhakikisha wanathibitisha ubora wa bidhaa zao kwa shirika hilo.
Kauli hiyo imekuja baada ya TBS kubaini viwanda vya Kampuni ya Red East Building materials limited cha Tabata Bima na kile cha Snow Leopard cha Tabata Segerea kuzalisha mabati ambayo hayajathibitishwa ubora .
Kabla ya kuvifungia viwanda hivyo, Afisa masoko wa TBS, Gladnes Kaseka alisema viwanda vyote ambavyo...
10 years ago
Michuzi03 Jun
TBS NA TFDA WATAKIWA KUDHIBITI BIDHAA ZISIZO NA UBORA ILI KULINDA UCHUMI
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2269734/lowRes/721356/-/nkmp03/-/FEKI.jpg)
Mamlaka ya Chakula na dawa(TFDA) na Shirika la Viwango nchini(TBS), wameshauriwa kuwadhibiti zaidi wafanyabiashara wasio waaminini ambao wanaingia nchini bidhaa sizizo na ubora kwani wanaporomosha uchumi.
Meneja masoko wa kampuni ya Wrigleys (EA) Company Ltd, Emanuel Laswai, alitoa kauli hiyo juzi, katika uzinduzi wa bidhaa mpya za kampuni hiyo ya Doublemint nchini Tanzania.
Laswai alisema, uingizwaji wa bidhaa feki na zisizo na ubora zina athari za...
9 years ago
VijimamboKAMPUNI YA MEGATRADE INVESTMENT LIMITED YAPOKEA CHETI CHA UBORA WA BIDHAA ZAKE KUTOKA TBS
11 years ago
Dewji Blog10 Jun
Mkuu wa Mkoa wa Arusha awataka wajasiriamali wa viwanda vidogo vidogo kutengeneze bidhaa zenye ubora
Mkuu wa mkoa wa Arusha, Magessa Mulongo akiwa anaangalia bidhaa zinazotengenezwa na kabila la Wahabeshi katika uzinduzi wa maonyesho ya SIDO.
Baadhi ya bidhaa za Shanga zilizopo katika maonyesho ya SIDO.
Mkurugenzi wa Taha, Jacqueline Mkindi akiwa anaangalia na kufurahia bidhaa zinazotengenezwa na Shanga zilizopo katika viwanja vya Makumbusho katika maonyesho ya wajasiriamali toka viwanda vidogo vidogo.
Wahazabe wakiendelea kutengeneza Mikuki yao.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-T4szmcSxUIQ/Xr6QdJjVs9I/AAAAAAAAJZk/hIogMJ5_2pwLzHlM13GiK6gdk8tTqh1MQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200515_123710_130.jpg)
ZALISHENI KWA WINGI ILI WATANZANIA WAMUDU BEI YA BIDHAA ZA MAPAMBANO YA COVID 19 RAS ARUSHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-T4szmcSxUIQ/Xr6QdJjVs9I/AAAAAAAAJZk/hIogMJ5_2pwLzHlM13GiK6gdk8tTqh1MQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200515_123710_130.jpg)
Karibu Tawala wa mkoa wa Arusha Richard Kwitega akiwa na Mganga mkuu wa mkoa wa Arusha Dkt.Edson Sichalwe wakiwa na Meneja wa Sido Mkoa wa Arusha Nina Nchimbi pamoja na Mwenyekiti wa wajasiriamali wadogo wa Sido Mkoa Yasin Bakary wakati wa utambukishaji wa bidhaa zao kwa ajili ya mapambano ya kujikinga na maambukizi ya Ugonjwa wa homa kali ya mapafu Covid 19 leo jijini Arusha picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha.
![](https://1.bp.blogspot.com/-XTuUw8OmcjI/Xr6VAbf-xOI/AAAAAAAAJaM/pVrqXLOjv4krr5qfYJ2CIZga15a8eYtFgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200515-WA0077.jpg)
Katibu tawala wa mkoa wa Arusha Richard Kwitega akiongea na vyombo vya habari...
10 years ago
Tanzania Daima22 Oct
‘Onyesheni tiba asili zenye ubora’
WASHIRIKI katika maonyesho ya biashara ya kimataifa ya Tiba Asili ya Mwafrika yanayotarajiwa kuanza Novemba 16 hadi 23 mwaka huu, wametakiwa kuonyesha bidhaa bora zitakazoleta ushindani katika soko la Tiba...