‘Onyesheni tiba asili zenye ubora’
WASHIRIKI katika maonyesho ya biashara ya kimataifa ya Tiba Asili ya Mwafrika yanayotarajiwa kuanza Novemba 16 hadi 23 mwaka huu, wametakiwa kuonyesha bidhaa bora zitakazoleta ushindani katika soko la Tiba...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV03 Dec
Wafanyabiashara wadogo Afrika Mashariki watakiwa kuongeza uzalishaji zenye bidhaa zenye ubora
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli amewataka wafanyabiashara wadogo wadogo wa Nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kuzalisha bidhaa zenye ubora ili kukidhi soko la kimataifa la bidhaa hizo.
Rais Magufuli amesema endapo bidhaa zenye ubora zitazalishwa ndani ya Nchi hizo ,malalamiko ya mara kwa mara ya wafanyabiashara hao kuhusu masoko yatafikia ukomo kutokana na kuwa na wateja wengi kutoka nchi mbalimbali Duniani.
Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Said Meck...
10 years ago
GPLBARAZA LA TIBA ASILI, MBADALA LAPIGA MARUFUKU MATANGAZO NA VIPINDI VYA TIBA HIYO
9 years ago
Michuzi24 Dec
10 years ago
Tanzania Daima24 Aug
‘Nunueni bidhaa zenye ubora’
WATANZANIA wameshauriwa kununua bidhaa zenye ubora za Panasonic na kuachana na zingine zilizopo katika soko ambazo hazina ubora. Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam jana na Mkurugenzi wa Masoko wa...
11 years ago
Habarileo15 Jun
‘Zalisheni bidhaa zenye ubora unaotambuliwa TBS’
WAJASIRIAMALI wameaswa kuzalisha bidhaa zenye ubora badala ya kutengeneza na kuziuza kwa wananchi wakati bado hazijapimwa na Shirika la Viwango Tanzania (TBS). Aidha wajasiriamali 258 wamefikiwa na TBS na kupimiwa ubora wa bidhaa zao nchi nzima.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-xpNoYohyq8E/U3SA1kdXVkI/AAAAAAAFhyY/_ol_tPd9a5w/s72-c/unnamed+(3).jpg)
WATANZANIA WAMESHAURIWA KUTUMIA BIDHAA ZENYE UBORA
![](http://3.bp.blogspot.com/-xpNoYohyq8E/U3SA1kdXVkI/AAAAAAAFhyY/_ol_tPd9a5w/s1600/unnamed+(3).jpg)
10 years ago
VijimamboKWA PICHA ZENYE UBORA NI TEMBAPHOTO NDIYO HABARI YA MJINI
http://tembaphoto.com/
10 years ago
Habarileo27 May
TFDA yaombwa kufuatilia ubora wa vipodozi vya asili
WATUMIAJI wa vipodozi wameishauri Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) kufuatilia na kuwachukulia hatua watengenezaji wa vipodozi vya asili, wanaodanganya ubora wa bidhaa zao wakati zinaathiri ngozi za watumiaji.
10 years ago
Tanzania Daima23 Oct
Athari za dawa zenye zebaki katika tiba ya meno
AGENDA ni miongoni mwa asasi zisizo za serikali (NGOs) zaidi ya 30 katika bara la Afrika zilizosaini Azimio la Abuja kutaka bara hili liwe la kwanza kuacha kutumia dawa zenye...