KAMPUNI YA MEGATRADE INVESTMENT LIMITED YAPOKEA CHETI CHA UBORA WA BIDHAA ZAKE KUTOKA TBS
Meneja wa Kanda ya Pwani wa Kampuni ya Megatrade investment limited Godfrey Mkunde kushoto akipokea cheti cha ubora wa bidhaa za kampuni hiyo kutoka kwa mkurugenzi wa kampuni ya viwango nchini TBS Bw. Joseph Masikitiko wakati wa utoaji wa vyeti hivyo uliofanyika katika ofisi za TBS Dar es salaam
Meneja wa Kanda ya Pwani wa Kampuni ya Megatrade investment limited Godfrey Mkunde kulia akiwa na Msimamizi mkuu wa mauzo wa Kampuni hiyo Albert Kingu.
Meneja wa Kanda ya Pwani wa Kampuni ya Megatrade...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo15 Jun
‘Zalisheni bidhaa zenye ubora unaotambuliwa TBS’
WAJASIRIAMALI wameaswa kuzalisha bidhaa zenye ubora badala ya kutengeneza na kuziuza kwa wananchi wakati bado hazijapimwa na Shirika la Viwango Tanzania (TBS). Aidha wajasiriamali 258 wamefikiwa na TBS na kupimiwa ubora wa bidhaa zao nchi nzima.
9 years ago
StarTV20 Nov
TBS yawataka wazalishaji kuthibitishiwa ubora wa bidhaa na shirika hilo
Shirika la Viwango Tanzania limewataka wazalishaji wote wa bidhaa ambazo ziko katika viwango vya lazima kuhakikisha wanathibitisha ubora wa bidhaa zao kwa shirika hilo.
Kauli hiyo imekuja baada ya TBS kubaini viwanda vya Kampuni ya Red East Building materials limited cha Tabata Bima na kile cha Snow Leopard cha Tabata Segerea kuzalisha mabati ambayo hayajathibitishwa ubora .
Kabla ya kuvifungia viwanda hivyo, Afisa masoko wa TBS, Gladnes Kaseka alisema viwanda vyote ambavyo...
10 years ago
Michuzi03 Jun
TBS NA TFDA WATAKIWA KUDHIBITI BIDHAA ZISIZO NA UBORA ILI KULINDA UCHUMI
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2269734/lowRes/721356/-/nkmp03/-/FEKI.jpg)
Mamlaka ya Chakula na dawa(TFDA) na Shirika la Viwango nchini(TBS), wameshauriwa kuwadhibiti zaidi wafanyabiashara wasio waaminini ambao wanaingia nchini bidhaa sizizo na ubora kwani wanaporomosha uchumi.
Meneja masoko wa kampuni ya Wrigleys (EA) Company Ltd, Emanuel Laswai, alitoa kauli hiyo juzi, katika uzinduzi wa bidhaa mpya za kampuni hiyo ya Doublemint nchini Tanzania.
Laswai alisema, uingizwaji wa bidhaa feki na zisizo na ubora zina athari za...
10 years ago
Dewji Blog20 Jul
Insignia Limited yapata cheti cha mazingira cha ISO 14000
Kampuni inayoongoza kwa uzalishaji wa rangi nchini Tanzania ya Insignia Limited, inajivunia kutangaza kupata cheti cha ISO 14000, cheti cha kiwango cha kimataifa cha uwajibikaji katika usimamizi na uhifadhi wa mazingira. Viongozi wa kampuni walitangaza mafanikio hayo mjini Dar es Salaam. Cheti hicho cha ISO kilitolewa kuthibitisha viwango vya kampuni kufwatia dhamira yake katika shughuli za utunzaji wa mazingira
Mwaka 1996, Serikali ya Tanzania ilizindua sera endelevu ya maendeleo ya...
11 years ago
Tanzania Daima21 Jan
Kituo cha Exim Academy chatunukiwa cheti cha ubora
KITUO cha mafunzo cha Benki ya Exim ya Tanzania, ‘Exim Academy’ kimetunukiwa Cheti cha Kimataifa cha Ubora wa Viwango (ISO 9001:2008) kutokana na mafunzo bora wanayoyatoa. Kituo hicho kilizinduliwa na...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8T1W8ouVU6E/Vnei2L2VHqI/AAAAAAAAY3A/yYWq5eKBBL0/s72-c/IMG_2105%2B%25281024x683%2529.jpg)
MEGATRADE INVESTMENT LTD YA JIJINI ARUSHA YATOA SIKU KUU KWA WATOTO WA KITUO CHA AMANI CENTER
![](http://1.bp.blogspot.com/-8T1W8ouVU6E/Vnei2L2VHqI/AAAAAAAAY3A/yYWq5eKBBL0/s640/IMG_2105%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Zr5XGybXd3U/Vnei3MVnvqI/AAAAAAAAY3E/5uJWoeZF7zM/s640/IMG_2119%2B%25281024x683%2529.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima15 Jul
VitaFoam wapata cheti cha ubora
KAMPUNI ya VitaFoam inayotengeneza magodoro, imepokea cheti cha ubora na uthibitisho wa viwango vya kimataifa kutoka Shirika la Viwango vya Kimataifa (ISO) 9001:2008 kinachotambulika kimataifa baada ya kutimiza viwango vya...
9 years ago
Bongo526 Dec
Kampuni ya Nestle yathibitisha ubora na uhalisia wa bidhaa yake ya Nido
![NIDO-PACK-PRESS_TIN_D-swa(1)](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/NIDO-PACK-PRESS_TIN_D-swa1-300x194.jpg)
Kampuni mama ya bidhaa ya maziwa ya unga ya NIDO, Nestle, hivi karibuni imethibitisha ubora na uhalisia wa bidhaa yake hii maarufu ya NIDO.
Hii imekuja baada ya mabadiliko ya chanzo cha upatikanaji wa maziwa haya kuhamia nchi ya Afrika Kusini, mabadiliko haya yalisababisha mkanganyiko kwa watumiaji wake wa kila siku.
Kampuni ya Nestle imewahakikishia kuwa NIDO (kwenye picha) kama ilivyo bidhaa nyingine kutoka Nestle, imetengenezwa kwa kufuata viwango vya hali ya juu kabisa vya uborana...
11 years ago
Habarileo21 Jan
Benki ya Exim yatunukiwa cheti cha ubora wa mafunzo
KITUO cha mafunzo cha Benki ya Exim nchini, kimetunukiwa cheti cha kimataifa cha ubora wa viwango (ISO) kuashiria ubora wa mafunzo yatolewayo. Kilizinduliwa na benki hiyo mwaka jana kwa lengo la kuongeza ufanisi na uwezo kwa wafanyakazi na tayari kinatoa programu muhimu za kibenki kwa wafanyakazi wa benki hiyo.