Benki ya Exim yatunukiwa cheti cha ubora wa mafunzo
KITUO cha mafunzo cha Benki ya Exim nchini, kimetunukiwa cheti cha kimataifa cha ubora wa viwango (ISO) kuashiria ubora wa mafunzo yatolewayo. Kilizinduliwa na benki hiyo mwaka jana kwa lengo la kuongeza ufanisi na uwezo kwa wafanyakazi na tayari kinatoa programu muhimu za kibenki kwa wafanyakazi wa benki hiyo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima21 Jan
Kituo cha Exim Academy chatunukiwa cheti cha ubora
KITUO cha mafunzo cha Benki ya Exim ya Tanzania, ‘Exim Academy’ kimetunukiwa Cheti cha Kimataifa cha Ubora wa Viwango (ISO 9001:2008) kutokana na mafunzo bora wanayoyatoa. Kituo hicho kilizinduliwa na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5TT9ywPL5m8/XrzZbub2hOI/AAAAAAALqKI/AxhVBGjw4-MVP20Wq7O4Q1_OwGCR84uQwCLcBGAsYHQ/s72-c/1-10-768x576.jpg)
MWAUWASA YATUNUKIWA CHETI CHA USHINDI KWA HUDUMA NZURI
![](https://1.bp.blogspot.com/-5TT9ywPL5m8/XrzZbub2hOI/AAAAAAALqKI/AxhVBGjw4-MVP20Wq7O4Q1_OwGCR84uQwCLcBGAsYHQ/s640/1-10-768x576.jpg)
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa MWAUWASA, Mhandisi Leonard Msenyele (kulia) akipokea Cheti cha Ushindi kutoka kwa Meneja wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) Kanda ya Ziwa, George Mhina.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2-7-1024x768.jpg)
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa MWAUWASA, Mhandisi Leonard Msenyele (kushoto) akimkabidhi Cheti cha Ushindi Meneja Utawala na Rasilimali Watu wa MWAUWASA, Deogratius Magayane mara baada ya hafla.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/3-5-1024x768.jpg)
Cheti cha ushindi kilichokbidhiwa kwa MWAUWASA
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/4-1-1-1024x768.jpg)
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa MWAUWASA, Mhandisi...
9 years ago
StarTV04 Dec
Tanzania yaingia katika historia yatunukiwa cheti cha kumaliza Polio
Tanzania imeingia kwenye historia ya nchi zisizokuwa na ugonjwa wa Polio barani Afrika na kutunukiwa cheti maalumu cha kupambana na ugonjwa huo tangu kuthibitishwa mgonjwa wa mwisho mwaka 1996.
Tanzania imeingia kwenye historia hiyo baada ya Tume ya Afrika ya kudhibiti na kutokomeza Polio kuitangaza Novemba 26, mwaka huu kwenye mkutano huko nchini Madagascar.
Hatua hii inaleta matumaini kwa Serikali na wadau mbalimbali wa afya kwa juhudi kubwa zilizofanyika za kuutokomeza ugonjwa wa Polio...
11 years ago
Tanzania Daima15 Jul
VitaFoam wapata cheti cha ubora
KAMPUNI ya VitaFoam inayotengeneza magodoro, imepokea cheti cha ubora na uthibitisho wa viwango vya kimataifa kutoka Shirika la Viwango vya Kimataifa (ISO) 9001:2008 kinachotambulika kimataifa baada ya kutimiza viwango vya...
10 years ago
VijimamboPPF yapata cheti cha ubora wa kimataifa ISO 9001:2008
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KRgFgDK1DNk/VmFMlrjVo9I/AAAAAAAIKHc/RhR7rFq6QSc/s72-c/tumblr_inline_n66jjnreSd1ri0e29.jpg)
TANZANIA YATUNUKIWA CHETI KWA KUTOKOMEZA UGONJWA WA POLIO
![](http://4.bp.blogspot.com/-KRgFgDK1DNk/VmFMlrjVo9I/AAAAAAAIKHc/RhR7rFq6QSc/s320/tumblr_inline_n66jjnreSd1ri0e29.jpg)
Kutangazwa kulifanyika katika mkutano huo uliofanyika nchini Madagascar, Novemba 26, mwaka huu.
Kauli hiyo imetolewa leo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na...
9 years ago
VijimamboKAMPUNI YA MEGATRADE INVESTMENT LIMITED YAPOKEA CHETI CHA UBORA WA BIDHAA ZAKE KUTOKA TBS
9 years ago
MichuziKIYABO ATUNUKIWA CHA CHETI CHA ELIMU YA JUU KATIKA MASUALA YA BENKI JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
Mtanzania23 May
Serikali kuendelea kutoa mafunzo ya cheti cha sheria
SERIKALI imesema itaendelea kutoa mafunzo ya ngazi ya cheti na stashahada katika Chuo cha Uongozi wa Mahakama Lushoto kwa kuwa bado inawahitaji wataalamu hao.
Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Ummy Mwalimu, wakati akijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Kasulu Mjini, Moses Machali (NCCR-Mageuzi).
Katika swali lake, Machali, alihoji uhalali wa Serikali kupoteza fedha kwa ajili ya kutoa mafunzo ya cheti na stashahada katika chuo hicho wakati haiajiri tena...