Tanzania yaingia katika historia yatunukiwa cheti cha kumaliza Polio
Tanzania imeingia kwenye historia ya nchi zisizokuwa na ugonjwa wa Polio barani Afrika na kutunukiwa cheti maalumu cha kupambana na ugonjwa huo tangu kuthibitishwa mgonjwa wa mwisho mwaka 1996.
Tanzania imeingia kwenye historia hiyo baada ya Tume ya Afrika ya kudhibiti na kutokomeza Polio kuitangaza Novemba 26, mwaka huu kwenye mkutano huko nchini Madagascar.
Hatua hii inaleta matumaini kwa Serikali na wadau mbalimbali wa afya kwa juhudi kubwa zilizofanyika za kuutokomeza ugonjwa wa Polio...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KRgFgDK1DNk/VmFMlrjVo9I/AAAAAAAIKHc/RhR7rFq6QSc/s72-c/tumblr_inline_n66jjnreSd1ri0e29.jpg)
TANZANIA YATUNUKIWA CHETI KWA KUTOKOMEZA UGONJWA WA POLIO
![](http://4.bp.blogspot.com/-KRgFgDK1DNk/VmFMlrjVo9I/AAAAAAAIKHc/RhR7rFq6QSc/s320/tumblr_inline_n66jjnreSd1ri0e29.jpg)
Kutangazwa kulifanyika katika mkutano huo uliofanyika nchini Madagascar, Novemba 26, mwaka huu.
Kauli hiyo imetolewa leo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na...
9 years ago
Mwananchi04 Dec
Tanzania yapewa cheti cha kutokuwa na ugonjwa wa Polio
11 years ago
Habarileo21 Jan
Benki ya Exim yatunukiwa cheti cha ubora wa mafunzo
KITUO cha mafunzo cha Benki ya Exim nchini, kimetunukiwa cheti cha kimataifa cha ubora wa viwango (ISO) kuashiria ubora wa mafunzo yatolewayo. Kilizinduliwa na benki hiyo mwaka jana kwa lengo la kuongeza ufanisi na uwezo kwa wafanyakazi na tayari kinatoa programu muhimu za kibenki kwa wafanyakazi wa benki hiyo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5TT9ywPL5m8/XrzZbub2hOI/AAAAAAALqKI/AxhVBGjw4-MVP20Wq7O4Q1_OwGCR84uQwCLcBGAsYHQ/s72-c/1-10-768x576.jpg)
MWAUWASA YATUNUKIWA CHETI CHA USHINDI KWA HUDUMA NZURI
![](https://1.bp.blogspot.com/-5TT9ywPL5m8/XrzZbub2hOI/AAAAAAALqKI/AxhVBGjw4-MVP20Wq7O4Q1_OwGCR84uQwCLcBGAsYHQ/s640/1-10-768x576.jpg)
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa MWAUWASA, Mhandisi Leonard Msenyele (kulia) akipokea Cheti cha Ushindi kutoka kwa Meneja wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) Kanda ya Ziwa, George Mhina.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2-7-1024x768.jpg)
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa MWAUWASA, Mhandisi Leonard Msenyele (kushoto) akimkabidhi Cheti cha Ushindi Meneja Utawala na Rasilimali Watu wa MWAUWASA, Deogratius Magayane mara baada ya hafla.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/3-5-1024x768.jpg)
Cheti cha ushindi kilichokbidhiwa kwa MWAUWASA
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/4-1-1-1024x768.jpg)
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa MWAUWASA, Mhandisi...
9 years ago
MichuziKIYABO ATUNUKIWA CHA CHETI CHA ELIMU YA JUU KATIKA MASUALA YA BENKI JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
Vijimambo22 Oct
CHETI CHA KUZALIWA CHA MISS TANZANIA KILITOLEWA SIKU 4 KABLA YA KAMBI YA WASHIRIKI WA MISS TANZANIA KUANZA
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Sitti-Mtevu--0ctober22-2014.jpg)
Mkurugenzi wa kampuni ya Lino International Agency, Hashim Lundenga (kulia) akionyesha cheti cha kuzaliwa cha Miss Tanzania 2014, Sitti Mtevu kilichoandikwa amezaliwa mwaka 1991 wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana. Picha: Omar Fungo
Sakata la umri halisi wa mrembo mpya wa Tanzania mwaka huu 'Redd's Miss Tanzania 2014', Sitti Mtemvu bado linaendelea kuchukua sura mpya baada ya mshindi huyo wa taji la taifa kuwasilisha cheti cha kuzaliwa ambacho kimetolewa siku...
9 years ago
BBCSwahili30 Oct
Magufuli apewa cheti cha ushindi Tanzania
9 years ago
Bongo Movies31 Dec
Theresa Shayo: Miss Tanzania Mwafrika wa Kwanza 1967 Katika Historia ya Tanzania
1960 ndipo Mashindano ya urembo nchini yalipoanza na hayatakuwa na
muonekano wa kimataifa kwa sababu yalifanyika kwenye maeneo machache.Kwani kumbukumbu zilizopo zinaonyesha kwamba mrembo wa kwanza kunyakua
taji hilo la Miss Tanzania, si mwingine bali alikuwa Theresa Shayo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-IHwNqr8Y6ko/VoPDvyXmpvI/AAAAAAAAPF0/p72Mg51KTEA/s1600/shayo67.jpg)
Kutokana na maadali na utamaduni ya mtanzania serikali ililazimika
kuyapiga marufuku mashindano hayo ilipofika tu mwaka 1967, kabla ya Rais
wa awamu ya pili Alhaj Ali...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/MAGUFURI-1.jpg)
RAIS MTEULE WA TANZANIA JOHN POMBE MAGUFULI AKABIDHIWA CHETI CHAKE CHA USHINDI