Magufuli apewa cheti cha ushindi Tanzania
Mgombea urais kupitia chama cha CCM John Mafuguli amepewa cheti cha ushindi baada ya kutangazwa kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika Jumapili.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
CCM Blog![](http://2.bp.blogspot.com/-7A2r6-CDav8/VjNTl0xLxtI/AAAAAAAA04c/PQUjjSyOVEw/s72-c/DSC_0413.jpg)
RAIS MTEULE WA TANZANIA DK. JOHN MAGUFULI AKABIDHIWA CHETI CHAKE CHA USHINDI LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-7A2r6-CDav8/VjNTl0xLxtI/AAAAAAAA04c/PQUjjSyOVEw/s640/DSC_0413.jpg)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/MAGUFURI-1.jpg)
RAIS MTEULE WA TANZANIA JOHN POMBE MAGUFULI AKABIDHIWA CHETI CHAKE CHA USHINDI
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Mh. Jaji (Mstaafu) Damian Zefrin Lubuva (kulia) akimkabidhi cheti chake cha ushindi Rais Mteule wa Tanzania, John Pombe Magufuli (katikati) huku mgombea mwenza wake Samia Hassan Suluhu akiwa nyuma yake katika Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar leo asubuhi. Mgombea mwenza Samia Hassan Suluhu akipokea cheti chake cha ushindi toka kwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Damian...
9 years ago
Habarileo31 Oct
Yametimia: Magufuli apewa cheti cha urais
RAIS mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk John Magufuli na Makamu wa Rais mteule, Samia Suluhu Hassan, wamekabidhiwa kwa mujibu wa sheria hati za kuchaguliwa kuwa Rais na Makamu wa Rais.
9 years ago
VijimamboDK. JOHN POMBE MAGUFULI AKABIDHIWA CHETI CHA USHINDI WA URAIS WA TANZANIA AWAMU YA TANO JIJINI DAR ES SALAAM LEO
9 years ago
Mwananchi30 Oct
Dk Magufuli akabidhiwa cheti cha ushindi
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva amemkabidhi cheti cha ushindi wa urais Dk John Magufuli wa Chama cha Mapinduzi (CCM).
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Rx5I5xweGJs/default.jpg)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/CSjOelOW4AE7cUo.jpg?width=600)
RAIS MTEULE JOHN POMBE MAGUFULI AKABIDHIWA CHETI CHA USHINDI
Rais mteule wa Tanzania John Pombe Magufuli akionesha cheti chake cha ushindi alichokabidhiwa. John Pombe Magufuli akiwa na mgombea mwenza wa CCM Samia Hassan Suluhu kabla ya kukabidhiwa cheti cha ushindi.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5TT9ywPL5m8/XrzZbub2hOI/AAAAAAALqKI/AxhVBGjw4-MVP20Wq7O4Q1_OwGCR84uQwCLcBGAsYHQ/s72-c/1-10-768x576.jpg)
MWAUWASA YATUNUKIWA CHETI CHA USHINDI KWA HUDUMA NZURI
![](https://1.bp.blogspot.com/-5TT9ywPL5m8/XrzZbub2hOI/AAAAAAALqKI/AxhVBGjw4-MVP20Wq7O4Q1_OwGCR84uQwCLcBGAsYHQ/s640/1-10-768x576.jpg)
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa MWAUWASA, Mhandisi Leonard Msenyele (kulia) akipokea Cheti cha Ushindi kutoka kwa Meneja wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) Kanda ya Ziwa, George Mhina.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2-7-1024x768.jpg)
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa MWAUWASA, Mhandisi Leonard Msenyele (kushoto) akimkabidhi Cheti cha Ushindi Meneja Utawala na Rasilimali Watu wa MWAUWASA, Deogratius Magayane mara baada ya hafla.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/3-5-1024x768.jpg)
Cheti cha ushindi kilichokbidhiwa kwa MWAUWASA
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/4-1-1-1024x768.jpg)
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa MWAUWASA, Mhandisi...
10 years ago
Vijimambo22 Oct
CHETI CHA KUZALIWA CHA MISS TANZANIA KILITOLEWA SIKU 4 KABLA YA KAMBI YA WASHIRIKI WA MISS TANZANIA KUANZA
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Sitti-Mtevu--0ctober22-2014.jpg)
Mkurugenzi wa kampuni ya Lino International Agency, Hashim Lundenga (kulia) akionyesha cheti cha kuzaliwa cha Miss Tanzania 2014, Sitti Mtevu kilichoandikwa amezaliwa mwaka 1991 wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana. Picha: Omar Fungo
Sakata la umri halisi wa mrembo mpya wa Tanzania mwaka huu 'Redd's Miss Tanzania 2014', Sitti Mtemvu bado linaendelea kuchukua sura mpya baada ya mshindi huyo wa taji la taifa kuwasilisha cheti cha kuzaliwa ambacho kimetolewa siku...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania