MWAUWASA YATUNUKIWA CHETI CHA USHINDI KWA HUDUMA NZURI
![](https://1.bp.blogspot.com/-5TT9ywPL5m8/XrzZbub2hOI/AAAAAAALqKI/AxhVBGjw4-MVP20Wq7O4Q1_OwGCR84uQwCLcBGAsYHQ/s72-c/1-10-768x576.jpg)
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa MWAUWASA, Mhandisi Leonard Msenyele (kulia) akipokea Cheti cha Ushindi kutoka kwa Meneja wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) Kanda ya Ziwa, George Mhina.
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa MWAUWASA, Mhandisi Leonard Msenyele (kushoto) akimkabidhi Cheti cha Ushindi Meneja Utawala na Rasilimali Watu wa MWAUWASA, Deogratius Magayane mara baada ya hafla.
Cheti cha ushindi kilichokbidhiwa kwa MWAUWASA
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa MWAUWASA, Mhandisi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo21 Jan
Benki ya Exim yatunukiwa cheti cha ubora wa mafunzo
KITUO cha mafunzo cha Benki ya Exim nchini, kimetunukiwa cheti cha kimataifa cha ubora wa viwango (ISO) kuashiria ubora wa mafunzo yatolewayo. Kilizinduliwa na benki hiyo mwaka jana kwa lengo la kuongeza ufanisi na uwezo kwa wafanyakazi na tayari kinatoa programu muhimu za kibenki kwa wafanyakazi wa benki hiyo.
9 years ago
StarTV04 Dec
Tanzania yaingia katika historia yatunukiwa cheti cha kumaliza Polio
Tanzania imeingia kwenye historia ya nchi zisizokuwa na ugonjwa wa Polio barani Afrika na kutunukiwa cheti maalumu cha kupambana na ugonjwa huo tangu kuthibitishwa mgonjwa wa mwisho mwaka 1996.
Tanzania imeingia kwenye historia hiyo baada ya Tume ya Afrika ya kudhibiti na kutokomeza Polio kuitangaza Novemba 26, mwaka huu kwenye mkutano huko nchini Madagascar.
Hatua hii inaleta matumaini kwa Serikali na wadau mbalimbali wa afya kwa juhudi kubwa zilizofanyika za kuutokomeza ugonjwa wa Polio...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KRgFgDK1DNk/VmFMlrjVo9I/AAAAAAAIKHc/RhR7rFq6QSc/s72-c/tumblr_inline_n66jjnreSd1ri0e29.jpg)
TANZANIA YATUNUKIWA CHETI KWA KUTOKOMEZA UGONJWA WA POLIO
![](http://4.bp.blogspot.com/-KRgFgDK1DNk/VmFMlrjVo9I/AAAAAAAIKHc/RhR7rFq6QSc/s320/tumblr_inline_n66jjnreSd1ri0e29.jpg)
Kutangazwa kulifanyika katika mkutano huo uliofanyika nchini Madagascar, Novemba 26, mwaka huu.
Kauli hiyo imetolewa leo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na...
9 years ago
Mwananchi30 Oct
Dk Magufuli akabidhiwa cheti cha ushindi
9 years ago
BBCSwahili30 Oct
Magufuli apewa cheti cha ushindi Tanzania
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Rx5I5xweGJs/default.jpg)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/CSjOelOW4AE7cUo.jpg?width=600)
RAIS MTEULE JOHN POMBE MAGUFULI AKABIDHIWA CHETI CHA USHINDI
9 years ago
CCM Blog![](http://2.bp.blogspot.com/-7A2r6-CDav8/VjNTl0xLxtI/AAAAAAAA04c/PQUjjSyOVEw/s72-c/DSC_0413.jpg)
RAIS MTEULE WA TANZANIA DK. JOHN MAGUFULI AKABIDHIWA CHETI CHAKE CHA USHINDI LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-7A2r6-CDav8/VjNTl0xLxtI/AAAAAAAA04c/PQUjjSyOVEw/s640/DSC_0413.jpg)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/MAGUFURI-1.jpg)
RAIS MTEULE WA TANZANIA JOHN POMBE MAGUFULI AKABIDHIWA CHETI CHAKE CHA USHINDI