Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWAUWASA YATUNUKIWA CHETI CHA USHINDI KWA HUDUMA NZURI


Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa MWAUWASA, Mhandisi Leonard Msenyele (kulia) akipokea Cheti cha Ushindi kutoka kwa Meneja wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) Kanda ya Ziwa, George Mhina.
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa MWAUWASA, Mhandisi Leonard Msenyele (kushoto) akimkabidhi Cheti cha Ushindi Meneja Utawala na Rasilimali Watu wa MWAUWASA, Deogratius Magayane mara baada ya hafla.
Cheti cha ushindi kilichokbidhiwa kwa MWAUWASA
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa MWAUWASA, Mhandisi...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Benki ya Exim yatunukiwa cheti cha ubora wa mafunzo

KITUO cha mafunzo cha Benki ya Exim nchini, kimetunukiwa cheti cha kimataifa cha ubora wa viwango (ISO) kuashiria ubora wa mafunzo yatolewayo. Kilizinduliwa na benki hiyo mwaka jana kwa lengo la kuongeza ufanisi na uwezo kwa wafanyakazi na tayari kinatoa programu muhimu za kibenki kwa wafanyakazi wa benki hiyo.

 

9 years ago

StarTV

Tanzania yaingia katika historia yatunukiwa cheti cha kumaliza Polio

Tanzania imeingia kwenye historia ya nchi zisizokuwa na ugonjwa wa Polio barani Afrika na kutunukiwa cheti maalumu cha kupambana na ugonjwa huo tangu kuthibitishwa mgonjwa wa mwisho mwaka 1996.

Tanzania imeingia kwenye historia hiyo baada ya Tume ya Afrika ya kudhibiti na kutokomeza Polio kuitangaza Novemba 26, mwaka huu kwenye mkutano huko nchini Madagascar.

Hatua hii inaleta matumaini kwa Serikali  na wadau mbalimbali wa afya kwa juhudi kubwa zilizofanyika za kuutokomeza ugonjwa wa Polio...

 

9 years ago

Michuzi

TANZANIA YATUNUKIWA CHETI KWA KUTOKOMEZA UGONJWA WA POLIO

(Pichani ni Watoto walioathirika na Polio. Picha kwa hisani ya shirika la WHO).Na Magreth Kinabo.TANZANIA imetangazwa rasmi kuwa ni mojawapo ya nchi isiyokuwa na ugonjwa wa polio katika nchi za Afrika katika mkutano wa Tume ya Afrika ya kuthibitishwa kutokomezwa kwa polio(Afrika Regional Certification Commission for Polio Eradication).
Kutangazwa kulifanyika katika mkutano huo uliofanyika nchini Madagascar, Novemba 26, mwaka huu.
Kauli hiyo imetolewa leo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na...

 

9 years ago

Mwananchi

Dk Magufuli akabidhiwa cheti cha ushindi

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva amemkabidhi cheti cha ushindi wa urais Dk John Magufuli wa Chama cha Mapinduzi (CCM).

 

9 years ago

BBCSwahili

Magufuli apewa cheti cha ushindi Tanzania

Mgombea urais kupitia chama cha CCM John Mafuguli amepewa cheti cha ushindi baada ya kutangazwa kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika Jumapili.

 

9 years ago

GPL

RAIS MTEULE JOHN POMBE MAGUFULI AKABIDHIWA CHETI CHA USHINDI

Rais mteule wa Tanzania John Pombe Magufuli akionesha cheti chake cha ushindi alichokabidhiwa. John Pombe Magufuli akiwa na mgombea mwenza wa CCM Samia Hassan Suluhu kabla ya kukabidhiwa cheti cha ushindi.

 

9 years ago

CCM Blog

RAIS MTEULE WA TANZANIA DK. JOHN MAGUFULI AKABIDHIWA CHETI CHAKE CHA USHINDI LEO

 Rais Mteule wa awamu ya tano, Dk. John Magufuli akiyonyesha hati ya ushindi wa Urais, baada ya kukabidhiwa leo na Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damian Lubuva, katika hafla ya kukabidhi hati hiyo iliyofanyika leo katika Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam. Dk. Magufuli amekabidhiwa cheti hicho kufuatia kuibuka mshindi wa kiti cha Urais katika matokeo yaliyotangazwa na NEC, jana, ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 25, mwaka huu. Kushoto ni Makamu wa...

 

9 years ago

GPL

RAIS MTEULE WA TANZANIA JOHN POMBE MAGUFULI AKABIDHIWA CHETI CHAKE CHA USHINDI

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Mh. Jaji (Mstaafu) Damian Zefrin Lubuva (kulia) akimkabidhi cheti chake cha ushindi Rais Mteule wa Tanzania, John Pombe Magufuli (katikati) huku mgombea mwenza wake Samia Hassan Suluhu akiwa nyuma yake katika Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar leo asubuhi. Mgombea mwenza Samia Hassan Suluhu akipokea cheti chake cha ushindi toka kwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Damian...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani