Tanzania yapewa cheti cha kutokuwa na ugonjwa wa Polio
Tanzania imetangazwa  rasmi kuwa ni mojwapo ya nchi isiyokuwa na ugonjwa wa polio katika nchi za Afrika katika mkutano wa Tume ya Afrika ya kuthibitishwa kutokomezwa kwa polio(Afrika Regional Certification Commission for Polio Eradication).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KRgFgDK1DNk/VmFMlrjVo9I/AAAAAAAIKHc/RhR7rFq6QSc/s72-c/tumblr_inline_n66jjnreSd1ri0e29.jpg)
TANZANIA YATUNUKIWA CHETI KWA KUTOKOMEZA UGONJWA WA POLIO
![](http://4.bp.blogspot.com/-KRgFgDK1DNk/VmFMlrjVo9I/AAAAAAAIKHc/RhR7rFq6QSc/s320/tumblr_inline_n66jjnreSd1ri0e29.jpg)
Kutangazwa kulifanyika katika mkutano huo uliofanyika nchini Madagascar, Novemba 26, mwaka huu.
Kauli hiyo imetolewa leo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na...
9 years ago
StarTV04 Dec
Tanzania yaingia katika historia yatunukiwa cheti cha kumaliza Polio
Tanzania imeingia kwenye historia ya nchi zisizokuwa na ugonjwa wa Polio barani Afrika na kutunukiwa cheti maalumu cha kupambana na ugonjwa huo tangu kuthibitishwa mgonjwa wa mwisho mwaka 1996.
Tanzania imeingia kwenye historia hiyo baada ya Tume ya Afrika ya kudhibiti na kutokomeza Polio kuitangaza Novemba 26, mwaka huu kwenye mkutano huko nchini Madagascar.
Hatua hii inaleta matumaini kwa Serikali na wadau mbalimbali wa afya kwa juhudi kubwa zilizofanyika za kuutokomeza ugonjwa wa Polio...
10 years ago
BBCSwahili30 Sep
Ugonjwa wa Polio waibuka Pakistan
10 years ago
Vijimambo22 Oct
CHETI CHA KUZALIWA CHA MISS TANZANIA KILITOLEWA SIKU 4 KABLA YA KAMBI YA WASHIRIKI WA MISS TANZANIA KUANZA
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Sitti-Mtevu--0ctober22-2014.jpg)
Mkurugenzi wa kampuni ya Lino International Agency, Hashim Lundenga (kulia) akionyesha cheti cha kuzaliwa cha Miss Tanzania 2014, Sitti Mtevu kilichoandikwa amezaliwa mwaka 1991 wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana. Picha: Omar Fungo
Sakata la umri halisi wa mrembo mpya wa Tanzania mwaka huu 'Redd's Miss Tanzania 2014', Sitti Mtemvu bado linaendelea kuchukua sura mpya baada ya mshindi huyo wa taji la taifa kuwasilisha cheti cha kuzaliwa ambacho kimetolewa siku...
9 years ago
BBCSwahili30 Oct
Magufuli apewa cheti cha ushindi Tanzania
9 years ago
CCM Blog![](http://2.bp.blogspot.com/-7A2r6-CDav8/VjNTl0xLxtI/AAAAAAAA04c/PQUjjSyOVEw/s72-c/DSC_0413.jpg)
RAIS MTEULE WA TANZANIA DK. JOHN MAGUFULI AKABIDHIWA CHETI CHAKE CHA USHINDI LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-7A2r6-CDav8/VjNTl0xLxtI/AAAAAAAA04c/PQUjjSyOVEw/s640/DSC_0413.jpg)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/MAGUFURI-1.jpg)
RAIS MTEULE WA TANZANIA JOHN POMBE MAGUFULI AKABIDHIWA CHETI CHAKE CHA USHINDI
5 years ago
BBCSwahili19 Feb
Polio: 'Sikuiamini chanjo mpaka mtoto wangu alipopata polio'
9 years ago
VijimamboDK. JOHN POMBE MAGUFULI AKABIDHIWA CHETI CHA USHINDI WA URAIS WA TANZANIA AWAMU YA TANO JIJINI DAR ES SALAAM LEO