Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VitaFoam wapata cheti cha ubora

KAMPUNI ya VitaFoam inayotengeneza magodoro, imepokea cheti cha ubora na uthibitisho wa viwango vya kimataifa kutoka Shirika la Viwango vya Kimataifa (ISO) 9001:2008 kinachotambulika kimataifa baada ya kutimiza viwango vya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kituo cha Exim Academy chatunukiwa cheti cha ubora

KITUO cha mafunzo cha Benki ya Exim ya Tanzania, ‘Exim Academy’ kimetunukiwa Cheti cha Kimataifa cha Ubora wa Viwango (ISO 9001:2008) kutokana na mafunzo bora wanayoyatoa. Kituo hicho kilizinduliwa na...

 

11 years ago

Habarileo

Benki ya Exim yatunukiwa cheti cha ubora wa mafunzo

KITUO cha mafunzo cha Benki ya Exim nchini, kimetunukiwa cheti cha kimataifa cha ubora wa viwango (ISO) kuashiria ubora wa mafunzo yatolewayo. Kilizinduliwa na benki hiyo mwaka jana kwa lengo la kuongeza ufanisi na uwezo kwa wafanyakazi na tayari kinatoa programu muhimu za kibenki kwa wafanyakazi wa benki hiyo.

 

10 years ago

Vijimambo

PPF yapata cheti cha ubora wa kimataifa ISO 9001:2008

 Mkurugenzi Mkuu wa mfuko wa Pensheni wa PPF, Ndg William Erio (katikati) akiwa ameshika cheti cha kuthibititshwa kwa Ubora wa huduma zao na Shirika la Viwango la Kimataifa la ISO na kupatiwa cheti namba ISO 9001:2008. Kushoto ni Mkurugenzi wa Rasilimali watu wa PPF, Ndg Julius Kam Mganga na kulia ni Mkurugenzi wa Majanga wa PPF, Uphoo Swai.Mkurugenzi mkuu wa mfuko wa pensheni wa PPF, Ndg William Erio (katikati) akifafanua juu ya hatua zilizofuatwa na Shirika la Viwango vya Kimataifa na...

 

10 years ago

Vijimambo

KAMPUNI YA MEGATRADE INVESTMENT LIMITED YAPOKEA CHETI CHA UBORA WA BIDHAA ZAKE KUTOKA TBS


Meneja wa Kanda ya Pwani wa Kampuni ya Megatrade investment limited Godfrey Mkunde kushoto akipokea cheti cha ubora wa bidhaa za kampuni hiyo kutoka kwa mkurugenzi wa kampuni ya viwango nchini TBS Bw. Joseph Masikitiko wakati wa utoaji wa vyeti hivyo uliofanyika katika ofisi za TBS Dar es salaamMeneja wa Kanda ya Pwani wa Kampuni ya Megatrade investment limited Godfrey Mkunde kulia akiwa na Msimamizi mkuu wa mauzo wa Kampuni hiyo Albert Kingu.Meneja wa Kanda ya Pwani wa Kampuni ya Megatrade...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Triple ‘s’ wapata leseni ya ubora

KAMPUNI ya Triple ‘s’ Investment imepewa leseni ya utengenezaji bora wa pombe aina ya Signal True Vodka baada ya Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kuridhika na ubora wa bidhaa hiyo....

 

10 years ago

Dewji Blog

Insignia Limited yapata cheti cha mazingira cha ISO 14000

SAM_1736

Kampuni inayoongoza kwa uzalishaji wa rangi nchini Tanzania ya Insignia Limited, inajivunia kutangaza kupata cheti cha ISO 14000, cheti cha kiwango cha kimataifa cha uwajibikaji katika usimamizi na uhifadhi wa mazingira. Viongozi wa kampuni walitangaza mafanikio hayo mjini Dar es Salaam. Cheti hicho cha ISO kilitolewa kuthibitisha viwango vya kampuni kufwatia dhamira yake katika shughuli za utunzaji wa mazingira

Mwaka 1996, Serikali ya Tanzania ilizindua sera endelevu ya maendeleo ya...

 

10 years ago

Vijimambo

ATUPWA JELA KWA KUTOSAINI CHETI CHA NDOA CHA JINSIA MOJA

Image copyrightGettyImage captionKim Davies aliyekataa kusaini cheti cha ndoa Kentucky
Jaji mmoja nchini Marekani, ameagiza afisa mmoja wa serikali katika jimbo la Kentucky, kufungwa jela, baada ya kukataa kutekeleza agizo la mahakama la kutoa cheti rasmi cha ndoa, kwa wapenzi wawili wa jinsia moja.

Kim Davies amesema imani yake kama Mkristo, haimruhusu kusaini cheti kama hicho. Ndoa ya jinsia moja ilihalalishwa nchini Marekani Juni mwaka huu.

Umauzi huo wa Davis, wa kutosaini cheti hicho...

 

10 years ago

Michuzi

KIYABO ATUNUKIWA CHA CHETI CHA ELIMU YA JUU KATIKA MASUALA YA BENKI JIJINI DAR ES SALAAM

 Naibu Gavana wa Benki Kuu Nchini (BOT), Natu Mwamba akizungumza katika mahafali ya 17 ya Tanzania Institute of Bankers yalifanyika jana katika viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam. Mhitimu wa Cheti ya Cha Juu katika Masuala ya Benki,Yahya Kiyabo akitunukiwa cheti na   Naibu Gavana wa Benki Kuu Nchini (BOT), Natu Mwamba  wakati mahafali ya 17 ya Tanzania Institute of Bankers yalifanyika jana katika viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam. Naibu Gavana wa Benki Kuu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani