Insignia Limited yapata cheti cha mazingira cha ISO 14000
Kampuni inayoongoza kwa uzalishaji wa rangi nchini Tanzania ya Insignia Limited, inajivunia kutangaza kupata cheti cha ISO 14000, cheti cha kiwango cha kimataifa cha uwajibikaji katika usimamizi na uhifadhi wa mazingira. Viongozi wa kampuni walitangaza mafanikio hayo mjini Dar es Salaam. Cheti hicho cha ISO kilitolewa kuthibitisha viwango vya kampuni kufwatia dhamira yake katika shughuli za utunzaji wa mazingira
Mwaka 1996, Serikali ya Tanzania ilizindua sera endelevu ya maendeleo ya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboPPF yapata cheti cha ubora wa kimataifa ISO 9001:2008
11 years ago
Tanzania Daima01 Jul
TCRA yapata cheti cha kimataifa
MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetakiwa kuongeza juhudi katika kuboresha sekta hiyo, baada ya kukabidhiwa cheti cha kiwango cha kimataifa na Shirika la Viwango Duniani. Cheti hicho kilikabidhiwa jijini Dar...
10 years ago
Tanzania Daima23 Oct
Precision Air yapata cheti cha usalama
SHIRIKA la Precision Air Services, limefanikiwa kupata upya cheti cha Usalama (IOSA), kitolewacho na shirikisho la kibiashara la mashirika ya ndege duniani (IATA). Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari jijini...
9 years ago
VijimamboKAMPUNI YA MEGATRADE INVESTMENT LIMITED YAPOKEA CHETI CHA UBORA WA BIDHAA ZAKE KUTOKA TBS
11 years ago
Tanzania Daima21 Jan
Kituo cha Exim Academy chatunukiwa cheti cha ubora
KITUO cha mafunzo cha Benki ya Exim ya Tanzania, ‘Exim Academy’ kimetunukiwa Cheti cha Kimataifa cha Ubora wa Viwango (ISO 9001:2008) kutokana na mafunzo bora wanayoyatoa. Kituo hicho kilizinduliwa na...
9 years ago
Vijimambo04 Sep
ATUPWA JELA KWA KUTOSAINI CHETI CHA NDOA CHA JINSIA MOJA
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/09/03/150903182206_kim_davis_estados_unidos_matimonio_gay_640x360_getty_nocredit.jpg)
Jaji mmoja nchini Marekani, ameagiza afisa mmoja wa serikali katika jimbo la Kentucky, kufungwa jela, baada ya kukataa kutekeleza agizo la mahakama la kutoa cheti rasmi cha ndoa, kwa wapenzi wawili wa jinsia moja.
Kim Davies amesema imani yake kama Mkristo, haimruhusu kusaini cheti kama hicho. Ndoa ya jinsia moja ilihalalishwa nchini Marekani Juni mwaka huu.
Umauzi huo wa Davis, wa kutosaini cheti hicho...
10 years ago
Dewji Blog18 Aug
Pinda afungua kiwanda cha Nondo cha Kamal Steel Limited
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikata utepe kuzindua upanzi wa kiwanda cha Kamal Steel LTD kilichopo Chng’ombe jijini Dar es salaam August 17, 2014. Kulia kwake ni Mwenyekiti wa kamal Steel Limited, Gagan Kamal . (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akipata maelezo kutoka kwa mtaalamu wa viwango wa kiwanda cha nondo cha Kamal Steel Limited cha Chang’ombe jijini Dar es salaam, Bwana Jijo kuhusu upimaji ubora wa nondo unaofanywa kitaalamu katika kiwanda...
9 years ago
MichuziKIYABO ATUNUKIWA CHA CHETI CHA ELIMU YA JUU KATIKA MASUALA YA BENKI JIJINI DAR ES SALAAM