Pinda afungua kiwanda cha Nondo cha Kamal Steel Limited
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikata utepe kuzindua upanzi wa kiwanda cha Kamal Steel LTD kilichopo Chng’ombe jijini Dar es salaam August 17, 2014. Kulia kwake ni Mwenyekiti wa kamal Steel Limited, Gagan Kamal . (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akipata maelezo kutoka kwa mtaalamu wa viwango wa kiwanda cha nondo cha Kamal Steel Limited cha Chang’ombe jijini Dar es salaam, Bwana Jijo kuhusu upimaji ubora wa nondo unaofanywa kitaalamu katika kiwanda...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-rGp9IhbhxsU/VBTZPw1Yl3I/AAAAAAAGjeA/UMcrG5vMDUw/s72-c/unnamed%2B(41).jpg)
PINDA AONGOZA KIKAO CHA KUTATUA MGOGORO WA KIWANDA CHA CHAI CHA LUPONDE
![](http://3.bp.blogspot.com/-rGp9IhbhxsU/VBTZPw1Yl3I/AAAAAAAGjeA/UMcrG5vMDUw/s1600/unnamed%2B(41).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-IBnh3HMz2iQ/VBTZQPyOqFI/AAAAAAAGjeE/oSAa-EOK-_o/s1600/unnamed%2B(42).jpg)
10 years ago
Habarileo19 Feb
Mabosi kiwanda cha nondo mbaroni Dar
MAMLAKA ya Maji safi na Maji taka Dar es Salaam (Dawasco) imekamata mifuniko ya majitaka katika kiwanda cha nondo cha Iron & Steel cha jijini Dar es Salaam ikiwa ni hatua mojawapo za kuzuia uhujumu wa miundombinu ya majisafi na wizi wa maji.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vJ6OK3r_us8/VEzYZrc3W5I/AAAAAAACtjY/r8YlG-gj2r8/s72-c/PG4A68321.jpg)
WAZIRI MKUU PINDA ATEMBELEA KIWANDA CHA TREKTA POLAND
![](http://2.bp.blogspot.com/-vJ6OK3r_us8/VEzYZrc3W5I/AAAAAAACtjY/r8YlG-gj2r8/s1600/PG4A68321.jpg)
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda atatuma wataalamu wa sekta ya kilimo ili waje kufuatilia suala la mahitaji ya trekta ili kuziba pengo la mahitaji yake nchini Tanzania.
Alisema lengo la Serikali la kuanzisha sera ya Kilimo Kwanza lilikuwa ni kuwasaidia wakulima kupata ruzuku ya pembejeo, mbegu bora, na dawa za mifugo ili waweze kuongeza ushalishaji.
“Kutokana na mkopo wa Serikali ya India, tulipata matrekta 1,846 ambayo hayakuchukua muda kuisha. Sasa hivi tunatafuta wabia wengine wa kutupatia...
11 years ago
Michuzikiwanda cha nguo cha Mazava cha Morogoro chaadhimisha miaka mitano ya kiutendaji
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-CVU5FipKmeU/U8zMG0Xj2FI/AAAAAAAF4SU/LqQUJ-DYOcM/s72-c/unnamed+(18).jpg)
JK afungua kituo cha afya na kukagua kilimo cha Kahawa Mbinga, afungua soko la kimataifa mkenda
![](http://3.bp.blogspot.com/-CVU5FipKmeU/U8zMG0Xj2FI/AAAAAAAF4SU/LqQUJ-DYOcM/s1600/unnamed+(18).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-tl73CbvjXCY/U8zIBzTX1II/AAAAAAAF4Qg/w1OhpjJGz_s/s1600/D92A6133.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-curVweAhA70/VozSh8xvBVI/AAAAAAADEiQ/jUm-M1P_Mak/s72-c/maj22.jpg)
WAZIRI MKUU ATEMBELEA KIWANDA CHA TUMBAKU MKOANI RUVUMA NA KUWASIMAMISHA KAZI VIONGOZI WA CHAMA CHA USHIRIKA CHA SONAMCU
![](http://2.bp.blogspot.com/-curVweAhA70/VozSh8xvBVI/AAAAAAADEiQ/jUm-M1P_Mak/s400/maj22.jpg)
Akizungumza jana jioni(Jumanne, Januari 5, 2016), katika ukumbi wa mikutano wa Ikulu Ndogo ya Songea, wakati alipokutana na wakulima wa zao la tumbaku wa Wilaya ya Namtumbo, Wananchama wa Vyama Vya Ushirika vya Mkoa wa Ruvuma, viongozi wa Mkoa pamoja na Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Edwin Ngonyani ambaye ni...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-0PoutQqKklw/VU26Knl0LkI/AAAAAAAHWW8/WXgcpKOUpwU/s72-c/unnamed%2B(36).jpg)
MH. PINDA ATEMBELEA KIWANDA CHA DAWA ZA KUUA WADUDU, KIBAHA MKOANI PWANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-0PoutQqKklw/VU26Knl0LkI/AAAAAAAHWW8/WXgcpKOUpwU/s640/unnamed%2B(36).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-UECi7I9347I/VU26LBUaejI/AAAAAAAHWXA/uDjN2AdFuhs/s640/unnamed%2B(37).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vC9Ij9NqCRU/VU26LAq7R7I/AAAAAAAHWXE/4XHeHrIJ_VU/s640/unnamed%2B(38).jpg)
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda...
10 years ago
Dewji Blog21 Aug
Pinda afungua mkutano wa chama cha wafanyakazi wa vyuo
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimaiana na Mwenyekiti wa Wanawake wa Chama cha Wafanyakazi wa Vyuo vya Elimu ya Juu (THTU) Leah Ntara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro kwa ajili ya kufungua mkutano wa Baraza Kuu la Pili la THTU kwenye Hoteli ya Naura Spring mjini Arusha August 21, 2014.Katikati ni Mwenyekiti wa THTU, Yusufu Singo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifungua mkutano Mkuu wa Pili wa Chama cha Wafanyakazi wa...
10 years ago
Michuzi13 Oct
PINDA AFUNGUA KITUO CHA POLISI WILAYA YA UYUI
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/91etWLOcDV20llhI_Lq8qK-Tfiswr16xfCCEDnUgld4vRitecodVl-DzixbqJyhuVCm2_rFD7NEai16HHNfmVjp1x4FIWGw1FCJMfo-wZAuqo3mXnfZGu7G51JE=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/10/PG4A5299.jpg)
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/CXeF17U035CloUv7aQ9GTvb49iRtnENwZE1bMLK275HqdSNzEzgqG8_-Bz4EfjJzAtbUwLGqEzA0JMITcXMzIjJpZYH65KhhdT2hUan0i_xz7VE0qnu9drquSus=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/10/PG4A5302.jpg)