JK afungua kituo cha afya na kukagua kilimo cha Kahawa Mbinga, afungua soko la kimataifa mkenda
![](http://3.bp.blogspot.com/-CVU5FipKmeU/U8zMG0Xj2FI/AAAAAAAF4SU/LqQUJ-DYOcM/s72-c/unnamed+(18).jpg)
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kufungua rasmi kituo cha afya katika Gereza la Kitai wilayani Mbinga jana.Kushoto ni Mkuu wa Gereza hilo Alexander Richard Nyefwe.Kituo hicho kitatoa huduma kwa askari magereza,wafungwa na vijiji jirani
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi miche bora ya kahawa mkulima mdogo Bi Dorothea Komba wakati alipolitembelea na kukagua shamba la kahawa AVIV Farm linalomilikiwa na kampuni ya Olam katika kijiji cha Lipokela wilayani Mbinga, mkoani Ruvuma...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-_7R4EbpnyQg/Usfbk-sCRhI/AAAAAAAFEsU/ux5dQuqAeDM/s640/TA1A6825.jpg)
DKT SHEIN AFUNGUA KITUO CHA AFYA BUMBWINI KIONGWE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t8oueEU5ZFLZXtv59aCjUnJwIm9X2PIcx5ADg2gTltVFAcNAnwxFQ7MrYr4iY7oLCTDXVLpurw0TpR0s7O-4jR-3f8T-Vmeu/a1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AFUNGUA KITUO CHA AFYA KIBAONI, MOROGORO VIJIJINI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Uj35KqNog4g/U_cXBfrxMdI/AAAAAAACn3M/QWhmo7IwRss/s72-c/a1.jpg)
RAIS KIKWETE AWEKA AFUNGUA KITUO CHA AFYA KIBAONI, MOROGORO VIJIJINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-Uj35KqNog4g/U_cXBfrxMdI/AAAAAAACn3M/QWhmo7IwRss/s1600/a1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-T13nOiagkxo/U_cW_g3-kwI/AAAAAAACn3I/xYJR1G8pI10/s1600/a2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9ruSHgGaffE/U_cXC5TdpgI/AAAAAAACn3Y/1Frw8lTcOYI/s1600/a3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-dZe1N5b3K5k/U_cXF-OcuCI/AAAAAAACn3g/VO-Y7VR7sPc/s1600/a4.jpg)
10 years ago
MichuziRais Kikwete afungua Kituo Cha Taifa Cha Kumbukumbu Dodoma
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Buk_im5pk7Y/U_RxFZyQjiI/AAAAAAAAJ1Y/Ac51o2S7qfs/s72-c/4.jpg)
MAMA DORCAS MEMBE AFUNGUA KITUO CHA KUSAMBAZIA MATREKTA WAKULIMA CHA KARIATI MATRACTOR KILICHOPO KINONDONI JIJINI DAR
Kauli hiyo ameitoa leo jijini Dar es Salaa wakati akizindua kituo hicho ambapo alisema ingawa bei zao zipo chini wapunguze tena ili hata mkulima wa chini aweze kumudu kununua au kukopa trekta hiyo imuwezeshe kuondokana na umasikini.
Akizungumza katika uzinduzi huo alisema...
11 years ago
Dewji Blog31 May
Dkt. Bilal afungua kituo cha tiba, uchunguzi na mafunzo ya magonjwa na saratani za matumbo na Ini cha hospitali ya Taifa Muhimbili, Jijini Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisoma hotuba yake wakati wa hafla ya ufunguzi wa Jengo la Kituo cha Tiba, Uchunguzi na Mafunzo ya Magonjwa na Saratani za Matumbo na Ini cha Hospitali ya Taifa Muhimbili wakati wa Hafla fupi ya ufunguzi huo iliyofanyika Hospitalini hapo jijini Dar es Salaam, jana Mei 30, 2014. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, (katikati) Mwakilishi wa Taasisi ya...
9 years ago
Dewji Blog19 Sep
Miaka 17 ya Kituo cha Mazoezi cha Home Gym: kutembelea wodi ya wazazi Kituo cha Afya Sinza Palestina leo Sept 19
Kituo cha Mazoezi cha Home Gym…
Na Andrew Chale, modewjiblog
[Dar es Salaam-Tanzania]- Kuelekea miaka 17 ya tangu kuanzishwa kwa kituo cha Mazoezi cha Home Gym chenye maskani yake Mwenge jijini Dar es Salaam-Tanzania, uongozi wa kituo hicho unatarajia kufanya matukio makuu muhimu ikiwemo kutembelea wodi ya akina mama katika kituo cha Afrya cha Sinza Palestina Jijini.
Akizungumza na modewjiblog, Mkurugenzi wa kituo hicho, Andrew Mangomango amebainisha kuwa, kuelekea shughuli za miaka 17 za...
10 years ago
Michuzi13 Oct
PINDA AFUNGUA KITUO CHA POLISI WILAYA YA UYUI
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/91etWLOcDV20llhI_Lq8qK-Tfiswr16xfCCEDnUgld4vRitecodVl-DzixbqJyhuVCm2_rFD7NEai16HHNfmVjp1x4FIWGw1FCJMfo-wZAuqo3mXnfZGu7G51JE=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/10/PG4A5299.jpg)
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/CXeF17U035CloUv7aQ9GTvb49iRtnENwZE1bMLK275HqdSNzEzgqG8_-Bz4EfjJzAtbUwLGqEzA0JMITcXMzIjJpZYH65KhhdT2hUan0i_xz7VE0qnu9drquSus=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/10/PG4A5302.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-R6h9pjfqn0Q/VVoJceBX4vI/AAAAAAAHYFc/76yHKpFb0YA/s72-c/1.jpg)
MKUU WA MKOA WA NJOMBE AFUNGUA KIKAO KAZI CHA BIASHARA YA KILIMO
![](http://3.bp.blogspot.com/-R6h9pjfqn0Q/VVoJceBX4vI/AAAAAAAHYFc/76yHKpFb0YA/s640/1.jpg)