Rais Kikwete afungua Kituo Cha Taifa Cha Kumbukumbu Dodoma
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akitoa hotuba yake wakati wa ufunguzi wa Kituo cha Taifa Kumbukumbu huko kisasa mjini Dodoma leo.Wapili kushoto ni Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue, watatu kushoto ni Mwenyekiti wa BungeMh. Zungu na kulia ni Waziri wan chi Ofisi ya Rais Utawala BoraMh.George Mkuchika.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akifunua kitambaa katika jiwe la msingi kufungua rasmi Kituo cha Taifa Cha Kumbukumbu kilichopo Kisasa mjini Dodoma leo.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLKATIBU MKUU KIONGOZI BALOZI OMBENI SEFUE ATEMBELEA KITUO CHA TAIFA CHA UTUNZAJI KUMBUKUMBU (NRC) DODOMA
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-PzH99f7sVJ0/VieGeTn9sXI/AAAAAAAIBgk/T4wYTeKyAlM/s72-c/2.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZINDUA MKONGO WA TAIFA WA MAWASILIANO, KATIKA KITUO CHA KUTUNZIA KUMBUKUMBU CHA TAIFA (NATIONAL INTERNET DATA CENTRE) KIJITOMYAMA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-PzH99f7sVJ0/VieGeTn9sXI/AAAAAAAIBgk/T4wYTeKyAlM/s640/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Q3BixzuiMmA/VieGXwFBeDI/AAAAAAAIBfM/u20hDFLIxoM/s640/03.jpg)
9 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AFUNGUA KITUO CHA MICHEZO KIDONGO CHEKUNDU
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Uj35KqNog4g/U_cXBfrxMdI/AAAAAAACn3M/QWhmo7IwRss/s72-c/a1.jpg)
RAIS KIKWETE AWEKA AFUNGUA KITUO CHA AFYA KIBAONI, MOROGORO VIJIJINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-Uj35KqNog4g/U_cXBfrxMdI/AAAAAAACn3M/QWhmo7IwRss/s1600/a1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-T13nOiagkxo/U_cW_g3-kwI/AAAAAAACn3I/xYJR1G8pI10/s1600/a2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9ruSHgGaffE/U_cXC5TdpgI/AAAAAAACn3Y/1Frw8lTcOYI/s1600/a3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-dZe1N5b3K5k/U_cXF-OcuCI/AAAAAAACn3g/VO-Y7VR7sPc/s1600/a4.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t8oueEU5ZFLZXtv59aCjUnJwIm9X2PIcx5ADg2gTltVFAcNAnwxFQ7MrYr4iY7oLCTDXVLpurw0TpR0s7O-4jR-3f8T-Vmeu/a1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AFUNGUA KITUO CHA AFYA KIBAONI, MOROGORO VIJIJINI
9 years ago
Dewji Blog20 Oct
Rais Kikwete afungua kituo cha Michezo Kidogo Chekundu jijini Dar es Salaam
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akitoa hotuba yake wakati wa Ufunguzi wa Kituo cha michezo cha Jakaya M.Kikwete Youth park huko Kidongo Chekundu jijini Dar es Salaam.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa amembeba mtoto wakati wa Sherehe za ufunguzi wa kituo cha michezo cha Jakaya M.Kikwete Youth park huko kidongo Chekundu jijini Dar es Salaam.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kuzindua rasmi kituo cha michezo cha Jakaya M.Kikwete Youth park huko Kidongo Chekundu jijini Dar...
10 years ago
Dewji Blog09 Sep
Rais Kikwete akutana na wajumbe wa Kituo cha Demokrasia Tanzania mjini Dodoma
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Wajumbe wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) wakati alipokutana nao kwenye Ikulu ndogo mjini Dodoma Septemba 08, 2014.(Picha na Ikulu).
11 years ago
Dewji Blog31 May
Dkt. Bilal afungua kituo cha tiba, uchunguzi na mafunzo ya magonjwa na saratani za matumbo na Ini cha hospitali ya Taifa Muhimbili, Jijini Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisoma hotuba yake wakati wa hafla ya ufunguzi wa Jengo la Kituo cha Tiba, Uchunguzi na Mafunzo ya Magonjwa na Saratani za Matumbo na Ini cha Hospitali ya Taifa Muhimbili wakati wa Hafla fupi ya ufunguzi huo iliyofanyika Hospitalini hapo jijini Dar es Salaam, jana Mei 30, 2014. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, (katikati) Mwakilishi wa Taasisi ya...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Y3bhgqQ2Usw/VA2fsh1AfCI/AAAAAAAGhyE/pMfd3cTmPvw/s72-c/IMG-20140908-WA0005.jpg)
Rais Kikwete akutana na Wajumbe wa Kituo cha Demokrasia Tanzania mjini Dodoma leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-Y3bhgqQ2Usw/VA2fsh1AfCI/AAAAAAAGhyE/pMfd3cTmPvw/s1600/IMG-20140908-WA0005.jpg)