WAZIRI MKUU ATEMBELEA KIWANDA CHA TUMBAKU MKOANI RUVUMA NA KUWASIMAMISHA KAZI VIONGOZI WA CHAMA CHA USHIRIKA CHA SONAMCU
![](http://2.bp.blogspot.com/-curVweAhA70/VozSh8xvBVI/AAAAAAADEiQ/jUm-M1P_Mak/s72-c/maj22.jpg)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametembelea kiwanda cha kusindika tumbaku cha mkoani Ruvuma na kuwasimamisha kazi viongozi wa Chama Cha Kikuu Cha Ushirika cha SONAMCU.
Akizungumza jana jioni(Jumanne, Januari 5, 2016), katika ukumbi wa mikutano wa Ikulu Ndogo ya Songea, wakati alipokutana na wakulima wa zao la tumbaku wa Wilaya ya Namtumbo, Wananchama wa Vyama Vya Ushirika vya Mkoa wa Ruvuma, viongozi wa Mkoa pamoja na Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Edwin Ngonyani ambaye ni...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziWAZIRI WA KILIMO JAPHET HASUNGA ATEMBELEA KIWANDA CHA MBOLEA CHA MINJINGU MKOANI MANYARA
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA JANET MBENE ATEMBELEA KIWANDA CHA KUTENGENEZA VIGAE CHA MKOANI MBEYA
10 years ago
VijimamboMKUTANO MKUU WA PILI WA CHAMA CHA USHIRIKA CHA AKIBA NA MIKOPO TCRA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5U_eGhfOuR4/XkltKJ_zKWI/AAAAAAALdl8/BY84WYRPr9sfpCjFmb90IN7k54M1I7CRACLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1-14-1024x648.jpg)
MASAUNI ATEMBELEA KIWANDA CHA VIATU CHA KARANGA MKOANI KILIMANJARO,AWATAKA KUONGEZA UFANISI KATIKA BIDHAA
![](https://1.bp.blogspot.com/-5U_eGhfOuR4/XkltKJ_zKWI/AAAAAAALdl8/BY84WYRPr9sfpCjFmb90IN7k54M1I7CRACLcBGAsYHQ/s640/PIX-1-14-1024x648.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vJ6OK3r_us8/VEzYZrc3W5I/AAAAAAACtjY/r8YlG-gj2r8/s72-c/PG4A68321.jpg)
WAZIRI MKUU PINDA ATEMBELEA KIWANDA CHA TREKTA POLAND
![](http://2.bp.blogspot.com/-vJ6OK3r_us8/VEzYZrc3W5I/AAAAAAACtjY/r8YlG-gj2r8/s1600/PG4A68321.jpg)
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda atatuma wataalamu wa sekta ya kilimo ili waje kufuatilia suala la mahitaji ya trekta ili kuziba pengo la mahitaji yake nchini Tanzania.
Alisema lengo la Serikali la kuanzisha sera ya Kilimo Kwanza lilikuwa ni kuwasaidia wakulima kupata ruzuku ya pembejeo, mbegu bora, na dawa za mifugo ili waweze kuongeza ushalishaji.
“Kutokana na mkopo wa Serikali ya India, tulipata matrekta 1,846 ambayo hayakuchukua muda kuisha. Sasa hivi tunatafuta wabia wengine wa kutupatia...
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-R5XjpaarlVc/VC_Mr9kNtyI/AAAAAAAGnto/dsSJ-t_nHQc/s1600/u2.jpg)
JK ATEMBELEA CHUO CHA SAYANSI YA AFYA UDOM, AFUNGA KIKAO KAZI CHA VIONGOZI DODOMA
10 years ago
Dewji Blog16 Mar
Taswira ya Bonanza la wafanyakazi wa kiwanda cha Tumbaku mkoani Morogoro
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JWs5A_jjmto/Xqwbx7tjZEI/AAAAAAALoyE/4T65m-0kEdU6f4b3k35bAaFkN-dkw5S9gCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_2435.jpg)
SIJARIDHISHWA NA UTENDAJI KAZI WA CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA GEITA-KUSAYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-JWs5A_jjmto/Xqwbx7tjZEI/AAAAAAALoyE/4T65m-0kEdU6f4b3k35bAaFkN-dkw5S9gCLcBGAsYHQ/s640/DSC_2435.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya akiwa amepanda juu ya ngazi kutizama mtambo wa kuchambua pamba katika kiwanda cha Matongo Farming Ltd wilaya ya Geita .Kiwanda hicho kina uwezo wa kuzalisha robota 450 zenye uzito wa kilo 200 kwa siku.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/DSC_2463-1024x682.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya ( aliyevaa koti la bluu ) akiwa na Mkurugenzi Msaidizi wa Kiwanda cha Matongo Bw.Mwalida Samson wakitembelea kiwanda hicho mjini Geita leo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/DSC_2509-1024x682.jpg)
Majengo ya kiwanda cha kuchambua pamba yanayomilikiwa na Chama...
9 years ago
MichuziWAZIRI MKUU, MAJALIWA AITISHA KIKAO CHA KAZI CHA BARAZA LA MAWAZIRI LEO