TCRA yapata cheti cha kimataifa
MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetakiwa kuongeza juhudi katika kuboresha sekta hiyo, baada ya kukabidhiwa cheti cha kiwango cha kimataifa na Shirika la Viwango Duniani. Cheti hicho kilikabidhiwa jijini Dar...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboPPF yapata cheti cha ubora wa kimataifa ISO 9001:2008
11 years ago
Uhuru Newspaper01 Jul
TCRA yapata ubora wa kimataifa
NA RACHEL KYALA
MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imepata cheti cha kiwango cha ubora kutoka Shirika la Viwango la Kimataifa (ISO), kutokana na kukidhi vigezo vya utoaji huduma kwa jamii.
Akizungumza katika hafla ya kukabidhiwa cheti hicho, Mkurugenzi Mkuu wa TCRA, Profesa John Nkoma, alisema mamlaka hiyo imepata cheti hicho kutokana na utendaji kazi wake katika kudhibiti sekta ya mawasiliano ikiwemo kujulikana kimataifa.
“Tulikwenda shule chini ya Shirika la Viwango Nchini (TBS),...
10 years ago
Dewji Blog20 Jul
Insignia Limited yapata cheti cha mazingira cha ISO 14000
Kampuni inayoongoza kwa uzalishaji wa rangi nchini Tanzania ya Insignia Limited, inajivunia kutangaza kupata cheti cha ISO 14000, cheti cha kiwango cha kimataifa cha uwajibikaji katika usimamizi na uhifadhi wa mazingira. Viongozi wa kampuni walitangaza mafanikio hayo mjini Dar es Salaam. Cheti hicho cha ISO kilitolewa kuthibitisha viwango vya kampuni kufwatia dhamira yake katika shughuli za utunzaji wa mazingira
Mwaka 1996, Serikali ya Tanzania ilizindua sera endelevu ya maendeleo ya...
10 years ago
Tanzania Daima23 Oct
Precision Air yapata cheti cha usalama
SHIRIKA la Precision Air Services, limefanikiwa kupata upya cheti cha Usalama (IOSA), kitolewacho na shirikisho la kibiashara la mashirika ya ndege duniani (IATA). Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari jijini...
10 years ago
MichuziTCRA YAPATA MKURUGENZI MKUU MPYA
Kabla ya uteuzi huo, Dkt. Ally Yahaya Simba alikuwa Mkurugenzi wa Idara ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano wa Wizara ya Mawasiliano,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZC5JInj-FNk/XmzDRUw5rWI/AAAAAAALjY8/ioB6yZtliogO8Eq2Goj7qFc0xe_mwNVFACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-14%2Bat%2B2.22.01%2BPM.jpeg)
TCRA yapata manufaa katika usajili wa Laini za Simu kwa Alama za Vidole.
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZC5JInj-FNk/XmzDRUw5rWI/AAAAAAALjY8/ioB6yZtliogO8Eq2Goj7qFc0xe_mwNVFACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-14%2Bat%2B2.22.01%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-vhZcr9bLb_w/XmzDRJAgHwI/AAAAAAALjY4/OJeV0LN5NCAH-SjBcHVzHHQq5_pHDxsFQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-14%2Bat%2B2.25.01%2BPM.jpeg)
Na Chalila Kibuda, Globu ya JamiiMAMLAKA ya Mawasiliano nchini(TCRA)...
11 years ago
Tanzania Daima21 Jan
Kituo cha Exim Academy chatunukiwa cheti cha ubora
KITUO cha mafunzo cha Benki ya Exim ya Tanzania, ‘Exim Academy’ kimetunukiwa Cheti cha Kimataifa cha Ubora wa Viwango (ISO 9001:2008) kutokana na mafunzo bora wanayoyatoa. Kituo hicho kilizinduliwa na...
9 years ago
Vijimambo04 Sep
ATUPWA JELA KWA KUTOSAINI CHETI CHA NDOA CHA JINSIA MOJA
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/09/03/150903182206_kim_davis_estados_unidos_matimonio_gay_640x360_getty_nocredit.jpg)
Jaji mmoja nchini Marekani, ameagiza afisa mmoja wa serikali katika jimbo la Kentucky, kufungwa jela, baada ya kukataa kutekeleza agizo la mahakama la kutoa cheti rasmi cha ndoa, kwa wapenzi wawili wa jinsia moja.
Kim Davies amesema imani yake kama Mkristo, haimruhusu kusaini cheti kama hicho. Ndoa ya jinsia moja ilihalalishwa nchini Marekani Juni mwaka huu.
Umauzi huo wa Davis, wa kutosaini cheti hicho...
9 years ago
MichuziKIYABO ATUNUKIWA CHA CHETI CHA ELIMU YA JUU KATIKA MASUALA YA BENKI JIJINI DAR ES SALAAM